Wewe hao mabwana zako wa Israel kwani wanakulipa shilingi ngapi mana kila saa unaanzisha uzi hap JF kuwatetea..
Usiwapangie Aljazeera cha kuongelea kwenye media yao hiyo ndiyo media pekee ianyosema kweli katika media zote za maana hapa duniani..hizo nyengine ziko kama wewe muanzisha thread ambaye unasema bomu la hospitali limepigwa na Hamas lakini ndani ya moyo wako unajua unasema uongo!!!!
Ifikie mahali watu mumuogope Mwenyezi Mungu jamani hivi hamuoni hata aibu? Mjue hapa duniani mta escape kuhukumiwa kwa vile mnatetewa na wakubwa wa dunia lakini kumbukeni kuna siku ya kurudi kwa Muumba..
Hao waisarel na wewe mleta uzi wote mtaulizwa na mtalipwa kwa haya mnayozua
Usiwapangie Aljazeera cha kuongelea kwenye media yao hiyo ndiyo media pekee ianyosema kweli katika media zote za maana hapa duniani..hizo nyengine ziko kama wewe muanzisha thread ambaye unasema bomu la hospitali limepigwa na Hamas lakini ndani ya moyo wako unajua unasema uongo!!!!
Ifikie mahali watu mumuogope Mwenyezi Mungu jamani hivi hamuoni hata aibu? Mjue hapa duniani mta escape kuhukumiwa kwa vile mnatetewa na wakubwa wa dunia lakini kumbukeni kuna siku ya kurudi kwa Muumba..
Hao waisarel na wewe mleta uzi wote mtaulizwa na mtalipwa kwa haya mnayozua