Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ule sahani moja NA Nani wee punguani ajali imetokea sababu hazijatolewa kitaalamu wewe unaleta ripoti yako
Nyie ndo vilaza ambao mnaishi kwa kutegemea kuambiwa na kufanyiwa mambo..wenzenu wanatafta taarifa nyi mnakuna p..mbu....
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo including(joint examinations), taarifa zinasema wamebaki watoto(3) tu wengine wamefariki,

shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha ni medium schools,kwa wenye updates tunaomba mtupe
.............
UPDATES:Ajali imetokea mlima marera kijiji cha rhotia,km chache sana kutoka Karatu mjini,mlima huo una mteremko mkali na daraja na pia kulikuwa na ukungu

Picha: Soon nitaziapload ni ajali ya muda huu
Mungu awalaze mahali pema peponi
----------------------

UPDATE: Coaster inasadikiwa kuwa na zaidi ya abiria 30 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha

UPDATE: Picha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio..

19a4fcd1c935e4c031670cd880a46bc5.jpg

.........................
UPDATES:Magari ya polisi yametanda kila kona na maiti zimebebwa na magari ya polisi
Tayari kuhifadhiwa
...................
UPDATES:Ni watoto watatu (3) wanasadikiwa wako hai ila wako mahututi kabisa na kuna wasiwasi vifo vikaongezeka
UPDATES:Lucky vincent nursery school bus
62d62ef75dec257e496254f5cfb2808e.jpg

UPDATES:Shughuli za uokozi
a198eaa3cab45eec73b51943888b0a63.jpg

UPDATES:Gari lilikuwa na zaidi ya abiria 30 wanafunzi 25,waalimu (4) wote wa kiume na dereva 1
................
UPDATES:Kati ya majeruhi watoto watatu(3) wawili wako mahututi kabisa na mmoja amepasuka kichwa
................
UPDATES:Maajabu ya ajali hakuna damu zozote zilizotapakaa licha ya watu wengi sana kufa!
..................
UPDATES:Majeruhi mmoja kati ya( 3) amefariki kabla ya kufikishwa hospitali,kwa hiyo taarifa zinasema wamebaki majeruhi wawili walioko ICU
...............
UPDATES:Kuna mkanganyiko mwingi kuhusu chanzo cha ajali ila nature ya eneo la ajali ni mteremko mkali na kuna daraja,ni eneo ambalo dereva anatakiwa kuwa makini kabisa,kwa dareva asiyemwangalifu inaweza tokea lolote,hebu angalia hapo gari lilipotumbukia na haikuwa ina over take ,u can diagnose the nature of an accident
efc42e9814d84a123b6aa5a8a92fed7c.jpg

UPDATES:Mwonekano wa gari kwa mbele baada ya kupata ajali
1b9b2ef92a5648b20c71d3e04a5e5f65.jpg

UPDATES:RPC Wa arusha amethibitisha jumla ya vifo 31 vya waalimu na wanafunzi
...................
UPDATES:Taarifa kutoka mjini Karatu zinasema kuwa majeruhi hali zao ni mbaya zaidi na wanakimbizwa hispitali ya rufaa ila mtoto mmoja ni mzima
6d688744c79e95ed10fb0d0ea09e695e.jpg

...............

UPDATES:Mtoto pekee alienusurika amesimulia chanzo cha ajali na amesema kuwa gari lilifeli break tokea mwanzo wa kushuka mlima hali iliyopelekea watoto na waalimu kupiga makelele na kilichofuata ni gari kupaa na kupinduka kwani nature yake sio slope kivile kuna miinuko kidogo

My take:Kulingana na maelezo hayo inaonekana gari lilifeli break,kupoteza mwelekeo na kupinduka ingawa bado polisi hawajatoa taarifa za chanzo cha ajali Bali walitaja idadi ya vifo 31 tu
...............
UPDATES:Majina ya waliofariki
470862a5c10126e56155ee706126acdd.jpg

fbf2939173eaa07ff41af774c40b5eed.jpg


MUNGU AWALINDE NA KUWAREHEMU ITS SO SAD
d60caf7575f56820b6c8c35459ed5a35.jpg


R.I.P all

Client:Jf member
Hii ni kazi ya mungu ndie ajuae siku na saa, Mungu awalaze panapostahili, Amina.
 
