ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Robertinho angemsikia huyo firauni angempiga makonzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio mmepewa hela?Hao walikuwa mademu wa kizamani
Kama sio wakizamani basi ni huko bush kwenu ndio kuna hizo falsafa.
Mademu wa siku hizi wanataka hela
amungo?Club iliyonifunga goli 5 ilifungwa goli 2 na Ihefu ambayo ipo mwishoni mwa msimamo wa ligi.
Kwasababu Club kubwa haiwezi kufungwa na Club ndogo basi tukubali kuwa Ihefu ni wakubwa kwenu.
Kama utabisha hilo kuwa Ihefu ni mkubwa kwako, vipi na sisi tukisema tukubaliane na zile kashfa za rushwa zilizohusishwa kwenye mechi yenu mliyotufunga?
Wewe ni punguani tu asiyejitambua, nimekuuliza baada ya iyo clip uliyotuwekea hapo ndio itaongeza ubora wa Simba? Ama ndio itapunguza ubora wa yanga? Ni timu ipi Bora kwa Sasa kwenye ukanda huu wa afrika MASHARIKI na kati juu ya hizi timu 2 za Simba na yanga? Nadhani ukweli unaujua na uyo unashangili clip yake anajua pia lengo lake la kusema vile!Ebu kajifunze kuandika kwanza
Na kwa bahati mbaya hautapata hiyo nafasi ya kujifunza kwasababu wewe by default hauna akili except uwe Sunday Manara au Kikwete
Otherwise uuhame timu
Aiseee...😂😂😂Usisahau na wamesema kabisa yanga kuifunga simba goal 5 haimaanishi yanga ni kubwa kuliko simba huwa inatokea team ndogo kufunga timu kubwa ni bahati🤣🤣🤣🤣🤣
Tulipewa hela na CAF kama moja ya timu bora Africa ambazo zilikuwa zinashirikia mashindano ya kipekeeKwa hio mmepewa hela?
Wakati wanakuja kucheza na Simba kwanini hawakuwasifia Yanga kama mimd game ili wapate wapambe wa kuwaunga mkono?Nitapata uungwaji mkono uwanjani kama nisipocheza mind game kwa kumsifia mpinzani wa ninayeenda kucheza naye kesho? Ukiitwa mbumbumbu kuna sababu. Wamewaweka kwenye mfumo mmejaa mmeona ni point mnakuja kutuletea hapa na sisi hatuna shida nyie kuweni tu namba 1 siku likija kombe hapa tutaelewana vizuri.
Kama ambavyo wewe angekusikia Lucy EymaelRobertinho angemsikia huyo firauni angempiga makonzi
Kuambiwa sina akili na mwana Yanga ambaye sio Sunday Manara wala sio Kikwete ni some sort of ridiculousWewe ni punguani tu asiyejitambua, nimekuuliza baada ya iyo clip uliyotuwekea hapo ndio itaongeza ubora wa Simba? Ama ndio itapunguza ubora wa yanga? Ni timu ipi Bora kwa Sasa kwenye ukanda huu wa afrika MASHARIKI na kati juu ya hizi timu 2 za Simba na yanga? Nadhani ukweli unaujua na uyo unashangili clip yake anajua pia lengo lake la kusema vile!
Walijua fika Yanga wana akili zaidi ya Simba kwa trick hiyo wasingefanikiwa. Lakini pia ile mechi haikua ligi ni mtoano alijua fika haitaji nguvu nyingi nje ya uwanja.Wakati wanakuja kucheza na Simba kwanini hawakuwasifia Yanga kama mimd game ili wapate wapambe wa kuwaunga mkono?
Mkuu mbona Al ahly anapocheza na Simba kwenye interview huwa wanasema Simba ni timu kubwa Afrika Mashariki na Kati na wanaiheshimu.Hizi ni mind games, sasa mlivyo mambumbumbu mmeruka nayo tu kwa kukosa akili.
Ulitegemea aisifu klabu anayoenda kukutana nayo ili morali iwe juu apate upinzani?
Haya maneno hata mabondia huongea, akili ndio mmekosa wenzetu.
Zote ni mind games, akisema wewe ni bora ni kukujaza ujae akupige vizuri.Mkuu mbona Al ahly anapocheza na Simba kwenye interview huwa wanasema Simba ni timu kubwa Afrika Mashariki na Kati na wanaiheshimu.
Kwa maana hiyo walisema hivyo ili kuwapa morali Simba kushinda?
Wenzetu hawana unafiki wakisema timu fulani ni bora basi wanamaanisha hivyo.
Mashabiki wengi wa yanga akili hamna zaidi ya matusiYaani Yanga kuifunga Simba ni BAHATI? Hivi huwa mnaandika kwa kutumia akili hizihizi au umetumia MK...U....NDU kuandika?
Hiyo Yanga yenye akili ni Yanga ipi?Walijua fika Yanga wana akili zaidi ya Simba kwa trick hiyo wasingefanikiwa. Lakini pia ile mechi haikua ligi ni mtoano alijua fika haitaji nguvu nyingi nje ya uwanja.
Utahaira ni mzigo mzito sana, giant kwa kombe Gani ama mafanikio Gani ebu tueleze, giant wa kuchoma moto viwanja vya watu ama giant wa mwakarobo? Unaelewa maana ya giant? Ukitaja ugiant nakutajia Young Africans ndio giant kwa ukanda huu na sababu na vigezo ninavyo na wewe unitajie timu yako ambayo ni giant unitajie vigezo vya ugiant wakeKuambiwa sina akili na mwana Yanga ambaye sio Sunday Manara wala sio Kikwete ni some sort of ridiculous
Hivi bado hujui ukanda wa Africa mashariki na kati (CECAFA) ni nani ambaye ni Giant?
Unafuatilia mpira kweli?
Mind games watu hawazijui.Mkuu mbona Al ahly anapocheza na Simba kwenye interview huwa wanasema Simba ni timu kubwa Afrika Mashariki na Kati na wanaiheshimu.
Kwa maana hiyo walisema hivyo ili kuwapa morali Simba kushinda?
Wenzetu hawana unafiki wakisema timu fulani ni bora basi wanamaanisha hivyo.