Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Wapi mlinzi wa zamu au ndo umelala lindon??? Haya njoo ukabidhi kijiti
hahaaa!! mlinzi kalala lindoni jamani, haya amka tumerejea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi mlinzi wa zamu au ndo umelala lindon??? Haya njoo ukabidhi kijiti
Yaani ni shida kiba ni km oxygen xo bila kumtaja utakufa watu wanajishaua tu uzi unamuhusu mtu mwingne bt utakuta jina la kiba na mashabiki wake wanajadiliwa kweli nmeamin kusoma kuelewa
wanawazimu hao
walaaa haujapotea, ulisahau kuwa hapa ni mtakuja?? hata mjizuie vipi hapa lazima mje, sa karibu a home of peace n love
Nimetia aibu mlinzi wa zamu nilivoimbiwa nakshi nakshi mrembo nkasinzia kabisaaa!Wapi mlinzi wa zamu au ndo umelala lindon??? Haya njoo ukabidhi kijiti
ahsante mkuu
mkuu sina chuki na mtu sababu nawapenda wote wawili kiba na chibuOooh My God!!karibu tenaaaaa!!
Atoto weweee unaongea ukweli mpaka watu wanaumwa!!.Mamaa wee Kiba anawapa sana pressure watu jamani!!Wafanye yao tufanye yetu wanashindana na upepo jamani!!Haaa chuki ndo mdudu gani!!mi najua Upendo tuuuu...tena sio kidogo, alafu wanasema cc tuna chuki wakati chuki wanaipandikiza wao na ufikiri wao finyu na kutokujua kusoma alama za nyakati, utadhani wameambiwa au wanashindana kucomment ktk kila uzi unaoanzishwa!!! mfyuuuu wajifunze kuwa na kiasi too much of everything is harmfull, vingine km hujui nyamaza tu, hapa ni kiba's fans km sio fan na una chuki zako soma alafu poteaaaa, km una cha maana comment huna pita km umeona kinyesi barabarani japo harufu ishakupata
Ondoa shaka sisi hapa hatuna chuki na mtu ila tumeamua kumpa support Kiba...nadhani hatuvunji sheria!!mkuu sina chuki na mtu sababu nawapenda wote wawili kiba na chibu
mkuu sina chuki na mtu sababu nawapenda wote wawili kiba na chibu
Nimetia aibu mlinzi wa zamu nilivoimbiwa nakshi nakshi mrembo nkasinzia kabisaaa!
Atoto weweee unaongea ukweli mpaka watu wanaumwa!!.Mamaa wee Kiba anawapa sana pressure watu jamani!!Wafanye yao tufanye yetu wanashindana na upepo jamani!!Haaa chuki ndo mdudu gani!!mi najua Upendo tuuuu...
Jamani,Kiba wewe unachambwa sana jamani!!Ni kweli wewe huna nyota!Ni kweli hujui!Ni kweli unabebwa?kama ni kweli mbona katika thread zao zote hawaishi kukujadili na kukupanda kama farasiii!!wewe unawakosesha raha!Wewe unawauma akili na moyo!.Wewe Ally wewe,unawakosesha usungizi!Nasikia wewe ni Kiboko yao!,nasikia una kipaji cha hali ya juu!...Nasikia wewe una mvuto matata!!Ndo maana wanasema wapo internationally lakini mbona wamekujaza vinywani mwao kama meno!?Unawapa kwikwi ujue!Unawapa heartattack!unawapa mtimanyongo wewe!!AAAhhh ivi unaitambua potential yako wewe!,unajua wewe ni madini hatariiii!!Unajua wewe una nyota ya jaha!!Amka amka!ukimya wako huooo...amka please!!Amka for us!!(Waraka)uwiii
tena sio kidogo, alafu wanasema cc tuna chuki wakati chuki wanaipandikiza wao na ufikiri wao finyu na kutokujua kusoma alama za nyakati, utadhani wameambiwa au wanashindana kucomment ktk kila uzi unaoanzishwa!!! mfyuuuu wajifunze kuwa na kiasi too much of everything is harmfull, vingine km hujui nyamaza tu, hapa ni kiba's fans km sio fan na una chuki zako soma alafu poteaaaa, km una cha maana comment huna pita km umeona kinyesi barabarani japo harufu ishakupata
Jamani,Kiba wewe unachambwa sana jamani!!Ni kweli wewe huna nyota!Ni kweli hujui!Ni kweli unabebwa?kama ni kweli mbona katika thread zao zote hawaishi kukujadili na kukupanda kama farasiii!!wewe unawakosesha raha!Wewe unawauma akili na moyo!.Wewe Ally wewe,unawakosesha usungizi!Nasikia wewe ni Kiboko yao!,nasikia una kipaji cha hali ya juu!...Nasikia wewe una mvuto matata!!Ndo maana wanasema wapo internationally lakini mbona wamekujaza vinywani mwao kama meno!?Unawapa kwikwi ujue!Unawapa heartattack!unawapa mtimanyongo wewe!!AAAhhh ivi unaitambua potential yako wewe!,unajua wewe ni madini hatariiii!!Unajua wewe una nyota ya jaha!!Amka amka!ukimya wako huooo...amka please!!Amka for us!!(Waraka)uwiii
mi sasa hv nshawatia kwenye dustibin
jamani mi leo niko ESCROWWWE.....!!!