Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Wewe nawe kumbe ni **** kabisa.
Kama mtu hana uhakika na habari kwanini atunge mara wamekufa wote 30, Mara aseme kuna majeruhi 3, Mara 4.
Kwanini usiseme tu idadi kamili ya vifo na majeruhi siijui.
Logic! funga safari nenda eneo la tukio ukajue hali na idadi halisi. Hizi habari zilizo'vunjika' ziache kama zilivyo.