Akumbukwe John Okello, Baba wa Taifa la Zanzibar. Bila huyu leo Zanzibar wangekuwa bado Utumwani

Akumbukwe John Okello, Baba wa Taifa la Zanzibar. Bila huyu leo Zanzibar wangekuwa bado Utumwani

uongo mwingine Okello hakuwahi kufika Tanga,alitoka Mombasa akaenda Pemba.
 
Tena shida kweli kweli


 
Kwanini amezimwa mazima? Wakati inasemekana yeye ndio aliyekuwa front
Alikuwa ni raia wa Uganda.

Alikuwa tishio kwa Karume

Ilionekana aliutaka Uraisi wa Zanzibar wakati sio Raia wa Zanzibar.

Alionesha dharau mbele ya viongozi wazawa kama Nyerere, Karume nk.

Alijivuna na kujiamini kwa kulewa sifa.

Nyerere akamtimua
 
Huyu ni Mmoja wa Mashujaa wa miaka ile aliyeshiriki kuwaondoa Makoloni huko Zanzibar. Kama ambavyo Bara nao walikuwa wameondoa wao.

Anasimulia mzee wangu ambaye alikuwa Mwalimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka hiyo Che Guavera alikuja Tanzania mwaka 1965. Anasema Che alijaribu kuulizia habari za Mwanamapinduzi aliyesaidia kuipatia Zanzibar Uhuru wake John Okello.

Kwa his disappointment alishtuka kuambiwa the Man alifukuzwa mara baada ya kumaliza jukumu lililomleta Zanzibar kuwaondoa Waarabu waliokuwa wakiitawala Zanzibar.Aliwaokoa Waafrika kutoka kutawaliwa walipopata tu uhuru wakamfukuza.

John Okello Baba wa Taifa la Zanzibar ataendelea kukumbukwa kila tutakapoadhimisha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Baada ya hapo John Okello alirudi kwao kwenda kuendeleza mapambano dhidi ya udhalimu na hatimaye alikuwa kama mtu wa kawaida tu pasipo makuu. Hakulipwa yeye wala familia yake. Kabla ya Mwaka 1967 Che Guevara kufariki aliwahi mtumia mzee wangu barua akimtaka amtafute John Okello wajiunge naye kwenye harakati huko Msumbiji na Angola.

Mzee hakujua aanzie wapi.

Pia Soma Sasa ni wakati wa Zanzibar kumtambua baba wa taifa huru la Zanzibar John Okello
Duh... !.
P
 
Huyu ni Mmoja wa Mashujaa wa miaka ile aliyeshiriki kuwaondoa Makoloni huko Zanzibar. Kama ambavyo Bara nao walikuwa wameondoa wao.

Anasimulia mzee wangu ambaye alikuwa Mwalimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka hiyo Che Guavera alikuja Tanzania mwaka 1965. Anasema Che alijaribu kuulizia habari za Mwanamapinduzi aliyesaidia kuipatia Zanzibar Uhuru wake John Okello.

Kwa his disappointment alishtuka kuambiwa the Man alifukuzwa mara baada ya kumaliza jukumu lililomleta Zanzibar kuwaondoa Waarabu waliokuwa wakiitawala Zanzibar.Aliwaokoa Waafrika kutoka kutawaliwa walipopata tu uhuru wakamfukuza.

John Okello Baba wa Taifa la Zanzibar ataendelea kukumbukwa kila tutakapoadhimisha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Baada ya hapo John Okello alirudi kwao kwenda kuendeleza mapambano dhidi ya udhalimu na hatimaye alikuwa kama mtu wa kawaida tu pasipo makuu. Hakulipwa yeye wala familia yake. Kabla ya Mwaka 1967 Che Guevara kufariki aliwahi mtumia mzee wangu barua akimtaka amtafute John Okello wajiunge naye kwenye harakati huko Msumbiji na Angola.

Mzee hakujua aanzie wapi.

Pia Soma Sasa ni wakati wa Zanzibar kumtambua baba wa taifa huru la Zanzibar John Okello

Nilishasoma hii habar

Wazanzibar wanaopwayuko leo hawakuweza chochote juu ya waarabu mpaka alipo kuja huyo jamaa kutoka uganda
 
Wazanzibar wanaona nishai kwamba alitokea mjaluo mmoja toka Uganda akaja akawakomboa toka Kwa waarabu.

Niliwahi kusoma mahala kwamba baada ya Okello kuwafurusha wajomba zake Chief Hangaya, alipewa madaraka ya kiulinzi (sikumbuki exact jina la cheo) ila akaanza kujikweza sana hata akavuliwa mamlaka hayo ndipo akaakuamua kwenda zake Kenya.

Akumbukwe John Okello.
Hakujikweza walikua wamewaandaa wanamapinduzi feki ambao siku ya mapinduzi walikuwa wamejifungia ndani chini ya vitanda.

Waliona ingekuwa aibu kwa mgeni kupewa ofisi namba 1 kwenye nchi ila kiuhalisia alistahili kutawala wangempa uraia tu kwani hata mtawala namba 1 hakuwa mzawa bali mhamiaji kutoka Malawi.
 
Alikuja jamaa amekaza makalio... Wao walikuwa wametepeta.
 
Alikuja jamaa amekaza makalio... Wao walikuwa wametepeta.
 
Wewe kila kitu umetafiti, vingi tu unasimuliwa na kuunda historia yako.

Okello ndiye jemedari wa mapinduzi hao wengine walishindwa kazi wakaishia kujigicha mafichoni wakisubiri mwanaume apige kazi.

Ugumu unakujia wapi ku appreciate kazi aliyoifanya okello na iko wazi kabisa.
Mapinduzi yangefeli hawa wakina okelo wangeuliwa walijificha bara wangepona so walikwenda front line ndio mashujaa maana walijitoa sadaka
 
Huyu John alikuwa ni wa nchi gani? Alifikaje Zenj? Malizia story
Hii ndiyo SIASA YA TANZANIA. Shuleni tunaambiwa SHEIKH KARUME alileta MAPINDUZI kwa upande wa ZANZIBARI, lakini ukiwa uraiani tunasikia JOHN OKELLO anatajwa kila pahala.

Sasa ukiuliza JOHN OKELLO alikuwa ni nani? Wanakwambia alikuwa ni CARPENTER na CARPENTER kwenye MAPINDUZI YA ZANZIBARI anahusika vipi. Mimi na wengine hatufahamu.. 😂😂
 
Alikuwa ni raia wa Uganda.

Alikuwa tishio kwa Karume

Ilionekana aliutaka Uraisi wa Zanzibar wakati sio Raia wa Zanzibar.

Alionesha dharau mbele ya viongozi wazawa kama Nyerere, Karume nk.

Alijivuna na kujiamini kwa kulewa sifa.

Nyerere akamtimua
Duuh. Ameishia wapi?
 
Back
Top Bottom