Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mnajipa moyo maskiniJiajiriiiiiii,hukusoma ili uajiriwe,bali uwe boss wewe mwenyewe,pambanaaa,huwezi kuwa tajiri kwa kuajiriwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajipa moyo maskiniJiajiriiiiiii,hukusoma ili uajiriwe,bali uwe boss wewe mwenyewe,pambanaaa,huwezi kuwa tajiri kwa kuajiriwa
Ameshindwa kulifafanua vyema tu, ishu ni watu waajiriwe muda mfupi kama huleti matokeo huna ubunifu ndani ya miaka mitano unatupwa. Ukiwa mzuri unaongezwa mitano mingine ila maslahi yawe mazuri tu.sasa ndugu nikuulize,
Deni la bodi ya mikopo atalipa nani kama nikiajiriwa kwa miaka 10 tu?
Kwa kweli ukipewa kitengo cha kutunga sera za uchumi na Siasa utatenguliwa mapema sana
Hauoni hadi Baadhi ya Viongozi wa Kiimani nao wanang'ang'ania nafasi? Swala la msingi kutokana na kuongezeka kwa wimbi kubwa la uhaba wa ajira. Kutengenezwe mazingira wezeshi na rafiki kwa watu kujiajiri na kufurahia kujiajiri. Nina uhakika kukifanyika hivyo kutatokea mapinduzi ya watu kuacha kukimbilia ajira na kujiajiri.Hii kauli sitoiacha nitaplead sana tu na nitazisema waajiriwa wapewe mda specific wa kufanya kazi tupishane, we unataka kuhold possession kwa zaidi ya miaka 30+ kwani hiyo office ulijengewa wewe na familia yako?
If ni kwaajili ya public lets public be benefited kwa wote.
Kama ni uzoefu na utaalam ndy mana kuna interviews na selection ya wafanyakazi.
Kila mwenye criteria zinazohitajika kupata kazi apewe kazi kulingana na utaalam wake, tupishaneni kwenye hizo offices wote ni watanzania asee 🇹🇿
Mshahara million 5 kwa miaka 5 tu kisha out. Unafata michango ya NSSF unasonga mbele kama injili. Ukajiajiri maana mtaji unaoNgoja ukiajiriwa ulipwe laki 5 kwa Mwaka una Milion 6 ndani kwa miaka 10 una Milion 60 , matumizi Milion 59 Kama utakubali kustaafu
Usitafute kichaka kisichokuwepo boss halafu acha ubinafsi, kufikiria ajira kwa upande wa kuitafuna nchi tu. Hapo ukipata hiyo nafasi kwa miaka 10 unadhani kuna la maana utafanya zaidi ya kuitafuna chap chap ili upishe mwingine naye atafune? pia si kila anayepinga hii hoja yupo serikalini au ni mwajiriwa.Mtaongea yote mtajitetea ila inapaswa muachie vijana nao wapate ajira wazazi wanasubiri na wao waone matunda ya uzao wao nyie mnabana tu mnashikilia wenyewe tu, mnapeana viti wenyewe tu mnakuwa na mambo ya hierarchical systems kwenye public offices.
It’s your era to end up all of these oppressive deeds.
Wacha vijana tutafute njia bana.
Mshahara hauwezi kuwa laki 5!Ebu pigia hesabu unakatwa NSSF 67000x12monthx10years=24,120,000(nimeassume tu)
Anaweza asiyafute ila akaitumia miaka 10 kutafuna haswa sababu akili yake haiwazi uwajibikaji, inaamini katika kula keki. Ingewaza uwajibikaji angekuja na hoja ya kuhakikisha watumishi wa uma wanawajibika ipasavyo. Na hili ndo tatizo letu, kila aliye nje anawaza aliye ndani anatakiwa kupiga hela na aliye ndani anataka kumeet expectation za jamii inayomzunguka, matokeo yake mtumishi anakuwa mwizi mwizi tu.Huyu jamaa akipata ajira haya mawazo atayafuta 😀😀
serikali inatakiwa iwe inatoa ajira kwa miaka 10 tu baada ya hapo mfanyakazi astaafu
Hakika kabisaaaaaa.. nakuunga mkono kabisaaaa...Hii Topic iwe Pinned ikiwezekana Kwa maana inaweza ikawa muongozo wa mapinduzi na mabadiriko chanya katika nyanja nyingi ndani ya Taifa letu.
Uwajibikaji Ndio mama wa Haki halali/stahiki.
Ahsante mleta Mada.
Akili za kuajiriwa. Namshukuru Mungu aliniepusha huko. Hivi wengine mna ndoto kabisa vichwani vyenu ya kuajiriwa na serikali?serikali inatakiwa iwe inatoa ajira kwa miaka 10 tu baada ya hapo mfanyakazi astaafu
Sawa tajiriMnajipa moyo maskini