Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati

Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati

Hii mikoa ya kusini ndo maana hainaga maendeleo sababu ya uchawi! Alienda Magufuli wakampulizia moshi msafara wake, baada ya hapo afya yake ikadolola mpaka akafariki!
Wewe jiongeze usiwaze kila kitu ni uchawi wakati magari yalipita sehemu isiyostahili.tukiwaambia jengeni barabara za viwango hamtaki sasa barabara hazina hata miaka mingi tayari zinabandikwa viraka halafu usingizie uchawi.
 
Umenena kweli tupu ndugu,baadhi akili zao zinawaza kila lenye kutokea ni ushirikina tu, utadhani walisoma darasani kwa kufundishwa na waalimu washirikina.
Kwani uchawi ni nini ndugu?

Na uchawi unafanyaje kazi?

==============================================

UCHAWI/USHIRIKINA: Ni nguvu ya kiroho inayopumbaza akili hata mtu kushindwa kuwa na maamuzi sahihi na salama juu ya mambo mbalimbali ktk maisha yake..

JE TUKIO HILI NA MENGINE YAFANANAYO NA HILI YANAWEZA KUWA NA INGREDIENTS ZA KICHAWI?

YES, ndivyo ilivyo kwa 100%. Uchawi unatumia mbinu na njia mbalimbali kuwapata watu waliokusudiwa..

Katika tukio hili, ni wazi akili ya dereva mmoja tu ilitosha kuchukuliwa na kutekwa na wachawi ili asione ubaya au ubovu wa barabara, aendeshe gari kwa kasi, limshinde na wengine wote waafutane naye ktk maangamizi Yao..

Kwa hiyo, nguvu ya uchawi (ushetani) ipo na inatenda kazi 24hrs and 7days per week..!

NB: Inasemekana Paul Makonda mwenyewe indirectly ni mbobezi wa uchawi. Kwa maana kwamba ana mchawi wake mkuu aliyemfanya kama kinga yake. Ndiyo maana maana anakwepwa na mkono wa sheria wa kila uovu alioufanya.

Bila shaka tukio hili la ajali ni matokeo ya nguvu za kichawi za upande wake na za mahasimu wake kugongana (The clash of evil powers) kwa sbb it's obviously aliyekuwa anatafutwa hapo ni yeye na hao wengine wakawa the victims of circumstances..
Richard
 
tz ni nchi ya kifala sana sana. ccm hakuna msafi wote wananuka kama mavi. wanatofautiana viwango vya kunuka mavi. ni majambazi matupu yamefungasha mali za dhulma na kuliibia taifa.
 
Wengi wanadhani ni tatizo la DAB, hapana! hili ni tatizo la uongozi wa nchi.

Huu ufujaji na upotevu wa pesa za Umma ni sawa na zile zilizopotea kwenye taarifa ya CAG n.k.

Watumishi wa Umma wana mfumo unaowasimamia , DAB hayupo katika wasimamizi hao.
Magari ya Umma kwa kutumia rasilimali za Umma kwa shughuli za Chama si sahihi, ni makosa.

Magari zaidi ya 10 ya Umma yaliyoharibika hayatengenezwi au kununuliwa na Chama. Ni kodi za Watu wote.
Kuharibu magari 10 halafu tuagize kwa gharama za Tsh 400 Milioni kwa gari moja ni ufujaji uliokithiri.

Huyo Mwenezi hana , narudia tena hana uwezo wa kumwajibisha hata mfagizi wa Ofisi kwa kanuni za utumishi.
Bashite hana tofuati na Ali Kamwe au Ahme Ally wa Yanga na Simba.
Leo msafara wa magari ya umma unamhusu vipi.

Yeye si tatizo kwasababu atafanya tu anavyoona. Wanowajibika kwa hili ni Mh Rais , Mh Makamu wake na Mh Waziri mkuu wanaoruhusu ufujaji na upotevu wa pesa wakati kuna maeneo yanahitaji rasilimali.

