Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Hehehehee
Uno la kondeboy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uno la kondeboy
Kama tulivyobarikiwa kuwa na fisiemuKIBA NI MOJA KATI YA WAPUMBAVU TULIOBARIKIWA NCHI HII
So nikuunganishe na kondeboy ili umkatikie mauno ?Hehehehee
So nikuunganishe na kondeboy ili umkatikie mauno ?
Ding yangu KondeboyDingi ako ananitosha acha kuhamisha makolon ya wakubwa zako
Ding yangu Kondeboy
Kwa hio nikuunganishe uwe mchep wa Kondeboi.Heheheee maza ako sara a.k.a one nose
Mtoto bonge la chotara
Huyu nae kaanza mipasho.
Kwa hio nikuunganishe uwe mchep wa Kondeboi.
Deal ?
That's the pointKama ni dingi ako haina haja ya kuunganisha maana tayari ni hawara kitambo sana
That's the point
Ila wewe unatakiwa kupata mwanaume mwingine ili akusugue vizuri maana konde boi hakutoshi.Bad enough ur mom hajui kuchagua khee akaangukia kwa konde aiseeee
Leo nimeamini wasafi festival is a serious threat to the weaken individuals.I still can't figure out why he had to be harsh....Yaani mimi mwenyewe nimeshangaa jamaa maneno yanamtoka kweli kweli kana kwamba ametukanwa duuh kumbe kisa ni kualikwa wasafi festival?
Kiba kakosea maisha?basi watanzania matajiri sana
Afadhali umenisaidiakamjibu kistaarabu kabisa
tena kapiga picha na pembe za ng'ombe badala ya Ferrari yake mpya
King Kiba hapendi showoffs za mjini
Unasema Kiba kama Msaga sumu kwenye muziki au kwenye pesa??Kiba ananini kinachokutisha wewe? Inawezekana watz sio matajiri ila wewe ndo maskini zaidi.
If anything Kiba anasikika sababu ya kufananishwa na Mondi otherwise Kiba kama msagasumu tu.
Kiba haendelei sababu hajitumi asitafute mchawi nani, amuulize Rich Mavoko na wote waliosema Ruge anawanyonya leo wapo wapi kama kweli walikua wananyonywa.
Unasema Kiba kama Msaga sumu kwenye muziki au kwenye pesa??
Naomba uniweke sawa hapo.
Ila wewe unatakiwa kupata mwanaume mwingine ili akusugue vizuri maana konde boi hakutoshi.