ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
5imba sio number moja tu Tanzania ni duniani Rais wa FIFA alisema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho ni kimbelembele chenuMbona Simba waliisifia wakiwa wanakuja kucheza na sisi?
Walisema tunajua Simba ni timu ngumu na tuna iheshimu.
Na sio tu hilo, hata kocha wao wa zamani pitso aliwahi kusema Afrika hii hakuna kiwanja kigumu kupata matokeo kama Benjamín Mkapa huku mpinzani akiwa ni Simba.
Hiyo ndio maana real recognize real
AahaaaaaaHuyo tupo naye kila siku hapa Kariakoo atashindwa kuyajua hayo matokeo? Huyo hata kizaramo anakipiga freshh kabisa
Kwani nyie nje na Taifa hamshindi?IHEFU alimfunga YANGA akiwa TAIFA sio?
Hatushindi sisi tunashinda TAIFA TU.Kwani nyie nje na Taifa hamshindi?
Mna kikosi cha kushinda Taifa tu?
KMC zile 5 mlimfungia Taifa?
Kwani alichokisema ni uongo?Hicho ni kimbelembele chenu
Amewasifia ili kutudiscourage
Yeye aje acheze hapa bongo
Sasa wanakuja kucheza na Yanga washindwe kufuatilia mechi zao za mwisho walichezaje? Mbona kama hakuna cha ajabu hapoAahaaaaaa
Al Ahyl wanajua au hawajui?
Kwaiyo Aly ahly wakiongeza ivyo wanawapunguzia yanga ubora wao?Hiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.
Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249
Hii mechi nilikuwepo Taifa nilishuhudia mwenyewe kwa macho yangu bila msaada wa kichupa.Habari wanazo maana kila kitu kipo kwenye data
Ila wenzako walikuwa wanajaribu kupotosha kusema kuwa hii bango halioneshi full time linaonesha dakika ya 85
Hivyo mpira Yanga walisawazisha hizo goli 5 na mpira ukaisha kwa sare
View attachment 2830379
IHEFFU tena?Hawa Al Ahly ina maana hawajui chochote kuhusu IFFHS?
Basi kauli ya Al Ahly iko sahihiHatushindi sisi tunashinda TAIFA TU.
Ukitaka kumpata demu msifie sijawahi kuona mrembo kama wewe, uta tako kubwa, shape kama Carribbean queen atakupa hadi vitu haramuMashabiki wa simba wanazipenda swqga hizi, utafikiri ndiyo zinacheza mpira
Ebu kajifunze kuandika kwanzaKwaiyo Aly ahly wakiongeza ivyo wanawapunguzia yanga ubora wao?
Au wanaiongezea Simba ubora kuizidi yanga? Mda mwingine MUWE na akili kidogo msipende kumpa Bwana Rage sifa kwa umbumbumbu wenu!
Hao walikuwa mademu wa kizamaniUkitaka kumpata demu msifie sijawahi kuona mrembo kama wewe, uta tako kubwa, shape kama Carribbean queen atakupa hadi vitu haramu
Kumbe alie hojiwa ni mpika chai wa ubalozini mimi nilidhani ni kocha wa Al AhlyHuyo tupo naye kila siku hapa Kariakoo atashindwa kuyajua hayo matokeo? Huyo hata kizaramo anakipiga freshh kabisa
Okay baada ya kukusifia kikatokea nini?Mbona Simba waliisifia wakiwa wanakuja kucheza na sisi?
Walisema tunajua Simba ni timu ngumu na tuna iheshimu.
Na sio tu hilo, hata kocha wao wa zamani pitso aliwahi kusema Afrika hii hakuna kiwanja kigumu kupata matokeo kama Benjamín Mkapa huku mpinzani akiwa ni Simba.
Hiyo ndio maana real recognize real
Kwa mujibu wa hii video nni quote, "...they were lucky..!"Club number 1 imepigwa goli 5