nastic boy
Senior Member
- Oct 9, 2014
- 190
- 17
Lengo ni kukabiliana na tatizo la uhaba wa waalimu na sivyo uonavyo wewe. Shule zimejengwa nyingi wakat walimy ni wachache. Kwa nini walomu waliokwisha kuhitim wasiajiriwe mapema ili kusaidia hawa watoto wa familia duni wanaosoma ktk shule hizi za kata?
Mawazo mazur tatiZo system haiwaelew...