IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Mkuu! Unaongea nini wewe? kikubwa mzee wa MIGA hajawa rais ili amsterdam afanye ikulu yetu geto lake.Mkuu naskia eti ile zawadi wa tz tuliyopewa tarehe 17/3 et wewe haikuhusu, ni kweli???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu! Unaongea nini wewe? kikubwa mzee wa MIGA hajawa rais ili amsterdam afanye ikulu yetu geto lake.Mkuu naskia eti ile zawadi wa tz tuliyopewa tarehe 17/3 et wewe haikuhusu, ni kweli???
Hamsatadamu anakula maisha ughaibuni hko wakt huo huo bosi wako mtesi wa wanyonge akiwa amehamia kwenye mbao.Kutoka usingizini ni kumchagua amsterdam awe rais wetu kwa mgongo wa Loketo?
Halafu wapumbavu wanakuja na pambio la legacy, legacyMungu ambariki na amlinde Mheshimiwa Rais wetu Mama yetu kipenzi Samia Suluhu Hassan na kila aina ya ubaya.
Mama aachwe afanye kazi na neema itamfikia kila mmoja wetu.
Kichwa maji, kwanini usipiteTutashuhudia mafuriko ya post twitter na kwingineko.
Hizo fedha fanyieni mambo ya maana msizitumbue kwa anasa tu.
Umenena vyema sana mkuu, hyu ndio wa kutawala mpk achoke, sio yule wa tuko pazuriiiiiiiii, tembeeni vifua mbereeeee huku watu ata mia mfukoni hawana.Nina imani wote waliojeruhiwa na dikteta wanaanza kupata FURAHA. Ni mengi kumbe wamejificha nyuma ya pazia sema kwa kuwa hatukuwa na uhuru wa Habari hatukufahamu. Yote yatatoka nje kwenye jua kabisa tutasikia.
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan huyu ndiye Rais anayefahamu maana ya kuwa Rais. KAMA kuna watu waliitaka tuwe na Rais wa maisha basi huyu ndiye anayestajili na Mungu aliamua iwe hivyo.
Mungu ni fundi haswa. Narudia Mungu siyo fundi mchundo. Jina la Bwana Yesu lihimidiwe.
Hujui unaloongea wewe.Mkuu! Unaongea nini wewe? kikubwa mzee wa MIGA hajawa rais ili amsterdam afanye ikulu yetu geto lake.
Anakula maisha ila hajawa rais. U see?Hamsatadamu anakula maisha ughaibuni hko wakt huo huo bosi wako mtesi wa wanyonge akiwa amehamia kwenye mbao.
Haya ndio mawazo ya masikini!!yaani ni chuki tu kwa mwenye nacho, na ndio yalikuwa mawazo ya meko.aibu sana!!Ni mwendo wa kupiga pesa, kununua miprado, kujenga mighorofa na kuamisha fedha kwenye account zetu za familia kupitia hizi NGO'S.
Sifa ni kuchafua na kua agent wa beberu.
Mkuu vipi... Leo Tunasifia huu uamuzi wa Serikali au Tunauponda?Ile kesi ya ICC watafungua sasa maana fedha wamepata.
Dunia ni hadaa ulimwengu shujaa. Shujaa wa afrika kafa mambo yake yote aliyojulidai yanageuzwa. Mfikishie ujumbe huko kuzimu.Wasirudie tena kujaribu kumuingiza amsterdam ikulu kwa mgongo wa mzee wa MIGA.
Nadhani wamejifunza sasa kwamba mr belgiji ndio aliwasababishia yote hayo.
Utakuda maskini hivyo hivyo.Ni mwendo wa kupiga pesa, kununua miprado, kujenga mighorofa na kuamisha fedha kwenye account zetu za familia kupitia hizi NGO'S.
Sifa ni kuchafua na kua agent wa beberu.
Roho inakuuma unajikaza tu....chatu gangSasa hivi mambo safi eee?
Yani burdani na ccm mbele kwa mbele
Pesa inatoka nje, si kodi ya watanzania; wakinunua Prado kodi inaingia, wakijenga wananunua cement, mabati, matofali, nondo nk viwanda vyetu vinafanya kazi kodi inakusanywa na ajira inaongezeka; wakiingiza fedha kwenye account zao kwenye benki za Tanzania, tunzikopa na kuingiza riba ambayo inakatwa kodi. NGO hizi zinaajiri watanzania nao wanalipa PAYE.Ni mwendo wa kupiga pesa, kununua miprado, kujenga mighorofa na kuamisha fedha kwenye account zetu za familia kupitia hizi NGO'S.
Sifa ni kuchafua na kua agent wa beberu.
Huyu Mama aliishastaafu siku nyingi BBC. Kastaafu Under the Same Sun. Ila bado analeta chokochoko na Serikali. Anaweza akawa anatumiwa na mabeberu huyu. Serikali iwe makini naye!!!!Good! Kumbe Tangazo ni la leo hii. So Vicky Ntetema yupo kwa ofisi now! Ubarikiwe sana Mrembo Vick Ntetema! Sauti yako hunikosha sana!
Afadhali.. marehemu alikuwa shetani kabisa!
HII NI HABARI MBAYA KWA WAFUASI WA MWENDAZAKE AKIWEMO JOB NDUGAI, J. MSUKUMA NA l. LUSINDE
Sio hoja wakiendelea kuzingua kwa agenda za wazungu zinafungwa tena.
Wewe ni pepo mchafu! Shindwa pepo!!Ni mwendo wa kupiga pesa, kununua miprado, kujenga mighorofa na kuamisha fedha kwenye account zetu za familia kupitia hizi NGO'S.
Sifa ni kuchafua na kua agent wa beberu.