Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Najua umenielewa.Washinde mtandaoni ukimaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua umenielewa.Washinde mtandaoni ukimaanisha nini?
Wewe unachezaga draft lakini mahaba yamekupofusha akili umekuwa bure kabisa.Yanga inabidi wakubali tu kuwa wao bado ni immature hata Al Ahly kwenye mechi ya Yanga hajawa na maandalizi makubwa kama aliyofanya kwetu sisi
Kipindi anajiandaa kucheza na sisi walikaa almost wiki na nusu bila mechi yeyote na katika hizo siku wachezaji walizuiwa kushika simu zao.
Lakini mechi ya kesho ni kama Al Ahly wamestukizwa tu katikati ya ratiba zao.
Baada ya Al Ahly kucheza mechi yao ya kwanza ya group stage tarehe 25, juzi tarehe 28 kaingia kupiga mechi ya ligi kuu
Lakini ratiba ingekuwa inamkutanisha Al Ahly na timu kubwa basi hii mechi ya juzi tarehe 28 ingesogezwa mbele ili kujipa muda wa kujiandaa zaidi.
Al Ahly katika mechi zake dhidi ya Simba mpaka sasa hakuna bingwa, tumefungana mara tatu na sare zipo 3
Wakati katika mechi nne walizokutana Yanga na Al Ahly, Yanga kashinda mechi moja na sare moja zilizobaki ni vipigo.
Halafu badala wanakuja kumvalia misuli
Sasa kucheza kwangu draft kunahusianaje na hili swala la watani zetu kutupa recognition?Wewe unachezaga draft lakini mahaba yamekupofusha akili umekuwa bure kabisa.
Kadri unavyocheza na Bingwa yeyote katika draft ndivyo unavyozidi kuwa bora zaidi na kumzidi Bingwa aliyekusumbua, halikadhalika katika soka.
Simba SC ni failures sababu pamoja na kukutana na Al Ahly miaka zaidi ya 6 ila hakuna ambapo amefanikiwa kwa kumzidi Al Ahly kiushindi zaidi ya kuwa sawa kirekodi.
Mamelodi Sundowns ni mfano sahihi kuthibitisha ninacholeleza, Simba mnakwama wapi?
Yanga tunamtaka Al Ahly aje ili tujue namna ya kupambana naye leo na kesho kwa matokeo chanya si kila siku kufanywa ngazi ya mafanikio kwa kuwa Msindikizaji bora kwa Al Ahly jinsi Simba SC ilivyo.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mashabiki wa simba wanazipenda swqga hizi, utafikiri ndiyo zinacheza mpiraHiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.
Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249
Huyo aliyesema haya ni mtu wa Al Ahly sio SimbaMashabiki wa simba wanazipenda swqga hizi, utafikiri ndiyo zinacheza mpira
We ndio yule unasema vijana mjiajiri wakati wewe hata genge limekushinda na kula mshahara wa serikali kwa kiburi...ishara hiyo uliyoiyona maana yake ni kwamba serakali haifanyi wajibu wake..serikali inawajibu wa kutengeneza ajira kwa vijana..hizi hoja za kisiasa za kusema vijana wajiajiri ni kukwepa majukumu..sawa wapo tayari kujiajiri mtaji wanapata wapi..mtu kamaliza chuo kikuu kasoma kwa shida ajira hamna alafu huo mtaji anatoa wap...viongozi ngozi nyeusi ni wakwapa majukumuKama nchi kuna shida mahali ,,,, sio vijana sio wazee,,, ptia vijiwe vya kahawa, bodaboda n.k !
Watu ni kujadili mpira 24/7, kama dsm ndo shida kabisa,,,,,,,,
Too much is harmful
Simba SC mmepaa zaidi kiubora baada ya Mo kuwekeza Simba SC 2017, unadhani Yanga hawatafata nyayo zenu ambapo Wawekezaji GSM waliingia na Yanga SC 2021 na 2022-2023 tayari Yanga wamepanda kiubora kwa soka kwa kufika fainali za CAFCCL hadi kuingia orodha ya klabu 20 bora za Africa na 10 bora kwa klabu zilizofanya vizuri tangu November Mosi 2022 - November 2023.Kuna point ambayo huyu bwege aliongea inaendelea kuishi mpaka leo.