Msi justify ujinga,..unalala bila net au unakula mzigo bila kinga ukifa unasema ajali.,,unaendesha gar huna vibal,gar mbov,haina service,huna uzoef,..hata akili ya kujua mvua imenyesha kwenye kona punguza mwendo huna,umejaza watoto 50 kwenye bus,..af unasema ajali?hyo shule tunakula nayo sahan 1,china unanyongwa uzembe kama huo
Kwahiyo hajali ni ipi condom ikipasuka wakati wa tendo au kuumwa na mbu wa malaria kabla ya kuingia kwenye net?
 
~~~>>>R.I.P Taifa la kesho...

Hili gari ilikuwa ni mali ya Raqeeb, ilikuwa inafanya safari za Usangi-Moshi.... Kabla ya kuuzwa lilikuwa na tatizo la kung'ang'ania Clutch.

Akamuuzia jamaa mmoja Arusha kisha na yeye akawauzia shule ya Lucky Vicent...

Wakati likiwa linafanya safari za Usangi- Moshi lilishawahi kung'ang'ania Clutch akamvaa dereva wa Boda boda...


Inawezekana hili tatizo liliendelea...

Nashauri serikali wawe wanakagua magari ya shule vizuri...
Huuuuh
 
Mtoto pekee aliyebaki hai baada ya majeruhi mwingine kufariki muda si mrefu.
IMG-20170507-WA0000.jpg
 
Too sad duh basi tena mungu awape nguvu wfiwa wote na wote tuwaombee kwa kweli inatuhuzunisha kama wadogo zetu watoto zetu na watanzania wenzetu eewe mwezimungu walehemu wote

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Poleni wafiwa, FUNZO TUMEPEWA, Magari yakubeba wanafunzi YAKAGULIWE MARA KWA MARA, PILI, WATOTO WASIJAZWE SANA KWENYE MAGARI SEAT MOJA WATOTO WATATU, TATU, KILA MTOTO AFUNGWE MKANDA KABLA YA SAFARI, TANO, WALIMU WAWADHIBITI MWENDOKASI WA MADEREVA WAO,WAWAKEMEE PALE WANAPOENDESHA KWA SPEED KUBWA. NOTE.Kwa vyovyote iwavyo chanzo cha ajali hiyo ni mwendo mkali wa dereva na sio kingine. angekuwa mwendo wa taratibu gari lisingebondeka kiasi hicho na VIFO visingekuwa vingi kiasi hicho. MUNGU AWAWEKE MAHALA PANAPOWASTAHILI KUWEPO KUTOKANA NA WALICHOPANDA KATIKA UHAI WAO HUKU DUNIANI. AMINA.
 
Poleni wafiwa, FUNZO TUMEPEWA, Magari yakubeba wanafunzi YAKAGULIWE MARA KWA MARA, PILI, WATOTO WASIJAZWE SANA KWENYE MAGARI SEAT MOJA WATOTO WATATU, TATU, KILA MTOTO AFUNGWE MKANDA KABLA YA SAFARI, TANO, WALIMU WAWADHIBITI MWENDOKASI WA MADEREVA WAO,WAWAKEMEE PALE WANAPOENDESHA KWA SPEED KUBWA. NOTE.Kwa vyovyote iwavyo chanzo cha ajali hiyo ni mwendo mkali wa dereva na sio kingine. angekuwa mwendo wa taratibu gari lisingebondeka kiasi hicho na VIFO visingekuwa vingi kiasi hicho. MUNGU AWAWEKE MAHALA PANAPOWASTAHILI KUWEPO KUTOKANA NA WALICHOPANDA KATIKA UHAI WAO HUKU DUNIANI. AMINA.
Ulichoongea ni sawa mkuu.lakini labda u mgeni wa ile Barabara ya Karatu to Arusha.kule udongo wake ni ule unaoteleza sana afu kuna manonde na mvua za mara kwa mara.
Kingine ni juu ya kubondeka kwa gari.
Ukiangalia vizuri utaona kuwa gari lilitumbukia Bondeni.hebu tizama vizuri
 
Msi justify ujinga,..unalala bila net au unakula mzigo bila kinga ukifa unasema ajali.,,unaendesha gar huna vibal,gar mbov,haina service,huna uzoef,..hata akili ya kujua mvua imenyesha kwenye kona punguza mwendo huna,umejaza watoto 50 kwenye bus,..af unasema ajali?hyo shule tunakula nayo sahan 1,china unanyongwa uzembe kama huo
akisha nyogwa.watarudi..mipango ya mungu tu
 
Innalillah wainna illah raji'un....
Mwili wote unanisisimka ila kazi yake Mola haina makosa,

Wazazi, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote, Mola awape nguvu, ujasiri na ustahamilivu katika kipindi hiki kigumu,

Tupo Pamoja nanyi.
 
Back
Top Bottom