JokaKuu Pascal Mayalla
Asante sana mkuu, sina la kuongeza hata kidogo.
 
Sumu imemkosa!
Ajali imemkosa!

Je, njia ipi itafaa kwa huyu mpakwa-mafuta?
 
Hii mikoa ya kusini ndo maana hainaga maendeleo sababu ya uchawi! Alienda Magufuli wakampulizia moshi msafara wake, baada ya hapo afya yake ikadolola mpaka akafariki!
Kuna wilaya moja inaitwa Tunduru, ni kama imesaulika katika suala zima la maendeleo. Wenyeji wa kule ikiwemo watumishi mbalimbali wa serikali ni wezi na washirikina wa kupindukia.

Hivyo, wakisikia kuna ziara ya kiongozi yoyote wanawahi kufanya yao ili kiongozi husika asiwafikie 😁
 
"Initial assessment" ni kwamba hayo magari yote yalikuwa kwenye mwendo mkali.

Njia yenyewe ni mabonde na si lami hivyo gari ya kwanza kugota au kusimama ghafla likazua balaa nyuma yake.

Kutokana na wingi wa vumbi kuu magari mengine yalokuwa nyuma ya gari ya kwanza yote ikabidi yagongane na kwa kuwa yalikuwa katika mwendo mkali hakukuwa na muda wa kusimama.

Tusilaumu uchawi wala ulozi bali ujinga wa baadhi ya watanzania wenzetu ambao wameamua kuweka maarifa pembeni.

Njia na barabara hazina lami bali mabonde kwanini kuwepo mashindano kama tupo kwenye jangwa la Sahara?
Mwenezi atembee na gari yake moja tu kwa kuwa nafasi yake ni ndogo sana. Kutumia magari mengi ni UKICHAA tu
 
Katika video hiyo nacho kuona ni uzembe wa madereva kuendesha kwa kasi bila kujali speed au stopping distance na kutokuwa na awareness wakati wa uendeshaji ndio maana wa nyuma akamgonga wa mbele na kuendelea…bima ndio itakula hasara hapo…polisi pia iwachukulie hatua hao madereva kwa kutofuata speed limits ktk barabara za aina hiyo…
Ni UPUMBAVU tu katika national level. Mwenezi ni mtu mdogo sana magari yote ya nini? Stupidity
 
Katika video hiyo nacho kuona ni uzembe wa madereva kuendesha kwa kasi bila kujali speed au stopping distance na kutokuwa na awareness wakati wa uendeshaji ndio maana wa nyuma akamgonga wa mbele na kuendelea…bima ndio itakula hasara hapo…polisi pia iwachukulie hatua hao madereva kwa kutofuata speed limits ktk barabara za aina hiyo…
Acha kutetea mediocrity. Makonda alipaswa kuwa peke yake kwenye safari hiyo. Na kama angefanya hivyo aisngesababisha magari mengine 12 kuharibika
 
Hii mikoa ya kusini ndo maana hainaga maendeleo sababu ya uchawi! Alienda Magufuli wakampulizia moshi msafara wake, baada ya hapo afya yake ikadolola mpaka akafariki!
Kama hayo ya kaskazini na Mashariki ndio maendeleo yenyewe basi tunasafari ndefu sana kama taifa.
 
Na huwa wankimbia nini au wanamkimbia nani? Ukiona speed ya magari kwenye hii misafara utadhani wanakimbizwa. Nchi hii wajinga ni wananchi, wanapokuja kuomba kura huwa wanajidai nyie ndio wenye nchi, wakiishapata madaraka wananchi tunageuka kuwa adui, wanakaa mbali nasi, ulinzi unaimarishwa utadhani tuko vitani.

Jiulize sababu ya kukimbiza magari kwa kasi hiyo kwenye misafara yaho ni nini hasa?

Kwanza nashangaa kwanini hawakufa wote?

Sababu ya kukimbiza ni kukwepa uwezekano wa sniper kushambulia viongozi
 
Back
Top Bottom