Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Tjofauti na baharini.Hakuna anga ya kimataifa.Labda upite kule zinakopita satelite.Watatumia anga la kimataifa
Ukiondoa ubabe basi kwa ndege za mizigo huwa lazima zipite anga ambako wataruhusiwa na wenye nchi.
Anga la Aljeria ndio njia fupi kwa ndege kutoka Marekani kufika Israel.