Alikiba ameshinda Mtv Ema lakini hakustahili zaidi ya Wizkid!

Alikiba ameshinda Mtv Ema lakini hakustahili zaidi ya Wizkid!

Jana Asubuhi
Ukiingia ktk website ya MTVEMA ukiclick winners, Alikiba ndiye aliyeonekana Mshindi, Mwenye ICON ya kushinda.
Hivi sasa viroja! Hadi jana Kiba alikuwa anaonekana ndo mshindi wakati Mshindi alishatangazwa tangia juzi??!
Wiz.png


Halafu ngoja tuwasemee hawa Sauti Sol kwa King... yaani pamoja na kufanya nae collabo lakini bado anatambua ushindi wa WizKid??!! Ina maana haoni wenzie tunavyoendelea kulia lia??
Sauti.png


Ishu ikaja mbona alikiba anaonekana kashinda, au yupo ktk list ya winners kwa nini hajapewa??? Wakati wenzie wote walipewa??
Jecha Salim Jecha anawahusu... kumbe mlitaka kujitangazia ushindi wenyewe wakati wenye wajibu huo ni MTV!!!!
Hilo ndilo lililoleta usumbufu kwa Mashabiki, na hata sasa ukiingia website yao MTVEMA ni Kipengele cha BEST AFRICAN ACT tu ndiyo kinaonekana hakina Mshindi
Hakina Mshindi vipi wakati Mshindi alishatangazwa tangia juzi?? Angalia hapo juu... hata colleagues wa Kiba, yaani Sauti Sol, walishatoa pongezi za mshindi wa hiyo category tangia juzi!!!!
Kwa Kumbukumbu nzuri, Alikiba alishinda wale MTVEMA wakashangaa imekuwaje kashinda wakati hata MTVMAMA hakupata hata mmoja??? wakawauliza MTVBASE/MTVMAMA kuhusu ushindi huo, hapo ikabidi MTVMAMA waseme anayestahili kuwa BEST WORLD WIDE ACT NI WIZKID, Lakini tatizo likaja Wiz hawezi kupata hiyo mpaka awe ameshinda BEST AFRICA ACT
Assumptions with no evidence!! Hebu tuone website ya MTV ilikuwa inasema nini for Korea:
Korea2.png


Nani alitangazwa Best Worldwide Act?


Korea.png


Kwahiyo madai yako kwamba kwavile WizKid asingeweza kuwa Best Worldwide Act bila kuwa Best African Act ni madai yasiyo na msingi manake hao jamaa wamechukua hiyo tuzo bila kuwa Best Korean Act!
Ndiyo hapo unakuja kukutana na WAAFRIKA KUITWA NYANI, MTVBASE wakajifanya kimbelembele kumtangaza wiz kid
Team Kiba mnatia aibu... mnadiriki kujihalalishia kuwa manyani wakati issue ni nyinyi wenyewe kushindwa kufahamu hata mambo madogo!!! Majority mnadhani MTV Base Africa hawakuwa na wajibu wa kumtangaza winner huku mkidhani mwenye wajibu huo ni MTV EMA!!!

Angalia hapo juu... Winners kutoka nchi na regionals mbalimbali wametangazwa na local MTV channels na sio MTV EMA! Local MTV Channel kwa Africa ni MTV Base Africa... wao wamefanya kilichofanywa na wengine wote! Pamoja na mifano ya hapo juu; wengine hawa hapa:
Spain.png


Mshindi wa Spain huyo, hakutangazwa na MTV EMA bali na MTV Espana
Denmark.png

Mshindi wa Denmark huyo, hakutangazwa na MTV EMA bali na MTV Denmark!!

Dutch.png

Mshindi wa Uholanzi huyo, hakutangazwa na MTV EMA bali na MTV Netherlands.

So, again, madai yenu kwamba MTV Base Africa wamefanya kazi isiyo ya kwao ni madai yasiyo na msingi wowote!!!!


