Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hongera kamanda nakuona kwenye issue ya escrow umekomaa ile mbaya.....Vp hakuna ratiba ya show za KING utujuze??

Hahahahahaaa! Tunaipigania nchi yetu ili tuikomboe kwa mafisadi wachache wanaojimilikisha.
Bado sijapata taarifa ya show yoyote ya King, nikipata ntaimwaga hapa. Jamani naenda kusikiliza Bunge online. Natoweka hapa kwa muda.
Ova
 
Hahahahahaaa! Tunaipigania nchi yetu ili tuikomboe kwa mafisadi wachache wanaojimilikisha.
Bado sijapata taarifa ya show yoyote ya King, nikipata ntaimwaga hapa. Jamani naenda kusikiliza Bunge online. Natoweka hapa kwa muda.
Ova

Mimi sitaki tena siasa zinachosha sana....uwiiiiii yaani jana nimeumiza akili sana,sitaki mimi nawaachia nyie wataalam
 
Kwanza siasani leo hakueleweki mulongo anaongea vitu ambavyo sivielewi,bora jana nimemuelewa Zitto kidoogo na Deo mwishoni....
 

Mimi pia nakumiss sana,una akili wewe?hua nafurahi unavyokuja kupigilia misumari ya mwisho kwa haters wanaovamia humu
 

That's my girl Ave....awwww penda sana wewe
 

I am here my atoto...jamani jana nimechoka balaa,siasa mbaya sana....sitaki tena
 
Last edited by a moderator:
Kwani uko wapi mumy?ni shimo gani hilo ambalo huwezi kuona TV hata kusikiliza redio?hahahaaa
Au kazini nini?

kazi imenibanaaa, na nimeona huku siasani nikachafukwa tu, bora hata cjaangalia
 
Mimi sitaki tena siasa zinachosha sana....uwiiiiii yaani jana nimeumiza akili sana,sitaki mimi nawaachia nyie wataalam

hahaaaa!!! hayo yana wenyewe mama, rudi tujisahaulishe machungu huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…