Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Kwahiyo ni Bora kuliwa na Simba au kumezwa na mamba?
 
unamaanisha kama hadithi inaongelea jambo ambalo halipo kwenye quran huikubali? tupe mfano wa hadithi inayokwenda tofauti na quran.
Sikusema "jambo ambalo halipo kwenye Qur'an". Umeyatoa wapi maneno hayo? nimeandika wazi kabisa juu hapo, inayopingana na Qur'an.


Mfano si hiyo hadith ya adhabu ya kaburi, hujanissoma nini juu huko? Umekurupuka?
 
Sikusema "jambo ambalo halipo kwenye Qur'an". Umeyatoa wapi maneno hayo? nimeandika wazi kabisa juu hapo, inayopingana na Qur'an.


Mfano si hiyo hadith ya adhabu ya kaburi, hujanissoma nini juu huko? Umekurupuka
kwa kuikataa hadithi huoni kama unapingana na qurani yenyewe? kwa maana hadithi ni maneno ya mtume rehma na amani ziwe juu yake.
 
Mkuu na wewe unaamini kwenye hizi dini za waarabu na Wazungu? Ambapo hakuna mtume au nabii mweusi.
 
Acha usanii wako wewe, kaburini hakuna maisha, mwili unaoza fahamu zinaondoka unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi "fo fo fo"

Kama unalalaga fo fo fo ukiwa hujitqmbui na unaamka basi jua hata ukifa utaamka hivyo hivyo

Kifo ni fumbo nq mfano wake ni usingizi unaopitia maisha yako ya kila siku

SOMO KUBWA HAPA LA IMANI
 

Kitabu cha biblia takatifu kimeelezea tofauti na mtazamo huu.
Maandiko yanasema
Baada ya kufa binadamu anarudi mavumbini alikotoka na roho (pumzi ya uhai) inarudi kwa Mungu.
Mhubiri : 12 : 7 - Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.
 

Mfano wako ni Akili za kitoto
 
Acha usanii wako wewe, kaburini hakuna maisha, mwili unaoza fahamu zinaondoka unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi "fo fo fo"
Usingizi katika mwili uliooza au sio!!??
Kubabaika huku ni dhahiri unajua kuna maisha baada ya kufa!
La msingi umejiandaaje katika usingizi wako katika mwili uliooza???
 
Kumbe kwenye suala hadithi za imani yenu umechagua zipi za kuziamini?!vipi na wale bikra 72 wenye macho ya mviringo?
 
Kwa hiyo hata sharia ni batiri sio maana kuna kiama!
 
There is no next life when you dead is over, what left is memory of the people shared with you and some time they mind create a 3D picture and think the dead is awake to greet or punish for those who believe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…