Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Naifahamu hii shule pale Kwa mrombo... Kituo cha police pale unaingia kulia.. Looh!
 
Kwa ajali hii serikali iangalie umuhimu wa kuzikarabati vizuri barabara za aina hii iweke hata kingo imara pembeni. iachane na masuala ya ununuzi wa ndege wakati raia wengi matumizi yao makubwa ni barabara.
Kwa kweli serikali imetengeneza hii Barbara vizuri sana lawama ziende kwa watumiaji kwa zile ajali zitokanazo na uzembe. Kabla ajali zilikuwa zimezoeleka. Road ipo vizuri kwa kweli.

Mungu wapokee Watoto.
 
Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Dunia tunapita, hatujui tutaondokaje.
 
chanzo chake kitakuwa ni speed tu....
Mkuu hayo maeneo yana kona Kali sana, so kama sio mzoefu wa hiyo barabara na ukiwa speed... Unajitafutia balaa... Lakini ndo hivyo... Watoto wetu tu, dah!
 
OMG masikitiko makubwa. Nimesoma page 3, sijaona sehemu gani Karatu ajali ilitokea. Kuna mtelemko mkali wa Rhotia,Marera ukitokea Arusha kabla ya kuingia Karatu mjini,sijui ndo hapo. R.I.P marehemu.
Ndio hapo hapo.
 
OMG masikitiko makubwa. Nimesoma page 3, sijaona sehemu gani Karatu ajali ilitokea. Kuna mtelemko mkali wa Rhotia,Marera ukitokea Arusha kabla ya kuingia Karatu mjini,sijui ndo hapo. R.I.P marehemu.
Ni hapo mkuu
 
Dah so sad.. Mwenyezi Mungu awapumzishe mahali pema peponi.. Amina
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo including(joint examinations), taarifa zinasema wamebaki watoto(3) tu wengine wamefariki, shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha ni medium schools,kwa wenye updates tunaomba mtupe

Picha: Soon ntaziapload ni ajali ya mda huu
Mungu awalaze mahali pema peponi
----------------------

UPDATE: Coaster ina jumla ya abiria 30 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha

UPDATE: Picha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio..

19a4fcd1c935e4c031670cd880a46bc5.jpg

.........................
UPDATES:Magari ya polisi yametanda kila kona na maiti zimebebwa na magari ya polisi
Tayari kuhifadhiwa
...................
UPDATES:Ni watoto wanne(3) wanasadikiwa wako hai ila wako mahututi kabisa na kuna wasi wasi vifo vikaongezeka
UPDATES:Lucky vincent nursery school bus
62d62ef75dec257e496254f5cfb2808e.jpg

UPDATES:Shughuli za uokozi
a198eaa3cab45eec73b51943888b0a63.jpg

UPDATES:Gari lilikuwa na abiria 30 wanafunzi 25,waalimu (4) wote wa kiume na dereva 1
UPDATES:Kati ya majeruhi watoto watatu(3) wawili wako mahututi kabisa na mmoja amepasuka ubongo
UPDATE:Maajabu ya ajali hakuna damu zozote zilizotapakaa licha ya watu wengi sana kufa!
wapumzike kwa amani, ila inauma sana hasa kwa wazazi wao wakipata taarifa wataumia zaidi, Mungu awatie nguvu..
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo including(joint examinations), taarifa zinasema wamebaki watoto(3) tu wengine wamefariki, shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha ni medium schools,kwa wenye updates tunaomba mtupe

Picha: Soon ntaziapload ni ajali ya mda huu
Mungu awalaze mahali pema peponi
----------------------

UPDATE: Coaster ina jumla ya abiria 30 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha

UPDATE: Picha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio..

19a4fcd1c935e4c031670cd880a46bc5.jpg

.........................
UPDATES:Magari ya polisi yametanda kila kona na maiti zimebebwa na magari ya polisi
Tayari kuhifadhiwa
...................
UPDATES:Ni watoto wanne(3) wanasadikiwa wako hai ila wako mahututi kabisa na kuna wasi wasi vifo vikaongezeka
UPDATES:Lucky vincent nursery school bus
62d62ef75dec257e496254f5cfb2808e.jpg

UPDATES:Shughuli za uokozi
a198eaa3cab45eec73b51943888b0a63.jpg

UPDATES:Gari lilikuwa na abiria 30 wanafunzi 25,waalimu (4) wote wa kiume na dereva 1
UPDATES:Kati ya majeruhi watoto watatu(3) wawili wako mahututi kabisa na mmoja amepasuka ubongo
UPDATE:Maajabu ya ajali hakuna damu zozote zilizotapakaa licha ya watu wengi sana kufa!
Nimeangalia picha za bus linaonekana halijaumia sana. Yani usingetegemea vifo viwe vingi kiasi hicho kiasi kwamba nahisi kuna kitu kiko nyuma ya ajali hii ambacho sisi binadamu wa kawaida hatuwezi kukielewa.
 
OMG masikitiko makubwa. Nimesoma page 3, sijaona sehemu gani Karatu ajali ilitokea. Kuna mtelemko mkali wa Rhotia,Marera ukitokea Arusha kabla ya kuingia Karatu mjini,sijui ndo hapo. R.I.P marehemu.
Yeah hapo hapo Rhotia-Marera slope
 
Hawa watalii wameonyesha kuwajibika kuwasaidia hawa watoto na kuacha safari yao huku Vijana wakiangalia vitu vya kuchukua. Ni aibu kubwa
Mkuu tuwe wazalendo,hizo maiti zimetolewa na hao vijana kwenye magari na ni wao wamezipakia kwenye magari ya polisi.
 
MTSRIP-Poleni wazazi, ndugu, na walimu. Mola awarehemu.
 
Back
Top Bottom