Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma biology mkuu
Utajua namna shahawa zinavyotengenezwa
Kuanzia chakula unachokula mpaka kwenye huko testicines huko utaona namna shahawa zonavyokuwa zinazalishwa
Kwanini mtu akiwa na upungufu wa shahawa anapewa ratiba ya aina ya msosi ale
Kuna vyakula ukila shahawa huzalishwa kwa wingi
Find a book and read
AmeenAmen
I'm a parent but because i have never lost a child ( god forbid), i can't say i know how it feels, i can only pray to God, to work his miracles on their parents cause only he can soothe their hearts from the pain they must be feeling.As a parent, i know how it feels.
So sad.
Kweli sijui Mungu ana ujumbe gani kwetu.[emoji24]Makanisani Arusha ni huzuni tupu, hasa akina mama wanalia na kubembelezana kwenye vikundi. Wengi wameshika sehemu ya matumbo ya uzazi. Huzuni tu,Ee Mungu ni nini unataka kutuambia
Aibu gani mkuu? Rip ishara ya kuwa pamoja au kuguswa tukio.Watanzania tumebaki Na RIP kila kona zinatusaidia nini badala tukemee aibu hii au ndiyo bado tunahitaji tuelimishwe vp
Tunapoteza muda mwingi kwenye udaku na mambo ya kijinga.Jana Rais wa Kenya ameliinua taifa kuwakumbuka hawa watoto wetu.... wakati wa West Gate attack tv zote Kenya esp. Citizen zilipiga kambi pale. Leo tv zetu zote hata tbc ya taifa ni burudani na vichekesho ukiachilia mbali taarifa ya habari. Ingekuwa Marekani CNN ingepiga kambi hapo. Juzi tu tishio bunge la Uingereza BBC ILIKESHA pale. Tanzania watoto 32, waalimu 2, dereva 1. No developing story, neither on tv nor on radio. Just business as usual...tbc wanafundisha kichina, tv1 na mpira wa mchangani uarabuni, channel ten na picha za kihindi, star tv na ravin yao, itv na isidingo yake, eatv na kurasa, clouds Afadhali kidogo....... Mungu atunusuru.
Sad indeed. Roho imeniuma sana kwakweli.I'm a parent but because i have never lost a child ( god forbid), i can't say i know how it feels, i can only pray to God, to work his miracles on their parents cause only he can soothe their hearts from the pain they must be feeling.