Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati

Hii mikoa ya kusini ndo maana hainaga maendeleo sababu ya uchawi! Alienda Magufuli wakampulizia moshi msafara wake, baada ya hapo afya yake ikadolola mpaka akafariki!
Wewe jiongeze usiwaze kila kitu ni uchawi wakati magari yalipita sehemu isiyostahili.tukiwaambia jengeni barabara za viwango hamtaki sasa barabara hazina hata miaka mingi tayari zinabandikwa viraka halafu usingizie uchawi.
 
Umenena kweli tupu ndugu,baadhi akili zao zinawaza kila lenye kutokea ni ushirikina tu, utadhani walisoma darasani kwa kufundishwa na waalimu washirikina.
Kwani uchawi ni nini ndugu?

Na uchawi unafanyaje kazi?

==============================================

UCHAWI/USHIRIKINA: Ni nguvu ya kiroho inayopumbaza akili hata mtu kushindwa kuwa na maamuzi sahihi na salama juu ya mambo mbalimbali ktk maisha yake..

JE TUKIO HILI NA MENGINE YAFANANAYO NA HILI YANAWEZA KUWA NA INGREDIENTS ZA KICHAWI?

YES, ndivyo ilivyo kwa 100%. Uchawi unatumia mbinu na njia mbalimbali kuwapata watu waliokusudiwa..

Katika tukio hili, ni wazi akili ya dereva mmoja tu ilitosha kuchukuliwa na kutekwa na wachawi ili asione ubaya au ubovu wa barabara, aendeshe gari kwa kasi, limshinde na wengine wote waafutane naye ktk maangamizi Yao..

Kwa hiyo, nguvu ya uchawi (ushetani) ipo na inatenda kazi 24hrs and 7days per week..!

NB: Inasemekana Paul Makonda mwenyewe indirectly ni mbobezi wa uchawi. Kwa maana kwamba ana mchawi wake mkuu aliyemfanya kama kinga yake. Ndiyo maana maana anakwepwa na mkono wa sheria wa kila uovu alioufanya.

Bila shaka tukio hili la ajali ni matokeo ya nguvu za kichawi za upande wake na za mahasimu wake kugongana (The clash of evil powers) kwa sbb it's obviously aliyekuwa anatafutwa hapo ni yeye na hao wengine wakawa the victims of circumstances..
Richard
 
tz ni nchi ya kifala sana sana. ccm hakuna msafi wote wananuka kama mavi. wanatofautiana viwango vya kunuka mavi. ni majambazi matupu yamefungasha mali za dhulma na kuliibia taifa.
 
Asante sana mkuu, sina la kuongeza hata kidogo.
 
Sumu imemkosa!
Ajali imemkosa!

Je, njia ipi itafaa kwa huyu mpakwa-mafuta?
 
Hii mikoa ya kusini ndo maana hainaga maendeleo sababu ya uchawi! Alienda Magufuli wakampulizia moshi msafara wake, baada ya hapo afya yake ikadolola mpaka akafariki!
Kuna wilaya moja inaitwa Tunduru, ni kama imesaulika katika suala zima la maendeleo. Wenyeji wa kule ikiwemo watumishi mbalimbali wa serikali ni wezi na washirikina wa kupindukia.

Hivyo, wakisikia kuna ziara ya kiongozi yoyote wanawahi kufanya yao ili kiongozi husika asiwafikie 😁
 
Mwenezi atembee na gari yake moja tu kwa kuwa nafasi yake ni ndogo sana. Kutumia magari mengi ni UKICHAA tu
 
Ni UPUMBAVU tu katika national level. Mwenezi ni mtu mdogo sana magari yote ya nini? Stupidity
 
Acha kutetea mediocrity. Makonda alipaswa kuwa peke yake kwenye safari hiyo. Na kama angefanya hivyo aisngesababisha magari mengine 12 kuharibika
 
Hii mikoa ya kusini ndo maana hainaga maendeleo sababu ya uchawi! Alienda Magufuli wakampulizia moshi msafara wake, baada ya hapo afya yake ikadolola mpaka akafariki!
Kama hayo ya kaskazini na Mashariki ndio maendeleo yenyewe basi tunasafari ndefu sana kama taifa.
 

Sababu ya kukimbiza ni kukwepa uwezekano wa sniper kushambulia viongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…