UMOJA WA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI
(UVCCM) MBEYA MJINI
OPIS LAY YA KIMYA YA VIJANA WILAYA YA MBEYA MINIS.L.P.3240, SA 0754-699791
KUMB:NA.UVCCM/MIM/MK/BR/VOL.01
20/07/2022
AFISA MTENDAJI KATA,
SL.P. 149
RUANDA
MBEYA.
YAH: MAOMBI YA KUPOKEA MAJINA YA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM PENDEKEZWA KWENYE USAILI WA SENSA KATIKA KATA YAKO,
Husika na somo tajwa hapo juu,
Jumuiya ya umoja wa vijana ccm wilaya ya Mbeya mjini tunaomba upokee majina ya v walio omba na fasi ya Ajira ya muda ya Sensa ya watu na makazi kata yako.
Katika barua hii tume ambatanisha majina ya vijana waliomba nafasi hiyo Ni matumaini yetu kuwa maombi yetu yoto pokelewa.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
HUSSEIN A. KIMU
KATIBU VUANA CCM(W)
Nakala:
Katibu CCM WILAYA
S.L.P. 1240
MBEYA MJINI
Katibu wa UVCCM Mkoa
KATIBU-UVCCM WILAYA YA MBEYA MJINI