Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Justine alex na Anold Alex wanaweza kuwa Ndugu!? Mungu awape wazazi,Ndugu jamaa na marafiki nguvu...hakuna namna tena. Rip.[/QUOTE
nadhan ndo hao duterte anasema watoto wa bro wake
Hawa ni watoto wadogo,hawana dhambi,,wanakwenda peponi,moja kwa moja.Eeeh Mungu naomba upumzishe roho za hawa Marehemu mahali pema peponi.
Eeh Mungu wape faraja ya kipekee Wazazi/Walezi Wa watoto na walimu wao....
RIP.
Dunia inajua na Chadema wanajua huwezi Kutenganisha Ufisadi na Lowassa.Kwa heading hiyo ulitakiwa kupigwa ban mpaka 2020
Asante sana mkuu. Ndio maana nimesafiri mara tu nilipopata taarifa. Ndugu zangu wengine bado hawaamini na hawataki kuamini. Kaka alikuwa na watoto hao hao ndio walikuwa wanampa faraja baada ya mke wake kuitwa na Mungu mwezi wa pili mwaka huu.
Hapa ningejua zitakua nyingi sana. Mungu mwenyewe anajua kwanini ameruhusu hali hiyo itokee. Funzo huja baada ya.....Rip watotoJamani kama ni joint exams kwani wasingefanya wakiwa shuleni kwao?sema maswali yakafanana ma ya st Tumaini.Barabara zenyewe ndo hizo halafu wanarisk maisha ya watoto namna hiii?RIP innocent souls.
wwe sio mzima jitafakari mbna wabongo hamkosagi maneno lakini hata kama hupendi vitrip basi wangekufa tu hao watoto ndo mungu alipanga hivoHabari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport