Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Overtake ya blindspot hio hamna jipya, utagongana vipi na mwenzio kama upo site yako unless otherwise mwenye lorry awe alitanulia kwenye kona.Huna uzoefu wa safari ndefu. Unabeba kijiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Overtake ya blindspot hio hamna jipya, utagongana vipi na mwenzio kama upo site yako unless otherwise mwenye lorry awe alitanulia kwenye kona.Huna uzoefu wa safari ndefu. Unabeba kijiji
Sana Sehemu Nyingine Mashimo Ila Ni Barabara Ya Kuwa Makini SanaDar-Dom highway itafyeka watu sana
Xtrail ndio naskia body yake na mabango ya sigara yale hazina tofauti. 🤣🤣🤣Xtrail plastic
Moro-Dumila Ni hatari zaidi. Ukiingia mkoa wa Dodoma nafuu barabara panaSana Sehemu Nyingine Mashimo Ila Ni Barabara Ya Kuwa Makini Sana
Japo chombo inatembea Sana. Na ule mngurumo full mzuka.Xtrail ndio naskia body yake na mabango ya sigara yale hazina tofauti. 🤣🤣🤣
Hahahah xtrail ina mzuka gani jamani mbona mi naionaga gari ya kindezi tu.Japo chombo inatembea Sana. Na ule mngurumo full mzuka.
Ile barabara imenyooka sana lakini sema ina kona za kibwege sana za kulala nayo.Moro-Dumila Ni hatari zaidi. Ukiingia mkoa wa Dodoma nafuu barabara pana
Huenda ni targets hawa ama?Hizi ajali zinazouwa familia huwa zinakuwa na walakini mkubwa kiroho
Nissan Xtrail sijawahi kuipenda jamani hata chembe!Hahahah xtrail ina mzuka gani jamani mbona mi naionaga gari ya kindezi tu.
acha fix hio ni ajali Kama ajali zingine tuu.Hizi ajali zinazouwa familia huwa zinakuwa na walakini mkubwa kiroho
Kluger ni mnyama kazi mzee baba. Gari ya kuvuruga pori kwa pori. Chaka to Chaka maana ziko zenye 4WD. Ukija kwenye comfort ziko vizuri hata highway unachanja nayo mbuga tu.Nissan Xtrail sijawahi kuipenda jamani hata chembe!
Mkuu Extro nipe 1, 2 za kluger, maana huku kwetu kanda ya ziwa zinabamba sana!
Mkuu mm ndo SUV ya Kwanza nimeinunua 2010 hapo nimepata kazi Tunduma. Lazima nishobokeHahahah xtrail ina mzuka gani jamani mbona mi naionaga gari ya kindezi tu.
Kanda ya ziwa hamjui magari. Kluger si gariNissan Xtrail sijawahi kuipenda jamani hata chembe!
Mkuu Extro nipe 1, 2 za kluger, maana huku kwetu kanda ya ziwa zinabamba sana!
Nunua Vanguard ili uweze ku taste tofauti.Mkuu mm ndo SUV ya Kwanza nimeinunua 2010 Lazima nishoboke
Linakuaje tatizo Tena?tatizo la sisi watanzania ukinunua gari basi hakuna anayekupangia hata kama sio dereva