Hakuna uchawi hapo,anangalao ungesema laana ya dhuluma anuai,zilizotekelewa na watu anuai ningekueelewaamoš¤£Hii mikoa ya kusini ndo maana hainaga maendeleo sababu ya uchawi! Alienda Magufuli wakampulizia moshi msafara wake, baada ya hapo afya yake ikadolola mpaka akafariki!
Eh!!Hayana bima yote....watauziana mil5 kila gari...wata order mengine ona pesa zinavyochezewa
Ajali kazini...
Siku ya Makonda ipo tu itafika, tuombe uzima. Ila huyu Makonda atateseka sana kabla hajakufa. Amedhulumu uhai wa watu wengiHakuna uchawi hapo,anangalao ungesema laana ya dhuluma anuai,zilizotekelewa na watu anuai ningekueelewaamoš¤£
Malipo ni hapa hapa duniani wewe mwache atingishe tako lake tu lakini Karma haiwezi kumuacha salama hata kidogoSiku ya Makonda ipo tu itafika, tuombe uzima. Ila huyu Makonda atateseka sana kabla hajakufa. Amedhulumu uhai wa watu wengi
Yuko wapi MAKONDA? Au anasubiri magari yaliyoharibika yatengenezwe ndiyo aendelee na ziara zake za KIJINGA?Dodoma, Tanzania
Bungeni
Esther Bulaya ahoji mali za serikali alipokuwa anachangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge LAAC
View: https://m.youtube.com/watch?v=zndt6zsctn4
Hatimaye Samia amegundua kuwa ZeroBrain anaitia Serikali hasaraMsafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
Inakuwaje Mwenezi wa CCM afuatane na msururu wa magari ya Serikali kwa ajili ya shuguli zisizo na tija.
Haya anayofanya Zerobrain Bashite hayana baraka za Mwenyezi Mungu. Kama kuna wanaojua alama za nyakati, kuna ujumbe kwenye ajali hii
View attachment 2901174