Akumbukwe John Okello, Baba wa Taifa la Zanzibar. Bila huyu leo Zanzibar wangekuwa bado Utumwani

Akumbukwe John Okello, Baba wa Taifa la Zanzibar. Bila huyu leo Zanzibar wangekuwa bado Utumwani

Br
City...
City...
Okello anabebeshwa mzigo si wake.

ASP haikuwa na uwezo wa kupindua serikali.

Mipango yote ilifanyika Dar es Salaam ikisimamiwa na Oscar Kambona na Abdullah Kassim Hanga.

Waliweka kambi Kipumbwi ambako waliwaweka Wamakonde kutoka shamba la Mkonge la Sakura kwa ajili ya kuwavusha kuingia Zanzibar kuIpigIa kura ASP na kushiriki katika mapinduzi.

Kambi hii ilikuwa chini ya Ali Mwinyi Tambwe akiwa District Commissioner wa Tanga na Regional Commissioner Jumanne Abdallah.

Waliopewa kazi ya kuchagua vijana wa kuletwa kambini Kipumbwi walikuwa Victor Mkello kiongozi wa chama cha wakata mkonge na Mohamed Omar Mkwawa kijana wa Kidigo kutoka Tanga aliyepatakuwa mwanachama hodari wa ASP.

Ali Mwinyi Tambwe wakati wa ukoloni aliwatumikia Waingereza kama "mole" wao ndani ya TAA kisha TANU.

Mkwawa yeye ndiye aliyekuwa akiwavusha hawa Wamakonde kuwaingiza Zanzibar usiku kwa majahazi wote wamevaa kama wavuvi wa Kidigo.

Kipumbwi yote ilikuwa imezuiwa kwa watu kuingia ovyo.

Hawa Wamakonde ndiyo walioua Waarabu wengi wakulima wa kawaida tu waliokuwa mashambani Zanzibar.

Mpango huu ulifanyika kwa siri kubwa sana.

Mzanzibari aliyepata kufika Kipumbwi inasemekana ni Jimmy Ringo ambae aliuliwa baada ya mapinduzi kama walivyouliwa wana ASP wengine.

John Okello hakuwa katika mipango hii.

Kilichompa umaarufu ni kule yeye kupewa radio kutangaza kuwa serikali imepinduliwa na Karume arejee Zanzibar kukalia kiti chake.

bro, from nowhere okello awe mtangazaji Wa tukio kubwa kama Hilo? heavy to buy.
 
Br


bro, from nowhere okello awe mtangazaji Wa tukio kubwa kama Hilo? heavy to buy.
Mbuli...
Nani kasema alikuwa from nowhere?
Unakijua kisa cha Okello kuvishwa blanketing zito?

Soma kitabu cha Dr. Harith Ghassany, "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru," pdf iko mtandaoni bure.
 
Mbuli...
Nani kasema alikuwa from nowhere?
Unakijua kisa cha Okello kuvishwa blanketing zito?

Soma kitabu cha Dr. Harith Ghassany, "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru," pdf iko mtandaoni bure.
Bro, watawala walimtweza Okello kuhalalisha uhuni mkubwa walomfanyia wa kumpeleka Kenya na kumdampu huko bila fedha yoyote,kama wao waliogopa kwanini mtu ajitoe mhanga halafu afanyiwe hivyo au ni unyama wa mtu mweusi?na kama alikuwa mtangazaji tu kwanini walimpeleka Kenya,waliogopa kumfukuza hukohuko zenji huenda makomredi wasingekubali uhuni huo.
 
Huyu ni Mmoja wa Mashujaa wa miaka ile aliyeshiriki kuwaondoa Makoloni huko Zanzibar. Kama ambavyo Bara nao walikuwa wameondoa wao.

Anasimulia mzee wangu ambaye alikuwa Mwalimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka hiyo Che Guavera alikuja Tanzania mwaka 1965. Anasema Che alijaribu kuulizia habari za Mwanamapinduzi aliyesaidia kuipatia Zanzibar Uhuru wake John Okello.

Kwa his disappointment alishtuka kuambiwa the Man alifukuzwa mara baada ya kumaliza jukumu lililomleta Zanzibar kuwaondoa Waarabu waliokuwa wakiitawala Zanzibar.Aliwaokoa Waafrika kutoka kutawaliwa walipopata tu uhuru wakamfukuza.

John Okello Baba wa Taifa la Zanzibar ataendelea kukumbukwa kila tutakapoadhimisha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Baada ya hapo John Okello alirudi kwao kwenda kuendeleza mapambano dhidi ya udhalimu na hatimaye alikuwa kama mtu wa kawaida tu pasipo makuu. Hakulipwa yeye wala familia yake. Kabla ya Mwaka 1967 Che Guevara kufariki aliwahi mtumia mzee wangu barua akimtaka amtafute John Okello wajiunge naye kwenye harakati huko Msumbiji na Angola.

Mzee hakujua aanzie wapi.

