Ajali ya Mwendokasi, Dereva akimbia

Bado nasisitiza bodaboda hana kosa. Amechangamkia fursa ya abiria aliyekuwa na uhitaji wa dharula
 
Madereva wengi hawafatilii sheria na alama za barabarani, matokeo yake wanaendesha vyombo husika kwa mazoea tu,usiku wa kuamkia leo mataa Kimara Kibo nikiwa natokea Ubungo ili nifanye U turn kurudi tena Ubungo gari ya mwendokosi nilishuhudia ikipita bila kufuata Taa za kuongoza barabara {Namaanisha basi la mwendokosi wakati linakatiza Taa nyekundu ilikuwa imeshawaka na sekunde zilishakatika takribani kumi hivi}.
 
Sio wewe ulivunjiwa simu na wasamaria wema baada kukuita huku umevaa earphone husikii hata kidogo?kama ni wewe endelea kuomba Mungu maana siku ile usingepona.
 
kwa jinsi DART ma watumishi wake walivyoranduka ni wazi kwa sasa ni idara yenye serikali na sheria zake nje ya hizi za kawaida.

jambo la msingi ni kuwaacha na magari yao.
 
Kuna mdau kanijibu hiyo barabara ni ya mwendokasi haihitaji matuta, nadhani yuko sahihi pia
ndio hivyo na hata zebra zipo kwenye vituo vya mwendokasi tu, so hata hapo hayyt kempiski hakuna zebra, zebra zipo huku kituoni posta mpya nbc bank.
Hapo dreva wa mwendokasi kosa lake ni kukimbia baada ya kutokea hiyo ajali
 
Dereva yuko sahihi kukimbia kwani wangempiga.
Bila shaka atajisalimisha.
Siku hizi wavukaji kwenye zebra wanatamani kulala kabisa sijui nini kimewapata watu.
Ukisimama kuwapisha wapite ndio kwanza wanatamani kusimama barabarani
Walijazwa vichwa na trafiki, kuwa ni haki yao, wanavuka wanachat na simu,

Hawajui kesi za trafiki sio nzito kama kujeruhi au kuuwa kwa panga,

Wengine wanavimba kabisa, wanasema nigonge uone,
Bila kujua kuna wakati gari inaweza kupata tatizo la brake na kusaababisha ajali bila kutarajia,

Dereva mwenye akili timamu huwezi kumsababishia mtu ulemavu au kifo kwa kukusudia,
 

Pamoja ni haki yetu kwenye zebra tahadhari muhimu, magari yanaendeshwa na binadamu wenye misongo ya mawazo tele hivyo tahadhari muhimu
 
Serikali ni kama imewaruhusu jamaa wajiendeshe nje ya sheria na kanuni za usalama barabarani.

Unapoona watumishi wa Mwendokasi wanawatunishia mpaka Polisi wasitumie barabara ile wakati wa dharura ujue kuna shida kubwa sana iliyotawaliwa na kiburi
Kwani hyo barabara ni ya polisi. Watu tuzingatie matumiz Sahihi ya barabara... Hyo dharura unaijuaje?
 
Vivuko viwekwe matura hoja mshana Jr Ina mashiko
 
We ni mcenge,hivyo vya kuchati huwa haviwezi kungoja!?
 
Kwani hyo barabara ni ya polisi. Watu tuzingatie matumiz Sahihi ya barabara... Hyo dharura unaijuaje?

Dharura ni kama vile unavyoshikwa na tumbo la makande na ukienda chooni unakuta kipo occupied na unapaswa kusubiri wakati rinda zinashishwa kukaba mzigo usichuruzike mwendo wa kulipuka
 
Kwani hyo barabara ni ya polisi. Watu tuzingatie matumiz Sahihi ya barabara... Hyo dharura unaijuaje?

Dharura ni kama vile unavyoshikwa na tumbo la makande na ukienda chooni unakuta kipo occupied na unapaswa kusubiri wakati rinda zinashishwa kukaba mzigo usichuruzike mwendo wa kulipuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…