Hivi kumbe Bado watu wapo usingizini hivi? Mimi ni mkristo(kkkt),lakini hii issue siangalii kidini hata kidogo....Niko upande wa haki. hizi hisia za kiimani ndo target yao mashetani ili tuwe upande fulani.nalaani Israel/US/West na ushetani wanaoufanya dhidi ya watu wasio na hatia.fatilieni mambo kiuhalisia acheni kuleta ujinga humu.