Kwani Israel hakuna waislamu?Hamdanganyi watu. Dunia nzima inajua Isreal. Wewe MKTT wa Mbagala unapiga porojo. Unafaidika na nini kuuliwa waislam?
Mayahudi?
tuseme israel kafanya hivyo je hiyo inahalalisha walichofanya hamas tarehe 07 mwez wa 10 huu?Hamdanganyi watu. Dunia nzima inajua Isreal. Wewe MKTT wa Mbagala unapiga porojo. Unafaidika na nini kuuliwa waislam?
kwamba hujui walichokifanya , ww ni mwehu tuVideo utaipata wewe? Unafaidika nini waislam wakiuliwa?
kama wameweza kugeuza gaza kuwa magofu je wanawezaj kukataa hii kama ni wao ndo wahusika , tumia akil yako vzrHaiwezekani hamas kurusha kombora moja hamas wanarusha mvua ya makombora mzee,,iyo ni Israel imeamua kuwachonganisha wamepinpoint hospital makusudi
Pumbavu, hiyo nchi ni ya Israel tangu enzi za mababu zao kina Daud wamezikwa hapo.Watu wanadai ardh yao ww unawaita waasi shuwaini
Watoto wadogo waisrael waliotekwa na hammas wanahusikaje na ushoga?Ulitaka watete mashoga fara wewe
Aliyechunguza ni huyo huyo aliyesingizia kulipuliwa and kama ingekuwa ni air strike basi kungekuwa na shimo kubwa na hata hayo magari paking yangegeuka geuka na sio kupangwa yakiwa yameungua moto vizuri bila kubomoka wala kuwa vipande vipande ni aibu kubwa kwa news za kimataifa kudanganya Dunia kwa mtutu wa Hamas... hadi nimeichukia Al jazeera tv pendwa... niliposikia tukio mbio kutizama naona watu wanaigiza kwenda kule na kurudi kule Hospitali ipo nzima bomu kavideo kafupi kameunganishwa tofauti na hadithi kama ni hospital... Uongo mkuu wa KigaidiLile bomu limechunguzwa limetengenezwa marekani na limetupwa kutoka kwenye ndege, hamas ana ndege? Na mkutano aliyoitisha biden jordan waarabu wamegoma kushiriki badala la kugundua ukweli huu , acha utoto muwe mnajielimisha kwanza kabla ya kupayuka
Mbona unaruka ruka sana marq usa mara Afghanistan na sasa umerudi Israel uko sawa auKizungu cha Tel Aviv hicho
Huna mpya. Unachuki ndani ya moyo wako dhidi ya uislam na waislamMbona unaruka ruka sana marq usa mara Afghanistan na sasa umerudi Israel uko sawa au
Unadhani kwanini anahangaika hivi kama hajali au haina maslahi kwake?Mwenye dhiki ndiye atakayemtafuta tajiri.
Biden wala hajali kususiwa mkutano ana mambo mengi ya kufanya
Waislamu wote wenye itikadi kali siwapendiChuki zako dhidi ya waislam ndio imekufanya uamini hivyo. Akiuliwa kuku tu ukrain unalia na unapiga kelele
Una tatizo kubwa sanaHuna mpya. Unachuki ndani ya moyo wako dhidi ya uislam na waislam
Hata Tarik Aziz aliyekuwa makamu waziri mkuu wa Iraq ya Saddam Hussein alikuwa mkristo.Ule mgogoro wa Israel na Palestina siyo wa kidini dini inatumika kudanganya wajinga ila kuigawa jamii ili kutimiza malengo ya Kila upande.Kuna waizrael wengi tu ni Wa islamu na wengine hawana dini.Jaribu kumsoma Moshe Dayan ,mmoja wa makamanda na mawaziri wenye kuheshimika ndani na nje ya Israel ,hakuwa na dini.Haina faida kushabikia vifo vya watu.
Nawe kajifunze historia wapalestina siyo wote waislam. Wapo Hadi wakristo kama mke wa Yasser Arafat.