Ajali yaua watu wanne wa familia moja Morogoro

Ajali yaua watu wanne wa familia moja Morogoro

Pole kwa ndugu na jamaa kwa familiar.
R. I. P ndugu zetu.
Mungu awarehemu majerui.

NB: uzi unahabarisha kuhusu ajali ya kupoteza familia ila baadhi yetu tumeingiza uzi wa aina ya magari. Tujikite kwenye lengo
 
Inawezekana Gari kupata hitilafu ikiwa kwenye mwendo ikahama Barabara, na kwa mazingira hayo ni vigumu sana kupata kwa hakika ni nini kilitokea unless kama mtagharamia utafiti wa hali ya juu kama unaofanyika kwa ajali za Ndege.....labda kama Gari itahama na kuingia tu porini bila kupata uharibifu mkubwa Fundi wa kawaida anaweza kugundua ni nini kilitokea, mfano hitilafu kwenye mfumo wa usukani au kupasuka kwa gurudumu n.k.

Pia kuna ishu ya kusinzia.

Ila vyote kwa vyote waweza kupunguza madhara iwapo upo mwendo wa wastani.
Tume ya kitaalamu iundwe. Ihusishe pande zote za Muungano.
 
Xtrail Sijui waliifyatua na nn karatasi gani
Ukiwa spidi kuanzia 100 inapepesuka sn barabarani, ukiwa ikiwa tupu ndo kabisa ukipishana na gar kubwa utafkiri umepigwa kimbunga,inabd usimame.

Gar ya kipuuzi sn Ile,Nissan pale walitupiga[emoji3525]
SIDO wao hata mashine ya kufyatulia tofali mpaka wakae vikao vya posho mwezi mzima
 
Gari za sikuhizi zinawekewa body laini na hazina chassis. Zina frame tu ambayo ndio inafungwa fungwa na machuma chuma yote ya chini.

Ndio maana gari ikishafumuliwa sehemu ya engine tu ambako ndio pagumu yote inakuwa inaisha kabisa na kuchanika chanika.
Gari hata ikiwaka moto engine inayeyuka maana yoote ni cast aluminium
 
Wajaliwe kukutana na muumba wao wakiwa wametakasika, majeruhi wajaliwe kupona kwa haraka.

Tuendelee kuchukua tahadhari kubwa sana tuwapo barabarani na haswa tunapokuwa kwenye vyombo vya usafiri, mwendo mdogo unachelewesha kufika, lakini utafika salama safari yako.
 
Ndo maana walamba asali wananunuliwa Landcruiser 300 series
 

Attachments

  • images (64).jpeg
    images (64).jpeg
    4.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom