Wakati wa uchaguzi watanzania wote waliungana na huyo mtu mmoja kwenye mitazamo yake kuhusu corona,baada ya uchaguzi kuisha ndio wanaona huyo mtu anawafanya kuonekana watanzani wajinga.Rais ashauriwe aache kuropoka. Hivi mtu gani asiye na aibu? Sasa hivi watanzania wote tunaonekana machizi, majuha, mahayawani yasiyojielewa sababu ya upumba.vu wa mtu mmoja
Shida ya TZ ujuaji mwingi sana yaani kila mtu ni think tank mpaka tunaingilia professionalism.Msingi wa hizo data na vinavyoitwa tahadhari dhidi ya corona lengo lake kubwa ni kujaza watu hofu na hivyo kuufanya ugonjwa kuendelea kuwa tishio. Lengo ni kuendelea kustimulate demand ya chanjo kwa njia yoyote ile.
Wanaotaka chanjo wajiorganize waagize chanjo zao maisha yaendelee. Dundur heads wengi wanaotaka chanjo hawajui hata hizo pesa za kununulia hiyo chanjo zitatoka wapi.
Wiki chache tu zijazo hali itatulia kama awali. Wataleta kirusi kipya then with time tutakuwa immune tena. Acha tuendelee kucheza ngoma yetu nao wacheze ya kwao.
Mimi binafsi nitaamini tu wana taalamu wa haya masuala maana naweza kusema mashaka yangu bila kuwa na chembe cha kutibitisha na haya yote yanaweza kuwa kweli au sio kweli. Point yangu hapa kubwa kama ni kweli je wamedhamiria kuathiri viumbe vyote na hata family zao, maana chanjo wenyewe wanazigombania kwanza mpaka WHO imeshutumu nchi tajiri kufanya order nyingi na kuziacha nchi maskini sababu tu wamechangia gharama za research. Mimi nitaamini wataalamu katika haya sasa kama Rais wetu anasema nia yao mbaya ni vizuri akaweka hadharani reseacrh waliyofanya kuthibitisha kauli zake.Kuna hoja ya msingi na ya kitaalam juu ya chanjo: ni pale ambapo wanapewa chanjo watu kadhaa, 10% wanakufa immediately, hii ndo hoja ya msingi. Hii ni kielelezo kuwa chanjo haijawa na sifa lengwa, wengine wamesema kuwa baada ya kupewa chanjo walitest +ve kwa HIV, si taarifa njema hizi na haya ndo mambo ya msingi ya kuzungumzia badala ya ;
Wanataka kutupunguza so, so, so
Msosmi tusaidie cost za Covid 19 mpaka sasa zinazidiwa na benefits za kuleta pandemic? Kwa taarifa yako mafua ya kawaida tu (influenza) au saratani inaua watu wengi zaidi hata ya Covid 19. Sasa kwanini usiseme mafua mengine ni mpango pia?Hujui chochote kinachohusu hii pandemic. Pendeni kusoma aisee mana kila kitu kimeshaandikwa ila kimefichwa Na inahitaji hekima ya kidogo kuelewa
Kwani kuna chanjo ambayo imesha wahi kugunduliwa Tz? Pia serikali yetu inafanya nini ili kupata chanjo isiwe na shaka.
Basi awe anakwenda kuabudu chini ya miti kwa miungu yake ya Chato badala ya kwenda makanisani ambako yupo Mungu aliyeletwa Tanzania na mabeberu kama wanavyoleta chanjo!Rais Magufuli ameongea ukweli mchungu!
Wewe itakuwa umekimbia matibabu Milembe hospital. Kama umeambiwa umepona, umedanganywa.Mleta mada huna akili na haujui kiingereza, sijaona aliponangwa
Walau sasa Afrika ina mtu mmoja anayeweza kuwaambia wazungu ukweli!Basi awe anakwenda kuabudu chini ya miti kwa miungu yake ya Chato badala ya kwenda makanisani ambako yupo Mungu aliyeletwa Tanzania na mabeberu kama wanavyoleta chanjo!
zipo chanjo tatu zilizogunduliwa tanzania: Google, prof Philemon Wambura uone ametengeneza chanjo ngapi na ziko sokoni zinatumika. BTW, utengenezaji wa chanjo ni tech ya kawaida isispokuwa cost inakuwa kubwa kwasababu ya diversity ya kirusi chenyewe.Kwani kuna chanjo ambayo imesha wahi kugunduliwa Tz? Pia serikali yetu inafanya nini ili kupata chanjo isiwe na shaka.
Only Mazuzumagic does thatNdio faida ya kuongea bila kufanya utafiti.
Kumbe ni mropokaji!!Tatizo maabara zetu mbovu hawana uwezp wa kuitest io vaccine so ye kaona bora aropoke tu
What is your point?"a vaccination for AIDS would have been found, a vaccination for tuberculosis could have eliminated it by now; a Malaria vaccine would have been found; a vaccination for cancer would have been found by now,”
This statement forces me to appreciate my president due to the factor that, whites have determined that the disease is largely affecting their life compared to africans that is why they are working hard for vaccine. while HIV and malaria affects a large number of Africans whites have shown no measures to introduce their vaccine so as to contain these diseases,so let them carry their cross
What has been spoken by hon.Magufuli is the bitter truth which isn't good to white men.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Chanjo ya nini wakati mipaka yetu ni chanjo tosha. Ukivuka kuingia huku unakuwa covid -ve.Kwani kuna chanjo ambayo imesha wahi kugunduliwa Tz? Pia serikali yetu inafanya nini ili kupata chanjo isiwe na shaka.