Alie jiposti status akiwa chini ya kifusi ameokolewa

Atakuwa shabiki la YANGA akipata nafuu mwambieni Gamondi alifukuzwa
 
Ooh huenda, sasa na mtu akizaliwa ataambiwa auze za kike sababu kazaliwa na mwanamke πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Mimi nadhani alimaanisha kwa Imani yake. Maana aliendelea kitu kama aione pepo, kumrudia Muumba wake, kamuokoa.
Exactly. Kuna baadhi ya dini na mdhehebu yanaamini suruali ni vazi la kiume na hairuhusiwi mwanamke kuvaa mavaz ya kike na mwanamme kuvaa mavazi ya kike. Nadhani ndomana mdau akasema ivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…