Mpaka sasa MTVEMA hawajaeleweka,
Team Kiba ndo mnajifanya hamjaelewa...
na MILLARD AYO wakati anaposti ktk Mtandao wake alijua kabisa, ktk ile list ikabidi asiripoti kipengele cha Best African Act kwa sababu kilikuwa kinamwonesha ALIKIBA Mshindi wakati MTVBASE walishamtangaza wizkid.
Millard Ayo is smart guy... bado anayakumbuka ya Maalim Seif na Salum Jecha! Asingeweza ku-post kitu ambacho hakijatangazwa officially!!!

Let's take a break kisha tupitie MTV EMA Standard Voting Rules zinasemaje:

The Best Local Act category gives viewers and fans to vote for the Best Local Act in each of 32 separate countries/regions, as outlined on the Website/App, and such categories may be referred to locally by names such as "Best Dutch Act", "Best Belgian Act", etc. Voting for the Best Local Act category has two phases:

  • Phase 1: Pre-nomination.
  • Phase 2: Final Voting: In this phase you will be able to vote for the Best Local Act nominees in any participating country/local region. Local winners from each country/local region will be announced online on 6 November 2016...
Kumbe washayasema hayo kabla... kura zinapigwa, MTV EMA wanafaya tabulation na hatimae MSHINDI ANATANGAZWA!!!! Nisaidie wewe sasa... ni wapi Kiba alitangazwa kwamba mshindi?!

Tuendelee!!


Uamuzi wa kumtangaza Mshindi upo vipi? MTV EMA hawa hapa tena:

The total number of votes submitted during the Voting Period for the "Nominees" in each of the eligible categories will be tabulated by MTV EMA and the "Nominee" with the most votes in its applicable category, as determined by MTV EMA, will be declared the winner of such category. If, for any reason, this voting process is interrupted for any reason, is found to have been tampered with in any way, or for any other reason that MTV EMA believes in its sole discretion to be reasonably necessary, MTV EMA reserves the right to select the winners at its discretion and may take into consideration the number of votes received by a Nominee up until the time of the interruption or cancelation of the voting process.

Lini na kupitia wapi Kiba alikuwa declared kwamba ni winner kama si kwamba mlitaka kujitangazia ushindi wenyewe?


Tuendelee!!

Hii ni Scandal kwa MTVEMA iliyosababishwa na MTVBASE.
Wala hakuna cha scandal wala nini na ndio maana ingawaje winners wametangazwa tangia juzi usiku, ni Team Kiba peke yake ndo wanalalamika... Team wale wale ambao walilia lia kwenye karibu kila tuzo including show ya Mombasa kwamba wamezimiwa mic...!

MSHAZOELEKA!!!

Nimechukia sana namna watu wanavyomzarau Alikiba
Waliopata kuonesha dharau za wazi kwa King ni wale ambao walipata kusema: "Go tell that man to leave the stage in less than two minutes or else we will physically get him out of the podium...."
 
Niaje wadau.

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu Alikiba kupokonywa ushindi huko MTV EMA.Naomba hapa nitumie nafasi hii kufafanua kilichotokea ili kuweza kuondoa huu utata.

Kwa mujibu wa Mtv Ema Alikiba ameshinda kwa kura nyingi sana alizopigiwa na mashabiki na wamemtangaza kuwa katika kipengele cha kura nyingi Ali ndio mshindi.

Naomba tufahamu kwamba Tuzo kubwa kama MTV EMA na BET kuna vipengele ambavyo maamuzi yake hayategemei kura za mashabiki bali huamuliwa na wadhamini, majaji pamoja na waandaaji wa Tuzo. Kipengele hiki huangaliwa ni kiasi gani msanii anafanya vizuri katika category aliyowekwa cz inawezekana msanii akakosa kura nyingi lakini anastaili kupata tuzo kutokana na mchango wake katika mziki.

Kipengele hicho ndicho kilichomfanya Wizzy ashinde Tuzo hiyo ya MTV EMA.
Kiukweli MTV EMA hawajakosea katika hilo cz watanzania wengi walimpigia kura Kiba bila kujali team zao lakini kwa viwango vya kimataifa kiba hawezi kumfikia hata Robo Wizkid.

Alikiba alitakiwa kuwaambia ukweli mashabiki zake na sio kulalamika kwenye media kuwa haelewi kilichotokea wakati anafahamu ukweli wote. Kulalamika kwa Ali kutamsababishia picha mbaya na sidhani kama MTV EMA watakuja tena kumchagua kuwania Tuzo hizo katika Category yoyote ile.

