Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila nauliza Ally kiba ni mfalme wa nn mbina sijibiwi!!
Hatupo hapa kujibu maswali ya fans wa dimondo kama mna maswali yenu kwake anzisheni uzi wenu!!
Kila nauliza Ally kiba ni mfalme wa nn mbina sijibiwi!!
Hapo swali la Dimond linatoka wapi...
Swali linasema Kama mnamuita ally kiba mfalme, Je ni mfalme wa nini??
nimegundua humu kuna watu watano tu wanachangia kwa ID zao na za kuchakachua, ni kazi sana kuumua mkate kwa pombe
Ali Kiba ndio yule mwanmziki mkongwe, kwani bado anaimba Ali Kiba?
Sent from my SM-G800H using Tapatalk
We endelea kufuatilia mchiriku.....mambo ya Ali k utaumiza kichwa bure
nimegundua humu kuna watu watano tu wanachangia kwa ID zao na za kuchakachua, ni kazi sana kuumua mkate kwa pombe
wamevurugwa walidhani akidi haitatimizwa
so ngoma inaenda kimtindo bila hata kuunganisha
thread
Mwacheni huyo mzee Ali Kiba afanye mambo mengine, kilakitu kinamuda wake, kimziki IKBA muda wake umeisha msilazimishe.We endelea kufuatilia mchiriku.....mambo ya Ali k utaumiza kichwa bure
the same question applies to you, kiba si anajua mziki kuliko mond?? why all this effort??? jipangeeeeeee
Hapa wanashindana kuuza Tshirt
analazimisha kuitwa hivyo, kazi hakuna
Mhhhhhhhh sasa huyu King alikua wapi siku zote????????
Kasubiri wenzake wamekaa kwenye game eti "The king is back...
Ali Kiba tunajua una sauti nzuri ila you were having all the time hukuweza kutumia
usilazimishe kurudi kwa nguvu just let the nature do its course.. ni sawa na sa hizi
Afande Sele arudi aanze kusema "Mfalme wa Rhymes" nimerudi" Ni kitu hakiwezekani
Kila mfalme na wakati wake..