AliKiba amdiss Diamond Platnumz kuhusu utajiri na Forbes: Wadau wasema Sadala ni kiki ya album yake mpya

Alichofanya diamond kulia lia kwamba yeye ni tajiri ni kituko mtu yoyote lazima amdhihaki kwa kile kitendo diamond ndo ana vingi vya kujifunza kupitia wenzie
Yeye angekaa kimya kwani Amelia acha uboya pumbavu
 
Endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji119][emoji125]
 
Hahahah kwa Sadala ni eneo flani lenye landscape yenye gentle slope mkoa flani! Hapo gari inaenda bila hata mafuta maana ni asili ya mteremko
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ohooo,kumbe mwamba bado yupo mjini???
Amepotea mpaka tule tu comment twa"hapendi show off" situoni hapa jf
Ashukuru tu hii kiki ,kajua kucheza na fursa. Sio muda atawekwa kundi moja na kina mwijaku.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unadiss vipi mtu usomuweza kwa chochote,waswahili bwana tuna maajabu mno.
Wewe ndio hujamuelewa!!sio suala la kumdiss mtu, bali hoja ni kwamba diamond anapowalaumu jarida la forbes kuwa ktk orodha yao hayupo inakuwaje?!!kwani wale sio kuwa wana kurupuka tu kuna njia zao za kitaalam wanazotumia kufikia kukuweka kwenye orodha yao!!mfano, wewe unaficha takwimu za covid 19!!WHO, wakitoa ripoti yao juu ya nchi ambazo hazina COVID 29, na wewe unakuja kupiga kelele mbona mimi simo?!!
 
Wasted energy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…