Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
Lakini sasa,,, Tamisemi wangetolea ufafanuzi juu ya hili kuwa kwasasa namna ya uombji ajira za ualimu umebadilika .. waombaji wote watume maombi yao kupitia utumishi .. hii ya kufanya mambo kimya kimya kwa namna hii maana yake nini ??Lazima walimu nao waanze kupiga paper za utumishi! Ndio zimeanza hivyo walimu mjiandae