Japo hata yeye wakati huu anaweza kujitokeza kupinga (kwasababu ya kutetea tumbo lake) lakini wanaokuja kusifia ni watu kutoka mbali tena kwenye nchi ambazo wameendelea kimpira.
Tungesema sisi tusingekubalika machoni mwa wengi kwasababu tunajulikana kuwa ni mashabiki na mashabiki hitumia sana hisia.
So inawezekana kwa wakati huo jamaa alitumia hisia kwasababu ya ushabiki lakini at the same time hicho kitu kilikuwa ni kweli.
Kwasababu tunaona wanaokuja kukazia ni watu wengine kabisa
View attachment 2830313
Naondoka na hii QuoteYanga ni underdogs kwa Simba SC kimataifa
Safi sanaHizi ni mind games, sasa mlivyo mambumbumbu mmeruka nayo tu kwa kukosa akili.
Ulitegemea aisifu klabu anayoenda kukutana nayo ili morali iwe juu apate upinzani?
Haya maneno hata mabondia huongea, akili ndio mmekosa wenzetu.
Hii fact sio swaga..fact inatokana na ukweli..we teaching you yanga guys to appreciate truth and facts.Mashabiki wa simba wanazipenda swqga hizi, utafikiri ndiyo zinacheza mpira
Haya majaaa ndio maana yakaitwa Makolo yaani hayana akili ,ukiwafuatilia humu Jf na kwengineko utagundua hilo..Hizi ni mind games, sasa mlivyo mambumbumbu mmeruka nayo tu kwa kukosa akili.
Ulitegemea aisifu klabu anayoenda kukutana nayo ili morali iwe juu apate upinzani?
Haya maneno hata mabondia huongea, akili ndio mmekosa wenzetu.
Ata ningekuwa mimi ningesema hivyo hivyoUsisahau na wamesema kabisa yanga kuifunga simba goal 5 haimaanishi yanga ni kubwa kuliko simba huwa inatokea team ndogo kufunga timu kubwa ni bahati🤣🤣🤣🤣🤣
Alooo yanga wameshapigwa kisaikolojia teyari kesho kazi inamalizwa uwanjani mapema kabisa.
ongeeni muwezavyo mume wenu nae akikaa sawa anapigwa hamsa...CAF ndo watu pekee watakaoweza kutuaminisha kwamba sisi timu ndogo coz kwenye timu bora 5 za CAF nyie makolomoxtra fc hampo sisi tupo MAANAZI YA JUZI NYIEYanga inabidi wakubali tu kuwa wao bado ni immature hata Al Ahly kwenye mechi ya Yanga hajawa na maandalizi makubwa kama aliyofanya kwetu sisi
Kipindi anajiandaa kucheza na sisi walikaa almost wiki na nusu bila mechi yeyote na katika hizo siku wachezaji walizuiwa kushika simu zao.
Lakini mechi ya kesho ni kama Al Ahly wamestukizwa tu katikati ya ratiba zao.
Baada ya Al Ahly kucheza mechi yao ya kwanza ya group stage tarehe 25, juzi tarehe 28 kaingia kupiga mechi ya ligi kuu
Lakini ratiba ingekuwa inamkutanisha Al Ahly na timu kubwa basi hii mechi ya juzi tarehe 28 ingesogezwa mbele ili kujipa muda wa kujiandaa zaidi.
Al Ahly katika mechi zake dhidi ya Simba mpaka sasa hakuna bingwa, tumefungana mara tatu na sare zipo 3
Wakati katika mechi nne walizokutana Yanga na Al Ahly, Yanga kashinda mechi moja na sare moja zilizobaki ni vipigo.
Halafu badala wanakuja kumvalia misuli
Mfano wa Mamelodi Sundowns uliuelewa vizuri lakini Chifu.Sasa kucheza kwangu draft kunahusianaje na hili swala la watani zetu kutupa recognition?
Kwamba sisi tuliofungana sawa kwa rekodi bila ya kupatikana mbabe tunakuwa tumezidiwa na nyie ambao mmechapika two times?