kali popote
JF-Expert Member
- May 3, 2017
- 394
- 281
Ni 58 kwan ndugu[emoji24] [emoji24]Msiba wa kitaifa just imagine watu 58?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 58 kwan ndugu[emoji24] [emoji24]Msiba wa kitaifa just imagine watu 58?
Mkuu unadaiwa nn maana nmekucheki huongei aiseeSawa namba yako basi Tafadhali yangu ni 0788223222
Sijakuelewa mtego Wa panya?????mtego wa panya
Sikujua kama ni wewe so sorryMkuu unadaiwa nn maana nmekucheki huongei aisee
Usimlaumu na yeye ni marehemu., alikuwa binadamu mwenye familia.Hawa madereva huwa wanaendesha ka hawana vichwa vile.
Aisee inapain sana kk!! Yaani habari mbaya kama hizi sisikie tu, lakini ikikukuta!! Mungu ndio anajua! Niseme tu kuwa Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi, AminaAsante sana ndugu yangu. Acha tu ni Kama ndoto ambayo tunaomba tuamke usingizini tukute sio kweli. Kaka Presha imepanda kaanguka yuko hospital hajaamka mpaka sasa. Amezika MKE wake mwezi wa pili mwaka huu.
Mkuu ajali inatokea muda wowote kwa mtu yeyote unaweza ukawa na gari lako binafsi ukasafiri nalo kama imepangwa kutokea itatokea tu cha muhimu mungu aweke roho zao mahali pema.Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Unayajua maumivu ya Kupoteza mtoto?ukipoteza mtoto unafikiria mengi anapokuaga japo huwezi kumkinga na chochote,huwa unahisi unamuepusha,mshikaji sio mkoloni,tahadhari tu kama mzazi amewahi kupoteza mtoto hujui kwa mazingira ganiWewe ni mkoloni kweli wala hawajakosea. Kwani ajali haiwezi kuwakuta kwenye mabasi ya shule au usafiri binafsi au huko wanakoenda kutembea kutumia hizo hela unazowapa? Kwani hili ni tukio la ngapi kama hili hapa Tanzania? Msitake kuwaongezea mzigo wa majonzi wafiwa. Wafariji maana hakuna mtu anayejua kesho yake wala ya mwanae.