Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Soma biology mkuu
Utajua namna shahawa zinavyotengenezwa

Kuanzia chakula unachokula mpaka kwenye huko testicines huko utaona namna shahawa zonavyokuwa zinazalishwa

Kwanini mtu akiwa na upungufu wa shahawa anapewa ratiba ya aina ya msosi ale

Kuna vyakula ukila shahawa huzalishwa kwa wingi

Find a book and read

Nani alieunda iyo syteam katika mwili wa binadamu ambayo inahusika na uzalishaji shahawa , Mf; katika chombo cha moto kama gari,,kuna mfumo wa mafuta kuanzia injector pump,,nozzles, ,Rota,,planja,, na ili vifanye kazi yabidi yawekwe hayo mafuta yenyewe,,,na kuna mfumo wa maji kupooza injini etc,, hayo yote kayaunda alietengeneza iko chombo cha moto,,, haya kwa binadamu nani kaunda uho mfumo mzuri kabisa wenye mpangilio bora,, py thon
 
As a parent, i know how it feels.

So sad.
I'm a parent but because i have never lost a child ( god forbid), i can't say i know how it feels, i can only pray to God, to work his miracles on their parents cause only he can soothe their hearts from the pain they must be feeling.
 
Jana Rais wa Kenya ameliinua taifa kuwakumbuka hawa watoto wetu.... wakati wa West Gate attack tv zote Kenya esp. Citizen zilipiga kambi pale. Leo tv zetu zote hata tbc ya taifa ni burudani na vichekesho ukiachilia mbali taarifa ya habari. Ingekuwa Marekani CNN ingepiga kambi hapo. Juzi tu tishio bunge la Uingereza BBC ILIKESHA pale. Tanzania watoto 32, waalimu 2, dereva 1. No developing story, neither on tv nor on radio. Just business as usual...tbc wanafundisha kichina, tv1 na mpira wa mchangani uarabuni, channel ten na picha za kihindi, star tv na ravin yao, itv na isidingo yake, eatv na kurasa, clouds Afadhali kidogo....... Mungu atunusuru.
 
Makanisani Arusha ni huzuni tupu, hasa akina mama wanalia na kubembelezana kwenye vikundi. Wengi wameshika sehemu ya matumbo ya uzazi. Huzuni tu,Ee Mungu ni nini unataka kutuambia
Kweli sijui Mungu ana ujumbe gani kwetu.[emoji24]
 
Mkuu bado vyombo vyetu vya habari viko mbali Na habari jaribu kuvuta picha mpaka sasa dereva wa gari lile hajulikani anaitwa nani mpaka sasa hawaja taja jina kwenye gazeti wala TV zaidi ya RPC mkoa wa Arusha kutaja jina analojua yeye
 
Watanzania tumebaki Na RIP kila kona zinatusaidia nini badala tukemee aibu hii au ndiyo bado tunahitaji tuelimishwe vp
 
Hongera nyingi Clouds TV Na clouds radio kwa kuchukua siku ya Leo na kesho kwa asilimia nyingi kuomboleza Na aibu kubwa kwa TBC kuendelea kuonyesha mambo biashara Na kulikuwa Na muda Na tukio hili
 
Kuguswa Na tukio siyo shida jua tatizo limetokea kwa sababu gani nan kasababisha na suluhu yake nini
 
kwa mara ya kwanza nawapongeza clouds media kwa uzalendo mlionyesha na kuanzia leo nimewapa ruhusa familia yangu kuanza ku tune clouds TV na Radio,
 
Ni huzuni sana sijui hali ya Wazazi wao zikoje naumia sana mana mwanangu ni rika lao waliofariki dunia Mungu ni mwema Jina lake lihimidiwe.
 
Jana Rais wa Kenya ameliinua taifa kuwakumbuka hawa watoto wetu.... wakati wa West Gate attack tv zote Kenya esp. Citizen zilipiga kambi pale. Leo tv zetu zote hata tbc ya taifa ni burudani na vichekesho ukiachilia mbali taarifa ya habari. Ingekuwa Marekani CNN ingepiga kambi hapo. Juzi tu tishio bunge la Uingereza BBC ILIKESHA pale. Tanzania watoto 32, waalimu 2, dereva 1. No developing story, neither on tv nor on radio. Just business as usual...tbc wanafundisha kichina, tv1 na mpira wa mchangani uarabuni, channel ten na picha za kihindi, star tv na ravin yao, itv na isidingo yake, eatv na kurasa, clouds Afadhali kidogo....... Mungu atunusuru.
Tunapoteza muda mwingi kwenye udaku na mambo ya kijinga.
Ingekua ni mada ya udaku na umbea, media zote zingekuwa hapo.
Nlitegemea rais angetangaza hata siku tatu za maombolezo. Bendera nusu mlingoti.
 
I'm a parent but because i have never lost a child ( god forbid), i can't say i know how it feels, i can only pray to God, to work his miracles on their parents cause only he can soothe their hearts from the pain they must be feeling.
Sad indeed. Roho imeniuma sana kwakweli.
 
Pol.en wrote mliofiwa Mungu awarehemu na awaangazie mwanga Wa milele ktk kipindi hiki kigum
 
Back
Top Bottom