Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Al Ahly wametumia source za CAF

So kabla hata hujaanza kubisha unatakiwa ujiulize kwanini African Football League ni mashindano yaliyohusisha timu 8 bora

Kwanini kwenye hizo 8 Gongowazi haipo?

Bahati mbaya napoteza muda wangu kumuelewesha mtu ambaye tuliambiwa hana akili kwasababu nauhakika kuwa wewe sio Sunday Manara wala Kikwete
Ila ktk source za CAF hizo hizo na macomentators walirefer wakati ya mechi ya nusu fainali na fainali ,Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kucheza fainali ya michuano ya CAF (shirikisho),hatuja chukua kombe ila tuna medali ya mshindi wa pili kutoka kombe la shirikisho la CAF.

Ila ww unaijua hata nusu fainal ya michuano yoyote ya CAF?
 
Punguani maana yake amepungukiwa sio kama hana kabisa.

Asiyekuwa na akili maana yake yupo negative hana chochote

Na tukienda kukupa maneno ya Lucy Eymael tutakuja kugundua kilichosemwa na Manata ni cha kweli
Ndiyoo, dish kuyumba aka ukichaa ni kupungukiwa, make uhai bado upo 😂😂😂
 
Wewe nimekwambia wanafanya ivyo ili nyinyi muwaunge mkono wao
Kaizer Chiefs ambao walisema kuwa Tanzani wanaijua Simba pekee

Ilikuwaje waseme hivyo wakati kipindi tunacheza nao nyinyi mlienda kuwasapoti hadi kiongozi wenu?

Je kuna kauli yeyote ambayo ipo kama nukuu ikionesha Kaizer Chiefs wakiisifia Yanga ili Yanga waisapoti Kaizer Chiefs?

Ulisema Yanga wapinzani wanajua Yanga wana akili hivyo hawawezi kuisifia Yanga kwa lengo la kupata watu wa kuwaunga mkono

Vipi kuhusu Hersi kuvaa jezi ya Kaizer Chiefs kuwasapoti kwenye mechi yao dhidi ya Simba?
1701440588594.png
 
"Simba ni mabingwa mara SITA tu sio mara 22", basi okota na hiyo nukuu Mzee wa kuokoteleza. Umbumbumbu aka utaahira ni mzigo
 
Ila ktk source za CAF hizo hizo na macomentators walirefer wakati ya mechi ya nusu fainali na fainali ,Yanga ndio timu ya kwanza kutoka Tanzania kucheza fainali ya michuano ya CAF (shirikisho),hatuja chukua kombe ila tuna medali ya mshindi wa pili kutoka kombe la shirikisho la CAF.

Ila ww unaijua hata nusu fainal ya michuano yoyote ya CAF?
Wakati wa upangaji wa plots za AFL hukusikia pia CAF wakitaja mafanikio ya Simba na moja wapo ni hiyo fainali?

Mbona humu kwenye uzi wa live tuliweka hadi screenshot ulikuwa wapi siku hiyo?
 
Hapo vip!

Leo ilikuwa nawasikiliza waandishi wa habari walijaribu kuwahoji wachezaji wa Alhaly Ally dhini ya kujuaa ukubwa wa Simba cl na yanga.

Wachezaji wa Alihy Ally wamesea hawajawahi kukutana na yanga kwasababu ni timu ndogo ila kwa tanzania ni maarufu,wakasema timu kubwa wanaoijua Tanzania na namba moja kwa ubora ni Simba.

Kama muarabu aliyeandikwa kwenye vitabu vyote vya dini amekiri Simba ndio timu bora na namba one Tanzania..wewe ngozi nyeusi mwenye ukurutu mpaka kwenye akili ni nani?maana ake huna akili na medula oblangata na ubongo wa mbele itakuwa na ugonjwa wa ubishi na upumbavu.
Hongereni kwa kupata kombe lingine kutoka kwa hao Al Ahly.
 
"Simba ni mabingwa mara SITA tu sio mara 22", basi okota na hiyo nukuu Mzee wa kuokoteleza. Umbumbumbu aka utaahira ni mzigo
Nyie ni kama wasanii wa bongo fleva wazee wa kuongeza namba.

Takwimu zinawaumbua na hakuna aliyeweza kupangua hizo hoja.

Waliojaribu walikutana na hoja nzito ambazo hawakutegemea unaweza kufuatilia hiyo thread vizuri.

Mna tatizo kwenye namba
 
Wakati wa upangaji wa plots za AFL hukusikia pia CAF wakitaja mafanikio ya Simba na moja wapo ni hiyo fainali?

Mbona humu kwenye uzi wa live tuliweka hadi screenshot ulikuwa wapi siku hiyo?
Hamna kitu kama hiko kama una video weka hapa? Kwani uzuri hata mimi niliona upangaji wa makundi.

Hebu msikilize commentator.


View: https://www.instagram.com/reel/CtEX14eKrG3/?igshid=ODhhZWM5NmIwOQ==
Wewe niwekee clip kama hii nahisi utakuwa ulisikia ww mwenyewe.Mzungu hajicontradict anaongea kwa data,huyo commentator sio Mpenja.
 
