spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Hapo itakuwa amemaanisha vyote kwa pamoja vice president is trueHivi kwani hua kuna watu wanaomba yawakute?
Au ulitaka kusema ''Omba yasikukute?"
Mdomo huoπ€¨Sio ipo hapo ndipo ilipo hapo kwamba yeye afe tu kivyake watachomsaidia Wanawake ni kumlilia akiwa amekufa sio kingine
50/50 kwenye nini umesekia wao wanataka wazame na kifusi na umeambiwa jengo linatitia chini50 kwa 50 haifiki kariakoo huko
Hao wakifika eneo la tukio walivyo na roho nyepesi wanaweza kuzirai..Naona picha na Video inayoonyesha wamebeba hata nyundo tu wakishiriki uokoaji
Ukweli hutaki kuusikia si ndio? Kulia tu ila kuokoa hapanaMdomo huoπ€¨
Wanawake watakachomsaidia ni kupika tu kwenye msiba wake.Sio ipo hapo ndipo ilipo hapo kwamba yeye afe tu kivyake watachomsaidia Wanawake ni kumlilia akiwa amekufa sio kingine
Acha tu yaani jana kuna kitu nimeshuhudia nikachoka ila Wanawake Mungu awaache waishi tu tuishi nao hivyo hivyo tu hakuna namnaHao wakifika eneo la tukio walivyo na roho nyepesi wanaweza kuzirai..
V(victory) ni ishara ya ushindi, amekishinda kifo.Hiyo status kabla au baada ya kifusi, kwasbb hiyo ishara alio fanya ni ya kua na peace au akujua hilo
Atakuwa shabiki la YANGA akipata nafuu mwambieni Gamondi alifukuzwaView attachment 3154487Usipoteze tumaini na Imani MOYONI mwako hii ndio hukupa nguvu ya kutokata tamaa. Mungu hutushindia tulio na tumaini na imani ili tuwe mashuhuda wa kati ya walikuwa na AMANI ππΏ
Mungu awalinde na awakoe kwa mkono wake wa ushindi ambao bado wanalotumaini katika mazingira ya kifusi na walioko hospital ππΏ
Sema hawafaiAcha tu yaani jana kuna kitu nimeshuhudia nikachoka ila Wanawake Mungu awaache waishi tu tuishi nao hivyo hivyo tu hakuna namna
Na hizi pongezi ni maalumu kwa Rais Dkt.Asee mungu awapiganie waliosalia.
Kulia tu ila kuokoa aaahUkweli hutaki kuusikia si ndio? Kulia tu ila kuokoa hapana
Wanawake wamekaa chonjo km watu wamefia kwenye kifusi wao watakachosaidia ni kulia sio kingineSema hawafai
Exactly. Kuna baadhi ya dini na mdhehebu yanaamini suruali ni vazi la kiume na hairuhusiwi mwanamke kuvaa mavaz ya kike na mwanamme kuvaa mavazi ya kike. Nadhani ndomana mdau akasema ivyo.Ooh huenda, sasa na mtu akizaliwa ataambiwa auze za kike sababu kazaliwa na mwanamke ππππ
Mimi nadhani alimaanisha kwa Imani yake. Maana aliendelea kitu kama aione pepo, kumrudia Muumba wake, kamuokoa.
Ni kweli kuna siku nikikwama kwenye lifti kisha ikaenda kujibamiza chini kwa nguvu nilikuwa pekeyangu umeme ukazima niliziona rangi zote zilizopo duniani na zisizokuwepoTunaishi ila tujue kifo kipo palepale