Ajira 17,412 kwa kada za Elimu na Afya zatangazwa. Wananchi wenye sifa wahimizwa kuomba nafasi

Ajira 17,412 kwa kada za Elimu na Afya zatangazwa. Wananchi wenye sifa wahimizwa kuomba nafasi

Kwenye Tangazo la ajira za afya yapo maelekezo. Rudi kasome Tangazo
Ipo hivyo
Screenshot_20220421-102959_WPS%20Office.jpg
 
Hii nchi ubabaishaji mwingi sana...
Waziri mzima unatoa matamko ambayo hayajathibiti!
Tangazo linasema wamefungulia dirisha la kutuma maombi kuanzia tarehe 20/04 lakin cha ajabu hadi sasa mfumo umefungwa!

Nashauri mamlaka zetu ziwe zinafanya maandalizi ya kutosha kwanza na kuhakikisha kila kitu kiko sawa ikiwemo mfumo wenyewe kabla ya kutoa matamko/press release za kisenge kama hizi
WaTz kwa kulalamika bhana, kama mwanamke mjamzito.
 
Nakusihi sana... Tena sana... Kahakiki hivyo vyeti (copy) kama unaona ni ujinga acha
ss unahakiki vya nn wakat kwenye mfumo wanataka upload vyet og......reference ya mwaka jana hakukua na kuhakiki veti....usipotezee watu elaa na mda mana hata kwenye tangazo hakuna huo utopoloo
 
Mliofanikiwa kuingia ajiraportal mmetumia simu au laptop?mana haifunguki kabisa kwangu
 
Wakuu, kuna watu mfumo unafanya kazi kweli?
 
Back
Top Bottom