Al jazeera ni kituko. Iran na Pakistan wameanza kupigana ila habari zao siku nzima ni kuisakama Israel

Al jazeera ni kituko. Iran na Pakistan wameanza kupigana ila habari zao siku nzima ni kuisakama Israel

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Haw jamaa sio chombo cha habari bali ni chombo cha itikadi. Wanaona haya kubroadcast mvutano ulianza kati ya iran na pakistan eti kisa ni mataifa ya kiislam. Bado tu ni kuwalaumu Israel juu ya vita yao dhidi ya hamas.

Double standard sana hawa watetea magaidi.

Screenshot_20240118_102713_X.jpg
 
Nachojua kwenye dini ile wote lao moja, iwe mwanahabari au kajamba wa mtaani, akishajiunga hiyo dini anakua zombi, na huwa nina wasiwasi sana kwa Pakistan kumiliki nyuklia maana humo mazombi ya dini yanaweza ingiwa na mzuka yakabonyeza.
 
Back
Top Bottom