Pia Soma Sasa ni wakati wa Zanzibar kumtambua baba wa taifa huru la Zanzibar John Okello

Kumbe Zanzibar ikitawaliwa na waarabu wa Uingereza ?? Maana ndiko walikokwenda kudai uhuru . Uongo na chuki ikizidi ni aibu tupu
 
Alitumwa na kanisa katoliki , baadaye kanisa likamwacha aubebe msalaba wake mwenyewe
Kwa hiyo wazanzibar walikuwa wapumbavu sana.... yaani walitumiwa mtu wa kuwasaidia na wakatoliki? Huoni unadhalilisha sana wazee wetu waliopambana kumwondoa mkandamizaji na mtawalawa wa watu weusi? Nyie wengine mnatetemeka sana kwa ngozi nyeupe. Lakini Mbabe Okello hakuogopa. Na wale waliokufa mashujaa watakumbukwa. Leo hii tunapata Serikali ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
 
Kwa hiyo wazanzibar walikuwa wapumbavu sana.... yaani walitumiwa mtu wa kuwasaidia na wakatoliki? Huoni unadhalilisha sana wazee wetu waliopambana kumwondoa mkandamizaji na mtawalawa wa watu weusi? Nyie wengine mnatetemeka sana kwa ngozi nyeupe. Lakini Mbabe Okello hakuogopa. Na wale waliokufa mashujaa watakumbukwa. Leo hii tunapata Serikali ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

Hivi mkandamizaji hujamjua mpaka Leo hali hii ndiyo tulipokuwa nayo kabla Uvamizi wa Nyerere na kanisa lake. Soma kitabu cha Mwinyi, cha Jumbe, na Kwaheri Ukoloni , Kwaheri uhuru utamjuwa ni Nani mkandamizaji
 
Jagina acha mzaha watu walimwaga damu.
Siwezi kufanya mzaha kwani walikufa wazee na ndugu zetu , na kuibiwa Mali zetu eti waafrika wakombolewe sijui kutoka kwa Nani kwani Hao waliokufa wengi ni waafrika na akina Okello wamezidi kwani kila uchaguzi wanauliwa waafrika
 
Hivi mkandamizaji hujamjua mpaka Leo hali hii ndiyo tulipokuwa nayo kabla Uvamizi wa Nyerere na kanisa lake. Soma kitabu cha Mwinyi, cha Jumbe, na Kwaheri Ukoloni , Kwaheri uhuru utamjuwa ni Nani mkandamizaji
Wazanzibari wapumbavu hii Leo kwa kuwa ndio wanaowaongoza? Vipi bandari unakubali wapewe waarabu?
 
Siwezi kufanya mzaha kwani walikufa wazee na ndugu zetu , na kuibiwa Mali zetu eti waafrika wakombolewe sijui kutoka kwa Nani kwani Hao waliokufa wengi ni waafrika na akina Okello wamezidi kwani kila uchaguzi wanauliwa waafrika
Kiuhalisia Wazanzibari hawakupenda kumpindua Sultani.
Mapinduzi yalishinikizwa na kutekelezwa na watu wa bara.

Mzanzibari na Mwarabu ni Chanda na Pete.
 
Bahati nzuri au mbaya mimi si hata mtu wa kanda hiyo. Labda uwaguse Wagosi. We ni Mwarabu wa wapi?
Wewe ni wa kanda ya Mbowe? Vipi ikiwa wewe unaongozwa na mpumbavu, wewe utakuwa Nani ?Chizi mtoto wa Maarifa?🤣🤣🤣
 
Kiuhalisia Wazanzibari hawakupenda kumpindua Sultani.
Mapinduzi yalishinikizwa na kutekelezwa na watu wa bara.

Mzanzibari na Mwarabu ni Chanda na Pete.
 
Kiuhalisia Wazanzibari hawakupenda kumpindua Sultani.
Mapinduzi yalishinikizwa na kutekelezwa na watu wa bara.

Mzanzibari na Mwarabu ni Chanda na Pete.

Yalifanywa na Nyerere katika jitihada Zake Za kuupiga vita uislamu huku Zanzibar kwa kuwatumia ASP waliokuwa na uchu wa madaraka pamoja na makomredi . Na tunaona nini wamefanya na wanaendelea kufanya mpaka Leo , Nchi yote wameifisidi, humjui mwenye elimu wala asiye na elimu , watu wamekuwa wezi na matapeli. Humjui mwenye dini wala asiye na dini. Akili yote iko tumboni , kila mtu anahaha kwa ukali wa maisha. Mpaka watoto wa maraisi wanagombea kula. Laan tupu
 
Huyu ni Mmoja wa Mashujaa wa miaka ile aliyeshiriki kuwaondoa Makoloni huko Zanzibar. Kama ambavyo Bara nao walikuwa wameondoa wao.

Anasimulia mzee wangu ambaye alikuwa Mwalimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka hiyo Che Guavera alikuja Tanzania mwaka 1965. Anasema Che alijaribu kuulizia habari za Mwanamapinduzi aliyesaidia kuipatia Zanzibar Uhuru wake John Okello.

Kwa his disappointment alishtuka kuambiwa the Man alifukuzwa mara baada ya kumaliza jukumu lililomleta Zanzibar kuwaondoa Waarabu waliokuwa wakiitawala Zanzibar.Aliwaokoa Waafrika kutoka kutawaliwa walipopata tu uhuru wakamfukuza.

John Okello Baba wa Taifa la Zanzibar ataendelea kukumbukwa kila tutakapoadhimisha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Baada ya hapo John Okello alirudi kwao kwenda kuendeleza mapambano dhidi ya udhalimu na hatimaye alikuwa kama mtu wa kawaida tu pasipo makuu. Hakulipwa yeye wala familia yake. Kabla ya Mwaka 1967 Che Guevara kufariki aliwahi mtumia mzee wangu barua akimtaka amtafute John Okello wajiunge naye kwenye harakati huko Msumbiji na Angola.

Mzee hakujua aanzie wapi.

Pia Soma Sasa ni wakati wa Zanzibar kumtambua baba wa taifa huru la Zanzibar John Okello

kWANI HIVI SASA TUKO HURU ??

John Okello akitekeleza amri ya kanisa katoliki kama alivyoelekezwa na Padri Nyerere


View: https://youtu.be/iW2qHbTN7Pc
 
Back
Top Bottom