Nyie ni kama wasanii wa bongo fleva wazee wa kuongeza namba.

Takwimu zinawaumbua na hakuna aliyeweza kupangua hizo hoja.

Waliojaribu walikutana na hoja nzito ambazo hawakutegemea unaweza kufuatilia hiyo thread vizuri.

Mna tatizo kwenye nam

Nyie ni kama wasanii wa bongo fleva wazee wa kuongeza namba.

Takwimu zinawaumbua na hakuna aliyeweza kupangua hizo hoja.

Waliojaribu walikutana na hoja nzito ambazo hawakutegemea unaweza kufuatilia hiyo thread vizuri.

Mna tatizo kwenye namba
Nyie ni kama wachawi, waganga wa kienyeji wapiga ramli, Yanga kawakanda mara nyingi zaidi mbumbumbu mara zote walipokutana, Yanga ni bingwa mara nyingi zaidi wa nchi hii, haya sasa piga ramli au okoteleza takwimu zako za kiganga zinazoonyesha mbumbumbu kamfunga zaidi Yanga mara zote walipokutana.
 
Nyie ni kama wachawi, waganga wa kienyeji wapiga ramli, Yanga kawakanda mara nyingi zaidi mbumbumbu mara zote walipokutana, Yanga ni bingwa mara nyingi zaidi wa nchi hii, haya sasa piga ramli au okoteleza takwimu zako za kiganga zinazoonyesha mbumbumbu kamfunga zaidi Yanga mara zote walipokutana.
Mara nyingi mara ngapi?

Nyingi zinaanzia mbili je na sisi hatuwezi kusema mara nyingi, Ihefu nao hawezi kusema mara nyingi?

Pitia thread ya uchambuzi wa Zakazakazi ujifunze vizuri maswala ya namba
 
Mara nyingi mara ngapi?

Nyingi zinaanzia mbili je na sisi hatuwezi kusema mara nyingi, Ihefu nao hawezi kusema mara nyingi?

Pitia thread ya uchambuzi wa Zakazakazi ujifunze vizuri maswala ya namba
Umekalia mara 42 mbumbumbu, hata ukijumlisha ushindi wenu na ihefu dhidi ya Yanga bado mko mbali sana.
 
Umekalia mara 42 mbumbumbu, hata ukijumlisha ushindi wenu na ihefu dhidi ya Yanga bado mko mbali sana.
Hiyo miaka kipindi ambacho Yanga ina nguvu ya kiserikali

Kiasili Yanga ni timu ya chama na kwa kipindi hicho hakukua na mfumo wa vyama vingi kwa hiyo Yanga ilikuwa ina identity za CCM

Hata saizi bado hizo chembechembe zipo
 
Hiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.

Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249
Wanataka kesho mkawashangalie nyie makolo
 
Hamna kitu kama hiko kama una video weka hapa? Kwani uzuri hata mimi niliona upangaji wa makundi.

Hebu msikilize commentator.


View: https://www.instagram.com/reel/CtEX14eKrG3/?igshid=ODhhZWM5NmIwOQ==
Wewe niwekee clip kama hii nahisi utakuwa ulisikia ww mwenyewe.Mzungu hajicontradict anaongea kwa data,huyo commentator sio Mpenja.

Unaelewa kilichozungumzwa hapo?

Ni jina la mashindano ndio key point

Kuwa tangu mashindano yaanze kuitwa jina hilo Yanga ndio timu pekee.

Awali hakukua na kitu kinachoitwa confederation Cup, kulikua kuna CAF Cup ambalo lilikuja kuunganishwa na winners Cup ili ku form confederation.

Hili swala lilishakuwa clarify muda mrefu


1701445048570.png



Credit ya picha: Lupweko
 
Unaelewa kilichozungumzwa hapo?

Ni jina la mashindano ndio key point

Kuwa tangu mashindano yaanze kuitwa jina hilo Yanga ndio timu pekee.

Awali hakukua na kitu kinachoitwa confederation Cup, kulikua kuna CAF Cup ambalo lilikuja kuunganishwa na winners Cup ili ku form confederation.

Hili swala lilishakuwa clarify muda mrefu


View attachment 2830581


Credit ya picha: Lupweko
Labda kama wewe ndio umeshindwa kuelewa, kingereza kwangu hakijawahi kuwa tatizo.

Ulisema utaleta uthibitisho ndio na usubiria.....
 
Labda kama wewe ndio umeshindwa kuelewa, kingereza kwangu hakijawahi kuwa tatizo.

Ulisema utaleta uthibitisho ndio na usubiria.....
Ishu sio kiingereza ishu ni kuelewa, unaweza ukaambiwa hata kiswahili na bado usielewe na tatizo haliwezi kuwa lugha.

Kwani hujaona nimeweka screenshot hapo?
 
Hiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.

Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249
kwa mpira ule wamecheza morocco, yanga siwaamini tena kwa waarabu. naamini kesho wanaweza kupigwa mengi tu. ila nitaenda uwanjani kuwashangilia hivyohivyo.
 
Hili mbona liko wazi, Ranks za CECAFA, CAF na FIFA zinaonyesha hivyo.
 
Back
Top Bottom