Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Alex Massawe abadili dini na kusilimu

Watu wanajadili mambo ya maana nyie mnatuletea hekaya za jambazi kuhamia msikitini ! Msitutoe kwenye mada ya uuzwaji wa BANDARI ZETU.
 
Mtoto wake Frank alioa binti wa kiarabu akabadilishwa dini na demu mwarabu .
Usikute baba nae amepata demu Mwarabu .
Alex na mtoto wake ni matajiri lakini kwa mbinu za ujanja ,utapeli , wizi nk Kwenye biashara za nyumba , magorofa, magari , madini ya Shaba nk
Alihama Tanzania na kuishi South Africa na Dubai .
Hao ni watu wa fursa wanafanya kila kitu kwa sababu na sababu kuu ni pesa na ulaghai
 
Tapeli Sio wa kumuamini hata kidogo mtapigwa tukio Waislamu. Keshaona mchongo wa pesa soon atalia mwarabu.
Jamaa ni mjanja Mbaya.
Kashachungulia pesa za Waafghanistan Na Waarabu wa Uko South Africa.
Muda si Mrefu Tutasikia kilio.
 
Soon waislamu wa South Africa watalia Faiza atakuja kuukimbia Uzi
 
Hatimaye Malebo ameamua kuwa muumini. Mwenzake waliyekua wakipiga wote matukio ambaye baadaye akaja kuokoka na kuja kuwa muimbaji wa nyimbo za Injili kwa miaka mingi aitwaye Munishi, alimshauri sana aachane na maisha yale kamwe hakuwahi kuacha.

Ilifika mahala Munishi ambaye hivi sasa ni Mchungaji huko nchini Kenya,akatunga wimbo kwa ajili ya Alex Massawe uitwao Namlilia Malebo (Malebo ndiyo lilikua jina la kazi la Alex Massawe), akimtaka na yeye arudi kwenye dini na aokoke.

Hatimaye baada ya miaka mingi Alex Massawe ameamua kurudi kwenye dini ingawa si ile ambayo mwenzake alimuita, lakini kikubwa amerudi kundini.

View attachment 2695893
LiMunishi bado litata kwenye post zake mitandaoni.
 
Sema hivi amerudi kwenye dini yake ya asili, kwa sababu kila binadamu huzaliwa akiwa muislamu isipo kua hubadilishwa na wazazi wake
Wewe ni mpumbavu wa degree ya kwanza. Useless
 
Msimwamini sana huyu Alex wala msiamini katika Uislam wake, ni Mdhulumaji mkubwa

Mtakuja kulia, labda kama amemaanisha kweli kweli.
Uislam hatuhukumu kwa tusiyoyajuwa, tunahukumu kwa tunalolijuwa na hapo sote tunaona AM akishahadia rasmi.

Tunampokea katika Uislam.
 
Katazame sifa za aliokuletea Ukristo, paulo. uje useme sifa zake ni zipi na mbona unamfata mpaka leo?

Sifa mbaya zote anazo yeye, alikuwa muuwaji, muongo, mwizi, kambazi, nahisi hata kulawitiwa. Mbona hilo hulioni? Na mpaka leo mnaendelea kuufata uongo wake, hakuwa mtume na kampinga Yesu wazi wazi na kazipinga sheria zote za Musa (Mosaic laws), vipi nyinyi majuha nini?

Massawe kasilimu, maana ya kuwa Muislam ni kujisalimisha kwa mola Muumba wetu. Na Uislam ndiyo dini pekee na kimbilio pekee kwa yeyote. Mlitaka akimbilie wapi? akimbilie kuungama kwa jambazi paulo? au akimbilie kuungama kwa mapadri na maaskofu mashoga?
Kama kweli hiyo Masawe kabadilisha Dini kwa haki,basi aje pia mwenyewe Tanzania amalizane na kesi zake kwa haki! Wengine huwa tunatumia jicho la tatu kuangalia Mambo!!
 
Hilo silifahamu na wala siwezi kulijibia. Ninalolifahamu ni hilo lililopo post namba moja na ushahidi wa video clip.
Unalifahamu sana,sema wajizima Data tu! Jamani msicheze na kitu Imani,Imani ni kitu kikubwa sana na siyo kila Mtu kajaliwa Imani!
 
Kama kweli hiyo Masawe kabadilisha Dini kwa haki,basi aje pia mwenyewe Tanzania amalizane na kesi zake kwa haki! Wengine huwa tunatumia jicho la tatu kuangalia Mambo!!
Huu uzi siyo wa mada za "kesi zake".

Hapa ni mada ya AM kashahadia na kawa Muislam kwa ushahidi kabisa.
 
Mtoto wake Frank alioa binti wa kiarabu akabadilishwa dini na demu mwarabu .
Usikute baba nae amepata demu Mwarabu .
Alex na mtoto wake ni matajiri lakini kwa mbinu za ujanja ,utapeli , wizi nk Kwenye biashara za nyumba , magorofa, magari , madini ya Shaba nk
Alihama Tanzania na kuishi South Africa na Dubai .
Hao ni watu wa fursa wanafanya kila kitu kwa sababu na sababu kuu ni pesa na ulaghai
Hayo yote unayafahamu wewe, mada hii ni ya AM kusilimu.
 
Unalifahamu sana,sema wajizima Data tu! Jamani msicheze na kitu Imani,Imani ni kitu kikubwa sana na siyo kila Mtu kajaliwa Imani!
Hapana silifahamu. Nnachokifahamu ni hiki kilichopo uzi huu.
 
Back
Top Bottom