Ali Kiba atangaza ujio wa ziara yake ya muziki ya ''Unforgettable"

Kaongea nn huyo mtambino [emoji3]

πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Mkuu..yaani otimbi otimbilio kwa kweli haeleweki..

sijamuelewa kwakweli

kasema aliingia kosto yunion ili kuongeza CV eti nae kashacheza Primia Ligiiii

akawa anajichekesha "ndiooo nimecheza primia ligiii kuna wakubishaaa"😑😑

aseee naskia kutapka hapa
 
🀣 🀣 🀣 🀣 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kiba miti yote inateleza..

Cloudz imemtelezea
Mke wake ameteleza
Meneja wake 7 Mosha,ameteleza
Mashabiki wameteleza
Mange ametelezaa
Interview imemtelezea

Hata na nyimbo zinautelezi
Coastal Union nayo imeteleza

Sema tu hapendi showoffs:hata kwenye kuteleza
 
Ndivyo alivyo
 
Ndivyo alivyo
 
Jamaa nimeamini ni kubwa jinga...kuwa na marafiki wengi mombasa huenda imeanza kuonyesha athari labda kuna kitu anafanyiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…