Ali Kiba Fans' Special Thread...

Umeona eeh?tokea huu uzi uanze nimeona ID's mpya ambazo sikuwahi kuziona kabla....ni hatari

Yaani watu wanaanzishia ID Mpya uzi huu? Ama kweli watu wanaifanya kazi, coz ukiona mtu anapambana nawe kwa njia haramu ujue anakuhofia sana.
Ova
 

we mjamaaa weweeee
mi apreshiate yuu
 
Yaani watu wanaanzishia ID Mpya uzi huu? Ama kweli watu wanaifanya kazi, coz ukiona mtu anapambana nawe kwa njia haramu ujue anakuhofia sana.
Ova
Wewe hujaziona eeh?ni wachache sana wanaokuja hapa na ID's zao (pia ndio hao hao wenye hizo mpya)
Ajabu sana
 
Mi mwenyewe nimeshangaa eti!
Ila Diva Beyonce alishashtukiaga akawaambia wawe wanakuja na IDs zao za siku zote! Duh kweli Kiba nomaa!

Wana multiple IDs hafu hawaji na za zamani uku tatizo uelewa wanafikiri tunashindana kumbe na kila mtu akipendacho wanajichosha kwakweli Kiba yuko pale pale atawapa pressure bure.
 
Last edited by a moderator:
Wana multiple IDs hafu hawaji na za zamani uku tatizo uelewa wanafikiri tunashindana kumbe na kila mtu akipendacho wanajichosha kwakweli Kiba yuko pale pale atawapa pressure bure.

Hahahaa watu hawana kazi jamani?unafungua I'd nyingine kisa uje utukane huku?
Hatari sana.
Nahisi pia baby ako chinga atakua nayo,hahahaaaa
 
Wewe hujaziona eeh?ni wachache sana wanaokuja hapa na ID's zao (pia ndio hao hao wenye hizo mpya)
Ajabu sana

Sikujua hiyo kitu aiseeh! Sasa shida yote hiyo ya nini? Watu ni wa ajabu sana kusema kweli, yaani wana ID maalum za kututukana sisi na Kiba? Ama kweli ujinga ni mzigo kama wa mavi. Halafu ukishatukana watu kwa ID yako feki unakuwa umepata nini cha maana?
Ova
 
Hahahaa watu hawana kazi jamani?unafungua I'd nyingine kisa uje utukane huku?
Hatari sana.
Nahisi pia baby ako chinga atakua nayo,hahahaaaa

Ha ha ha ha hilo la kuuliza best mi nimechunguza nikafahamu tena kuna mmoja anaandika marefu ka gazeti la shingongo babu anazo nyingi tu ndo anaingia nazo. Huku
 
Hahaaaa nilijua tu utasema,looh!
I miss you ka atoto kangu jamani!

nipo busy kweli leo, nachunguliachungulia, nawamiss mpaka nahisi homa
 
Last edited by a moderator:
Yaani watu wanaanzishia ID Mpya uzi huu? Ama kweli watu wanaifanya kazi, coz ukiona mtu anapambana nawe kwa njia haramu ujue anakuhofia sana.
Ova

mmmh!hh hiyo yote kisa twamshabikia Kiba??? na bado waje nazo tu, ila walaaa haibadilishi chochote!!!! Kiba is the best.
 
Jamani pamoja na mjadala wote ila ally kiba ni kiboko Yao na kukaa kimya wapo wasanii wa nje wakubwa wana kaa kimya lakini akirudi anatisha sasa tusiendekeze unazi usio na msingi jamaa wenu kila siku nyimbo za kulilia mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…