Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Bila shaka una ule mninga wa TD42Ndomana mm nna mwaka wa 15 bado natumia Nissan patrol
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka una ule mninga wa TD42Ndomana mm nna mwaka wa 15 bado natumia Nissan patrol
Ova
Mzee unasukuma Rengi rover niniSijawahi kuvutiwa na kluger
Nilienda mbeya, kule ziKo nyingi balaa[emoji4]
Usi doubt buy yourself oneI doubt
Chee sana17.5m kila kitu
Exactly...sema muda tu liko body kwa wanangu wa oldskull rides nalifanyia marekebisho na kulipimp,mwezi wa 3,4 ntaitoaa inarudi bombaBila shaka una ule mninga wa TD42
Hahahahahah noma sanaExactly...sema muda tu liko body kwa wanangu wa oldskull rides nalifanyia marekebisho na kulipimp,mwezi wa 3,4 ntaitoaa inarudi bomba
Ova
Kwanini mpaka sasa waziri wa mambo ya ndani bado yupo ofisini ana ramba asali tu hajui kama ajali zina maliza wananchi yeye katulia kimya tuMwaka huu na mwaka jana no zamu ya familia. Yani ni shida jamani
Tume ya kitaalamu iundwe. Ihusishe pande zote za Muungano.Inawezekana Gari kupata hitilafu ikiwa kwenye mwendo ikahama Barabara, na kwa mazingira hayo ni vigumu sana kupata kwa hakika ni nini kilitokea unless kama mtagharamia utafiti wa hali ya juu kama unaofanyika kwa ajali za Ndege.....labda kama Gari itahama na kuingia tu porini bila kupata uharibifu mkubwa Fundi wa kawaida anaweza kugundua ni nini kilitokea, mfano hitilafu kwenye mfumo wa usukani au kupasuka kwa gurudumu n.k.
Pia kuna ishu ya kusinzia.
Ila vyote kwa vyote waweza kupunguza madhara iwapo upo mwendo wa wastani.
SIDO wao hata mashine ya kufyatulia tofali mpaka wakae vikao vya posho mwezi mzimaXtrail Sijui waliifyatua na nn karatasi gani
Ukiwa spidi kuanzia 100 inapepesuka sn barabarani, ukiwa ikiwa tupu ndo kabisa ukipishana na gar kubwa utafkiri umepigwa kimbunga,inabd usimame.
Gar ya kipuuzi sn Ile,Nissan pale walitupiga[emoji3525]
Madereva wapewe elimu hizo gari za kuendea sokoni wanazipiga fimbo kama racing carsGari za ndogo za kijapan zitangazwe janga!
Hatari sana. Gari kama Spacio sio ya kuhimili miundombinu mibovu ya third-world hususan long safari.Madereva wapewe elimu hizo gari za kuendea sokoni wanazipiga fimbo kama racing cars
Sio kluger Bora VanguardUsi doubt buy yourself one
Gari hata ikiwaka moto engine inayeyuka maana yoote ni cast aluminiumGari za sikuhizi zinawekewa body laini na hazina chassis. Zina frame tu ambayo ndio inafungwa fungwa na machuma chuma yote ya chini.
Ndio maana gari ikishafumuliwa sehemu ya engine tu ambako ndio pagumu yote inakuwa inaisha kabisa na kuchanika chanika.