Kwani unapokuwa umelala unajua kama umelala?Hii imekaa kivip?
Mbona ukifa mtu unajua kama umekufa maana unakuwepo kwenye njozi zisizomalizika either ni raha au mateso.
Kulala ni nusu ya kufa mkuu.
Ponda ponda chupa kisha kunywaNipe jina la sumu kali nikanunue
Ili ujue kama umekufa inabidi uwe hai na ukiwa hai wewe haujafa;Hii imekaa kivip?
Mbona ukifa mtu unajua kama umekufa maana unakuwepo kwenye njozi zisizomalizika either ni raha au mateso.
Kulala ni nusu ya kufa mkuu.
Bila ya shaka!!Kwani unapokuwa umelala unajua kama umelala?
Huwezi kujua kama umelala ni mpaka pale utakapoamkaBila ya shaka!!
1. Umeishatoka London:Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Nimesema kulala ni nusu ya kufa...Ili ujue kama umekufa inabidi uwe hai na ukiwa hai wewe haujafa;
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Endelea1. Umeishatoka London:
2. Je, aliyekulia mke wako vipi?Nataraji kwenda nje ya nchi kwa mapumziko kidogo, nimechagua kwenda London
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili...www.jamiiforums.com
Nimechapiwa mke wangu na mzoa taka
Mke wangu amechapwa na mzoa taka ama hakika nimeumia sana ila siwezi kumuacha huyu mke wangu kwa sababu namoenda sana ila ameniomba msamaha Amelia sana mpaka nimemuonea huruma sana mpaka na mimi nikaamua kulia nae Mimi nafanya kazi ya kuendesha magari makubwa ya kwenda Congo kupeleka mizigo...www.jamiiforums.com
3. Ingawa siku iliyotangulia ulisema huna mke:
Nina hofu na uoga! Kwa hii age yangu si ninaweza kuzeeka hivi hivi bila mke au kids? Niko overwhelmed
Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula madada poa tu mpaka nimechoka naona wanaongeza nuksi tu maishani. Niko na age 27 ila mpaka sasa...www.jamiiforums.com
4. Mwanzo wa Mwaka ulikuwa ukiishi Marekani.
Nimechoka maisha ya ughaibuni
Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna...www.jamiiforums.com
Niendelee kukuumbua?
Una kifua?Endelea
Hujakutana na OYA wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kinomaaa,,,,dawa yao wakutane vichwa ngumu ndio wanajua hawajui!
[emoji23][emoji23] wananzengo mumeanzaWewe pesa huna acha kudanganya umati!
Anatupanga [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1. Umeishatoka London:
2. Je, aliyekulia mke wako vipi?Nataraji kwenda nje ya nchi kwa mapumziko kidogo, nimechagua kwenda London
Mimi nafanya kazi wizara x kama head of department ya kitengo fulani kwahiyo kutokana na achievement yangu ambayo nimeipata kama hapa karibuni kuna wizarani ambayo inasisifiwa sana basi ujue ni mimi huyo aisee kwahiyo nimeambiwa nichague kati ya London au New York niende wapi? Ila mimi akili...www.jamiiforums.com
Nimechapiwa mke wangu na mzoa taka
Mke wangu amechapwa na mzoa taka ama hakika nimeumia sana ila siwezi kumuacha huyu mke wangu kwa sababu namoenda sana ila ameniomba msamaha Amelia sana mpaka nimemuonea huruma sana mpaka na mimi nikaamua kulia nae Mimi nafanya kazi ya kuendesha magari makubwa ya kwenda Congo kupeleka mizigo...www.jamiiforums.com
3. Ingawa siku iliyotangulia ulisema huna mke:
Nina hofu na uoga! Kwa hii age yangu si ninaweza kuzeeka hivi hivi bila mke au kids? Niko overwhelmed
Ama hakika hii dunia ili upate peace of mind unapaswa uwe na mke angalau mambo au akili yako inaweza kutulia ila ajabu kwa mimi huu umri mpaka sasa sina mke wala watoto nipo nipo tu, kazi kuwakula madada poa tu mpaka nimechoka naona wanaongeza nuksi tu maishani. Niko na age 27 ila mpaka sasa...www.jamiiforums.com
4. Mwanzo wa Mwaka ulikuwa ukiishi Marekani.
Nimechoka maisha ya ughaibuni
Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna...www.jamiiforums.com
Niendelee kukuumbua?