T 1984 CON
Member
- Apr 15, 2017
- 49
- 81
R.i.p ila utashangaa kesho mwenye shule biashara inakubali ananunua mabus 10 na shule inapanuka gafraàa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana.. Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumuNiko njiani kuelekea Arusha. Nimefiwa na watoto wa kaka yangu wawili katika hiyo ajali. Mungu atupatie wepesi.
Nami mara nying sana napinga xafari za namna hii..Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Mie zaidi braza shem......kweli mkuu mjini hapa majonzi haswa yaani hadi mwili unasisimkaBlaki Womani nimekumissije
Nipo aise napambana
Nimeona msiba wa watoto wa ndugu zatu hapa mjini kwa kweli inaumiza sana
Acha mawazo ya kingese, umekaa kishirikina shirikina.R.i.p ila utashangaa kesho mwenye shule biashara inakubali ananunua mabus 10 na shule inapanuka gafraàa!!
Nimesikitika sana, hawa ni malaika na sehemu yao ni paradise. Mimi ni kama wewe siruhusu watoto kwenda trip kama hizi na sio kuogopa kifo tu maana kifo sehemu yoyote ila nakosa amani. Please someone cancel all these school trips.Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Kifo huwezi kuzoea mimi nilifiwa na infant tu kazaliwa amefariki lakini nililia kwa uchungu imagine hawa watoto wa shule vikubwa tu, wameshakwenda ila nawaza family Mungu wape ujasiri jamani haya ni mambo makubwa kwa wazazi. Mungu mkubwaMkuu ndo maisha wote twapita