Labda baiskelibya BMXKabisa Kwa kweli nauzoefu na gari za ulaya
Kote huko unatafuta nn?BMW ilianza kama kampuni ya kutengeneza engines kabla ya kuanza kutengeneza magari.. Kwahiyo likija swala la engines hapo ndio penyewe..!
Engines za BMW zina character ya tofauti.. Zinahitaji uzipush.. BMW sio gari ya kuendesha kama Toyota kwenye 2500rpms.. BMW engine inakuwa alive kuanzia 4000rpms mpaka redline bila kukata puff..
Head design yao ni hatari.. flow ya hewa kwenye engines zao ni unmatched..!
Engines za performance kwa Toyota kama 3sgte..3M kwenye Toyota 2000GT..1LR kwenye Lexus LFA.. Imebidi ashirikiane na Yamaha.. Kupata head nzuri..!ndio maana ukiendesha 3gste unapata kusmile jinsi engine inavyobehave.. Inapumua vizuri.. Character ya BMW..
Mwisho kabisa.. Toyota Supra ambayo ni legendary/icon kwa Toyota imekubali kuwa powered na mashine ya Bavaria..wamenyoosha mikono hapo..!
BMW X3 za kuanzia 2012 zote ni xdrive ambayo maana yake ni AWD.2007, X3 nilikuwa nayo ilikuwa ya diesel haikuwa AWD. Sijajua ilikuwa ni fault au ndivyo ilivyotengenezwa ila ilikuwa inaweza kukwama sehemu ya kijinga kweli na ilivyonzito kuitoa ilikuwa kazi. Ndo maana nikasema kwa mazingira yetu gari kuwa rear wheel halafu SUV na nzito vile ni ujinga.
Hivyo ni vizazi viwili tofauti.,
hata engines zake kwa sehemu kubwa hazishei.
e90 au f30 au G20 siyo specific gari fulani. Ila ni collective names kwa kizazi fulani za magari.
mfano 320i ya e90 ina engine ya N46B20 au N43B20. N43 ni direct injection wakati n46 ni kawaida.
320i ya f30 inakuja na engine ya N20 au B48. Zote ni twin scroll turbo charged, Direct injection. Na zinazalisha power kubwa.
Gari za Volvo zina hizi sifa pia: battery nyuma na inline engine configurationsKuweka battery nyuma ya gari.
Gari nyingi battery zake zinakaa mbele kwenye bonnet.. Mbele huko kuna engine ambayo inatoa joto kali sana..Battery inakuwa exposed na joto la engine na kusababisha lifespan ya battery kupungua..!
BMW akili nyingi wanaweka battery nyuma.. Inasaidia kudumu zaidi.. Pia ni advantage kwa wale wanaofunga mziki mnene..utatumia wire mfupi sababu battery na amplifier vyote vipo nyuma..!
Engines zao ni Inline 6.
Kampuni nyingi zimehama kwenye engine configuration..BMW hawa mpaka leo hawatengenezi V6.. Wamebaki na I-6.. Power delivery yake ni very smooth.. Engine iko well balanced.. Ndio inafanya huchoki kueindesha gari huku unasmile usoni..!
Service yake jumla had oil ndo inafka 150,000 , filter haiwez kuuzwa iyo beiService yake na spares mbona husemi? Yaani filter tu 150,000?
Tope lipo wapi hapo kwenye picha?Pana mdau anaziponda hizi mashine akidai zinakwama kwenye tope Wabongo bhana...
Tunazungumzia vyuma sio tope...Tope lipo wapi hapo kwenye picha?
Kwanza kwenye matope unafata nini? Gari za kwenye matope zipo jeshini hukoPana mdau anaziponda hizi mashine akidai zinakwama kwenye tope Wabongo bhana...
Usitusikilize wavimba macho wewe nunua gari ule maisha..Nikipata pesa lazima nitamiliki BMW au Mercedes ya bei ya kawaida.
Ufundi nitajifunza mwenyewe maana youtube ipo
Hilo lazima, maana lazima mtu ufurahie maisha kidogo.Usitusikilize wavimba macho wewe nunua gari ule maisha..
Mi mwenye ndo lengo langu kubwaUkiwa na muda.. Vifaa.. Hizi gari unazirekebisha mwenyewe..!
Hii kampuni ya Kijerumani yenye makao yake makuu katika jiji la Munich inatengeneza magari bora zaidi duniani.. Magari ambayo ukiendesha lazima upate furaha.. Gari huichoki.. Driver oriented..
Ultimate Driving Machine..!
Kuweka battery nyuma ya gari.
Gari nyingi battery zake zinakaa mbele kwenye bonnet.. Mbele huko kuna engine ambayo inatoa joto kali sana..Battery inakuwa exposed na joto la engine na kusababisha lifespan ya battery kupungua..!
BMW akili nyingi wanaweka battery nyuma.. Inasaidia kudumu zaidi.. Pia ni advantage kwa wale wanaofunga mziki mnene..utatumia wire mfupi sababu battery na amplifier vyote vipo nyuma..!
Engines zao ni Inline 6.
Kampuni nyingi zimehama kwenye engine configuration..BMW hawa mpaka leo hawatengenezi V6.. Wamebaki na I-6.. Power delivery yake ni very smooth.. Engine iko well balanced.. Ndio inafanya huchoki kueindesha gari huku unasmile usoni..!
Gari zao ni RWD.
BMW almost zote zina engine mounted North to South.. Then drive shaft inapeleka power kwenye tairi za nyuma.. Kwahiyo tairi za nyuma ndio zinaendesha gari huku za mbele zinaongoza gari.. Huu mgawanyo wa majukumu unaleta balance nzuri sana kwenye gari.. Gari inakuwa na uwezo wa kuhandle power kubwa.. Kuvuta mzigo mkubwa.. Manoeuvring kirahisi zaidi barabarani.. Kudrift n spin kirahisi..hata matairi yanaisha taratibu.. Kiujumla gari inakuwa tamu tofauti na gari inayoendeshwa na tairi za mbele FWD..! Gari inasukumwa na sio Kuvuta..!
Kutokana na akili yao nyingi Ninaomba tuendelee kuwaunga mkono kwa kununua gari zao kwa wingi..!