Bado nasisitiza bodaboda hana kosa. Amechangamkia fursa ya abiria aliyekuwa na uhitaji wa dharulaNinachowapongeza polisi ni kumkimbilia majeruhi kwanza na kuzuia mabasi mengine ya mwendokasi yaliyokiwa yanakuja kwa kasi, ndipo dereva akapata mwanya kutoka nduki. Bodaboda amepandia mbele ya Mahakama Kuu.
Bodaboda aliyemchukua alikiwa anajua kabisa anamtorosha dereva kwa sababu alitokea nyuma ya dereva aliyekuwa anakimbia na dereva akamdandia wakatoka nduki
Polisi wakijaribu kumfukuza wakamkosa. Hawakuwa na means ya matairi
Madereva wengi hawafatilii sheria na alama za barabarani, matokeo yake wanaendesha vyombo husika kwa mazoea tu,usiku wa kuamkia leo mataa Kimara Kibo nikiwa natokea Ubungo ili nifanye U turn kurudi tena Ubungo gari ya mwendokosi nilishuhudia ikipita bila kufuata Taa za kuongoza barabara {Namaanisha basi la mwendokosi wakati linakatiza Taa nyekundu ilikuwa imeshawaka na sekunde zilishakatika takribani kumi hivi}.Kumetokea ajali inayohusisha basi la Mwendokasi na mtembea kwa miguu.
Ajali imetokea ahsubuhi hii kwenye barabara ya Mwendokasi mbele ya Hoteli ya Kempiski Hyatt
Zamani Kilimanjaro Hotel.
Basi la Mwendokasi likitokea Posta ya Zamani, dereva wake hakujali kivuko cha watembea kwa miguu alimgonga mtu aliyekuwa anavuka na kumkosakosa kumpanda.
Ajali imetokea mbele ya polisi ambao walikimbilia eneo la tukio na kuanda kupa huduma ya kwanza maneruhi aliyekuwa anapaparika.
Dereva wa Mwendokasi alikimbia eneo la tukio na kupanda bodaboda bele na kutokomea kusiko julikana.
Ajali za magari ya Mwendokasi zimezidi na kusababisha madhara na vifo kwa watembea kwa miguu. Mwaka jana jirani yangu aligongwa na kupoteza maisha kwenye zebra croasing pale eneo la Utumishi. Basi lililosababisha lilikuwa linatokea stand ya Kivukoni.
Mamlaka iangalie upya conducts za madereva wa mabasi hayo na kuwapa training za mara jwa mara kwa sababu hali ni mbaya. Na itakuwa mbaya zaidi endapo route ya Mbagala itafunguliwa
Sawa sawa hapo ni kweli nimepotoka.. Thanks[emoji1545]Mkuu si ishakuwa mwendokasi sasa matuta ya nini tena hapo [emoji2960]
Kuna mdau kanijibu hiyo barabara ni ya mwendokasi haihitaji matuta, nadhani yuko sahihi piaHoja yenye mashiko.
Sio wewe ulivunjiwa simu na wasamaria wema baada kukuita huku umevaa earphone husikii hata kidogo?kama ni wewe endelea kuomba Mungu maana siku ile usingepona.Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
ndio hivyo na hata zebra zipo kwenye vituo vya mwendokasi tu, so hata hapo hayyt kempiski hakuna zebra, zebra zipo huku kituoni posta mpya nbc bank.Kuna mdau kanijibu hiyo barabara ni ya mwendokasi haihitaji matuta, nadhani yuko sahihi pia
Walijazwa vichwa na trafiki, kuwa ni haki yao, wanavuka wanachat na simu,Dereva yuko sahihi kukimbia kwani wangempiga.
Bila shaka atajisalimisha.
Siku hizi wavukaji kwenye zebra wanatamani kulala kabisa sijui nini kimewapata watu.
Ukisimama kuwapisha wapite ndio kwanza wanatamani kusimama barabarani
[emoji3][emoji3][emoji3]
Ukiwaona wanavotudharau washuka vituo ambavyo express havishushi huwezi fikiri wanapewa laki 5 kwa mwezi
Halafu sijui kwanini barabara ya mwendokasi haihusiki na matuta
Walijazwa vichwa na trafiki, kuwa ni haki yao, wanavuka wanachat na simu,
Hawajui kesi za trafiki sio nzito kama kujeruhi au kuuwa kwa panga,
Wengine wanavimba kabisa, wanasema nigonge uone,
Bila kujua kuna wakati gari inaweza kupata tatizo la brake na kusaababisha ajali bila kutarajia,
Dereva mwenye akili timamu huwezi kumsababishia mtu ulemavu au kifo kwa kukusudia,
Nimekumiss sanaEnaseketesha sana
Kwani hyo barabara ni ya polisi. Watu tuzingatie matumiz Sahihi ya barabara... Hyo dharura unaijuaje?Serikali ni kama imewaruhusu jamaa wajiendeshe nje ya sheria na kanuni za usalama barabarani.
Unapoona watumishi wa Mwendokasi wanawatunishia mpaka Polisi wasitumie barabara ile wakati wa dharura ujue kuna shida kubwa sana iliyotawaliwa na kiburi
Vivuko viwekwe matura hoja mshana Jr Ina mashikoPale mm nilisha wahi koswa koswa niliangalia upande mmoja kutoka kivukoni sikungalia upande wa kutoka posta ila naanza kuvuka tu nilisikia honii harafu jamaa wanajua kabisa pale kuna zebra ila speed wanazokuja nazo sio kabisa...wanatakiwa wawe wastaarabu kwa kweli sehem za watu wengi wapite taratibu.
We ni mcenge,hivyo vya kuchati huwa haviwezi kungoja!?Namshukuru Mungu sana,siku moja Jioni nilikua navuka barabara ya mwendokasi pale Utumish kwenye Zebra cross huku nachati na simu yangu,sikujua kua nimemaliza kuvuka kumbe bado niko ndani ya barabara,Basi kumbe upande wa pili bus la mwendokasi linakuja wangu wangu kutoka kivukoni,huku upande wa pili wafanyabiashara ndogo ndogo wapale pembeni wananiita kwa sauti kubwa sana nitoke barabarani,lakini masikini nilikua siwaasiki kabisa! Mungu ni mwema sana yule dereva wa mwendokasi alisimama karibu yangu kabisa,na ndiyo nastuka kua kumbe bado niko barabarani!! Kwa kweli namshukuru Mungu hadi Leo kwa kuniponya kwa hiyo ajali!!!!
Kwani hyo barabara ni ya polisi. Watu tuzingatie matumiz Sahihi ya barabara... Hyo dharura unaijuaje?
Kwani hyo barabara ni ya polisi. Watu tuzingatie matumiz Sahihi ya barabara... Hyo dharura unaijuaje?