Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

Acha umbwenyeye wewe mleta mada au na wewe ni walewale, kuna maadili gani kiongozi kutamka hadharan kuwa vinywaji vishushwe bei tim flan ikifunga.
Hao marafiki zake ambao ni wasanii wanamaadili gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are right for what you said.But come again to re-correct your statement.Look it below;

"Teo wrongs don't make right" What do you mean?

Teo or two??

Hahahahahaaa!!!Worry out,it just my joke@Janjaweed
Teo wrongs don't make right

Pierre, wema ndio hao hao

We can't continue glorifying drunkards and hoots Kama role models

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lengo la kusema vile lilikua ni kwa ajili ya kuwaelimisha wanafunzi wasije kuiga mfano kama wa uyo Mlevi..

Ibaki watu wapate umaarufu kupitia njia nzuri na sio kwa ulevi. kwa mujibu wa hiyo kampeni ya Tokomeza Zero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa la Pieri Likwidi konk ni kuwa timu kibakuli, wakati Bashite ni mlezi wa wachafu.

Pili likwidi konk alimtukana mwandishi wa habari sijajua ni wawasafi maana mbele yake ilikuwepo maiki ya WCB.

Bifu la Wasafi na Likwidi lilianzia kwenye wimbo wa tetema, Reyvan aliingiza maneno na vionjo vya Likwidi bila ridhaa yake.

Likwid akasema wangemwomba ama kumshirikisha yeye mwenyewe ama wampe hata kifuta jasho Wasafi wakakaza.

Ukitaka kujua Bashite anaroho mbaya, huyo Pieri kwenye uhamasishaji Taifa stars alitumika, ila kwenye mechi akazuiwa na Pieri likwidi alitaka aingie kwa masupastar akazuiwa.

Kwenye hafla ya ikulu jina lake lilikatwa, japo Mama Samia kwa heshima na taadhima akamtaja kwa kutambua mchango wa Pieri Likwid konk....hicho kitendo kilimuuma sana Bashite.

Sasa leo mkuu wa wilaya akamwalika kwenye shughuli ya tokomeza ziro, hiki kitendo kimemuuma sana Rais wa Dar kuona jamaa anazidi kuwa juu/kileleni.

Kuna hatari hata makampuni yaliyoanza kufanya kazi na Pier yakasitisha mikataba iwe kwa hiari ama kwa lazima maana Rais wa Dar hapendizwi na wanachokifanya.

Pole Likwid Pierr Konk utabaki kuwa juu kileleni.
Hiyo habari ya piere sijui ni team kiba umechemka mzee.

Piere akipanda jukwaani nyimbo yake kuu anayaitumia ni ya Diamond na Rayvan - Tetema na wametumia kionjo chake humo.

Hana team yeye anashoboka na yoyote anayejitokeza mbele yake hata wewe ukimnunulia bear anakuwa team wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda is right

Pierre is another bad example
Are Wema, Diamond, Rayvanny, Jokate good examples?

Acheni wivu wa kike. Hivi si huyo huyo Bashite alisema watu wanywe nusu bei....wanaokunywa ni akina nani kama sio walevi? Alitarajia mtu nisiyekunywa pombe kama mimi nikalewe?

Bashite ajiangalie sana. Ana roho mbaya kama babake Jiwe.

Kila sector ina watu wake. Na pierre konki faya....mama nakufaaa ni wa sector ya wanywaji. Aacheni wivu wa kike.
Bashite hana busara. Sasa alitaka yeye ndio awe brand ambassador?


Sent using my Nokia Torch
 
Kosa la Pieri Likwidi konk ni kuwa timu kibakuli, wakati Bashite ni mlezi wa wachafu.

Pili likwidi konk alimtukana mwandishi wa habari sijajua ni wawasafi maana mbele yake ilikuwepo maiki ya WCB.

Bifu la Wasafi na Likwidi lilianzia kwenye wimbo wa tetema, Reyvan aliingiza maneno na vionjo vya Likwidi bila ridhaa yake.

Likwid akasema wangemwomba ama kumshirikisha yeye mwenyewe ama wampe hata kifuta jasho Wasafi wakakaza.

Ukitaka kujua Bashite anaroho mbaya, huyo Pieri kwenye uhamasishaji Taifa stars alitumika, ila kwenye mechi akazuiwa na Pieri likwidi alitaka aingie kwa masupastar akazuiwa.

Kwenye hafla ya ikulu jina lake lilikatwa, japo Mama Samia kwa heshima na taadhima akamtaja kwa kutambua mchango wa Pieri Likwid konk....hicho kitendo kilimuuma sana Bashite.

Sasa leo mkuu wa wilaya akamwalika kwenye shughuli ya tokomeza ziro, hiki kitendo kimemuuma sana Rais wa Dar kuona jamaa anazidi kuwa juu/kileleni.

Kuna hatari hata makampuni yaliyoanza kufanya kazi na Pier yakasitisha mikataba iwe kwa hiari ama kwa lazima maana Rais wa Dar hapendizwi na wanachokifanya.

Pole Likwid Pierr Konk utabaki kuwa juu kileleni.
Kuna watu hawajui Wasafi media ni ya nani...
Ukweli ni kwamba Makonda ana zaidi ya 50% hisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Piere namuona ni comedian kama comedian wengine tu inawezekana hata sio mlevi kihivyo anavyoonekana, kuna yule jamaa alikuwa ana act character za ulevi kule kaole sijui anaitwa nan yule mbona alikuwa hashukiwi na kudhalilishwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Achana nao hao wafunga kamba za viatu za wenye nafasi kubwa ili waonekane.
Wananikera maana wanatetea hata uozo.
Ina maana wao hawajui kuwa kwenye jamii watu hawafanani?
Mbona wao wanatetea upumbavu na tunawaona wana maana hatuwaweki kwenye kundi la watu wa hovyo
[emoji23][emoji23][emoji23] halafu kwenye reply yangu moja jamaa kaniita senior idiot... Nimeishia kumshukuru ila sasa anapata za uso huko kwa wengine mpaka anatia huruma

Jr[emoji769]
 
Anachofanya Pierre hakiwezi kuigwa na mwanao wala kizazi kinachochipukia,wewe unaweza kumuona mwanao akaitwa ni mlevi wa taifa na ukamtazama tu?hao wahuni wengine wanaokwendaga mahakamani kila uchao unaowasema nao pia ni wenye tabia mbaya ambayo huyo Makonda aliwahi kuwakemea pale alipowahusisha na madawa ya kulevya

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Acheni ungese....hivi bashite aliposema wanywe nusu bei uadhani watoto wetu hawakusikia? Au hawaoni


Sent using my Nokia Torch
 
Alafu kile kipande cha video kinamuonesha Piere anamtukana mwandishi wa habari ni Part ndogo ya video nzima ambayo Piere aliambiwa aigize kama anaonesha dharau... Wapuuzi wakachukua kipande kidogo cha video nzima wakakipost... Wasafi nao ni wangese tu kama bashite. Wanataka wao tu ndo wawee topic in town...[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho, aliulizwa mbona inasemekana hana makazi analala kwa Lily mmiliki wa Liquid ndiyo hiyo Piere akapanic.

Waandishi wa habari ni wapuuzi kwanini unafunga safari kwenda kumuhoji mtu ameshika bia mkononi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom