Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Azam na n
Club iliyonifunga goli 5 ilifungwa goli 2 na Ihefu ambayo ipo mwishoni mwa msimamo wa ligi.

Kwasababu Club kubwa haiwezi kufungwa na Club ndogo basi tukubali kuwa Ihefu ni wakubwa kwenu.

Kama utabisha hilo kuwa Ihefu ni mkubwa kwako, vipi na sisi tukisema tukubaliane na zile kashfa za rushwa zilizohusishwa kwenye mechi yenu mliyotufunga?
amungo?
 
Ebu kajifunze kuandika kwanza

Na kwa bahati mbaya hautapata hiyo nafasi ya kujifunza kwasababu wewe by default hauna akili except uwe Sunday Manara au Kikwete

Otherwise uuhame timu
Wewe ni punguani tu asiyejitambua, nimekuuliza baada ya iyo clip uliyotuwekea hapo ndio itaongeza ubora wa Simba? Ama ndio itapunguza ubora wa yanga? Ni timu ipi Bora kwa Sasa kwenye ukanda huu wa afrika MASHARIKI na kati juu ya hizi timu 2 za Simba na yanga? Nadhani ukweli unaujua na uyo unashangili clip yake anajua pia lengo lake la kusema vile!
 
Usisahau na wamesema kabisa yanga kuifunga simba goal 5 haimaanishi yanga ni kubwa kuliko simba huwa inatokea team ndogo kufunga timu kubwa ni bahati🤣🤣🤣🤣🤣
Aiseee...😂😂😂
 
Nitapata uungwaji mkono uwanjani kama nisipocheza mind game kwa kumsifia mpinzani wa ninayeenda kucheza naye kesho? Ukiitwa mbumbumbu kuna sababu. Wamewaweka kwenye mfumo mmejaa mmeona ni point mnakuja kutuletea hapa na sisi hatuna shida nyie kuweni tu namba 1 siku likija kombe hapa tutaelewana vizuri.
 
Nitapata uungwaji mkono uwanjani kama nisipocheza mind game kwa kumsifia mpinzani wa ninayeenda kucheza naye kesho? Ukiitwa mbumbumbu kuna sababu. Wamewaweka kwenye mfumo mmejaa mmeona ni point mnakuja kutuletea hapa na sisi hatuna shida nyie kuweni tu namba 1 siku likija kombe hapa tutaelewana vizuri.
Wakati wanakuja kucheza na Simba kwanini hawakuwasifia Yanga kama mimd game ili wapate wapambe wa kuwaunga mkono?
 
Wewe ni punguani tu asiyejitambua, nimekuuliza baada ya iyo clip uliyotuwekea hapo ndio itaongeza ubora wa Simba? Ama ndio itapunguza ubora wa yanga? Ni timu ipi Bora kwa Sasa kwenye ukanda huu wa afrika MASHARIKI na kati juu ya hizi timu 2 za Simba na yanga? Nadhani ukweli unaujua na uyo unashangili clip yake anajua pia lengo lake la kusema vile!
Kuambiwa sina akili na mwana Yanga ambaye sio Sunday Manara wala sio Kikwete ni some sort of ridiculous

Hivi bado hujui ukanda wa Africa mashariki na kati (CECAFA) ni nani ambaye ni Giant?

Unafuatilia mpira kweli?
 
Wakati wanakuja kucheza na Simba kwanini hawakuwasifia Yanga kama mimd game ili wapate wapambe wa kuwaunga mkono?
Walijua fika Yanga wana akili zaidi ya Simba kwa trick hiyo wasingefanikiwa. Lakini pia ile mechi haikua ligi ni mtoano alijua fika haitaji nguvu nyingi nje ya uwanja.
 
Hizi ni mind games, sasa mlivyo mambumbumbu mmeruka nayo tu kwa kukosa akili.

Ulitegemea aisifu klabu anayoenda kukutana nayo ili morali iwe juu apate upinzani?

Haya maneno hata mabondia huongea, akili ndio mmekosa wenzetu.
Mkuu mbona Al ahly anapocheza na Simba kwenye interview huwa wanasema Simba ni timu kubwa Afrika Mashariki na Kati na wanaiheshimu.

Kwa maana hiyo walisema hivyo ili kuwapa morali Simba kushinda?

Wenzetu hawana unafiki wakisema timu fulani ni bora basi wanamaanisha hivyo.
 
Mkuu mbona Al ahly anapocheza na Simba kwenye interview huwa wanasema Simba ni timu kubwa Afrika Mashariki na Kati na wanaiheshimu.

Kwa maana hiyo walisema hivyo ili kuwapa morali Simba kushinda?

Wenzetu hawana unafiki wakisema timu fulani ni bora basi wanamaanisha hivyo.
Zote ni mind games, akisema wewe ni bora ni kukujaza ujae akupige vizuri.

Kwani hamfuatilii mpira wa huko duniani jamani? Hiki ni kitu kidogo sana kupeana maelezo.
 
Yaani Yanga kuifunga Simba ni BAHATI? Hivi huwa mnaandika kwa kutumia akili hizihizi au umetumia MK...U....NDU kuandika?
Mashabiki wengi wa yanga akili hamna zaidi ya matusi
Mwone huyu mlala hoi hapa
 
Walijua fika Yanga wana akili zaidi ya Simba kwa trick hiyo wasingefanikiwa. Lakini pia ile mechi haikua ligi ni mtoano alijua fika haitaji nguvu nyingi nje ya uwanja.
Hiyo Yanga yenye akili ni Yanga ipi?

Hivi target ya mind game ni kupeleka madhara kwa mpinzani unayecheza naye au kwa mashabiki ambao timu yao haihusiki na mechi unayoenda kuicheza?

Maana kama ingekuwa hivyo kuwa Yanga wana akili basi hiki mnachokiita mind game kisingefanyika.

Au unataka kusema ni mind game kwa ajili ya kuwatoa Simba mchezoni kwasababu Yanga mna akili?
 
Kuambiwa sina akili na mwana Yanga ambaye sio Sunday Manara wala sio Kikwete ni some sort of ridiculous

Hivi bado hujui ukanda wa Africa mashariki na kati (CECAFA) ni nani ambaye ni Giant?

Unafuatilia mpira kweli?
Utahaira ni mzigo mzito sana, giant kwa kombe Gani ama mafanikio Gani ebu tueleze, giant wa kuchoma moto viwanja vya watu ama giant wa mwakarobo? Unaelewa maana ya giant? Ukitaja ugiant nakutajia Young Africans ndio giant kwa ukanda huu na sababu na vigezo ninavyo na wewe unitajie timu yako ambayo ni giant unitajie vigezo vya ugiant wake
 
Mkuu mbona Al ahly anapocheza na Simba kwenye interview huwa wanasema Simba ni timu kubwa Afrika Mashariki na Kati na wanaiheshimu.

Kwa maana hiyo walisema hivyo ili kuwapa morali Simba kushinda?

Wenzetu hawana unafiki wakisema timu fulani ni bora basi wanamaanisha hivyo.
Mind games watu hawazijui.

Mind games ni kumjaza mtu ukubwa ili abweteke then ujipigie.

Hakujawahi kuwa na mimd game zenye kum underrate mpinzani kwasababu hiyo itafanya mpinzani aje na mikakati mikubwa kama kisasi.

Kwasababu atakuwa anajua akifungwa atakuwa amethibitisha kuwa kweli yeye ni kibonde hivyo ni lazima aje kwa intensive ya juu.
 
Back
Top Bottom