Natumaini nimeeleweka japo kwa uchache.
Sasa kulikua na haja gani ya kumnominate mtu ambae wanajua wasingemtangaza mshindi in any how.......??? That sounds ridiculous
 
Mkuu hio sio account official ya MTVEMA,Ni fake account tu ambayo teamkiba wameanzisha,hakuna sehemu walipojibiwa na MTV niamini mimi.

Halafu hata hizo Link wanazosema waliweka sijui mstari baadae wakautoa pia ni fake...tembelea account yao MTVEMA huko instagrama ukaone kilichopo cha ukweli.

Allykiba anatafuta kiki tu ila ajulikane nje kwa njia za panya,
Anahisi labda atajibiwa kama alivyojibiwa EddyKenzo na MTVBASE.
Anasahau kama hakunaga shortcut kwenye mafanikio!
Yaani mtu hana collabo hata moja ya kimataifa wala award halafu leo anataka apewe BEST AFRICAN ACT NA BESTWORLDWIDE ACT kweli jamani?![emoji38][emoji38]

Hizo collabo na NuhMziwanda na Abbyskills ndio zimpe tuzo kubwa kama hizo?!anautani kweli

Acha kujitoa akili account hiyo ni origin,hiyo hapo mm nimepiga picha kwenye computer..Achaa chuki
IMG_20161107_125903.jpg
 
hivi kwa akili zenu hicho kisms cha kuedit cha MTVEMA
Kina make sense?????
team kiba hebu endeleeni na mambo ya msingi...

tuzo kubwa sponsor ndio ana final decision
mwaka huu wameamua kumng'arisha wizkid ..
nyamazeni mkafanye show mombasa
 
Hivi sasa viroja! Hadi jana Kiba alikuwa anaonekana ndo mshindi wakati Mshindi alishatangazwa tangia juzi??!
View attachment 430878

Halafu ngoja tuwasemee hawa Sauti Sol kwa King... yaani pamoja na kufanya nae collabo lakini bado anatambua ushindi wa WizKid??!! Ina maana haoni wenzie tunavyoendelea kulia lia??
View attachment 430880

Jecha Salim Jecha anawahusu... kumbe mlitaka kujitangazia ushindi wenyewe wakati wenye wajibu huo ni MTV!!!! Hakina Mshindi vipi wakati Mshindi alishatangazwa tangia juzi?? Angalia hapo juu... hata colleagues wa Kiba, yaani Sauti Sol, walishatoa pongezi za mshindi wa hiyo category tangia juzi!!!! Assumptions with no evidence!! Hebu tuone website ya MTV ilikuwa inasema nini for Korea:
View attachment 430892

Nani alitangazwa Best Worldwide Act?


View attachment 430893

Kwahiyo madai yako kwamba kwavile WizKid asingeweza kuwa Best Worldwide Act bila kuwa Best African Act ni madai yasiyo na msingi manake hao jamaa wamechukua hiyo tuzo bila kuwa Best Korean Act!
Team Kiba mnatia aibu... mnadiriki kujihalalishia kuwa manyani wakati issue ni nyinyi wenyewe kushindwa kufahamu hata mambo madogo!!! Majority mnadhani MTV Base Africa hawakuwa na wajibu wa kumtangaza winner huku mkidhani mwenye wajibu huo ni MTV EMA!!!

Angalia hapo juu... Winners kutoka nchi na regionals mbalimbali wametangazwa na local MTV channels na sio MTV EMA! Local MTV Channel kwa Africa ni MTV Base Africa... wao wamefanya kilichofanywa na wengine wote! Pamoja na mifano ya hapo juu; wengine hawa hapa:
View attachment 430895

Mshindi wa Spain huyo, hakutangazwa na MTV EMA bali na MTV Espana
View attachment 430896
Mshindi wa Denmark huyo, hakutangazwa na MTV EMA bali na MTV Denmark!!

View attachment 430898
Mshindi wa Uholanzi huyo, hakutangazwa na MTV EMA bali na MTV Netherlands.

So, again, madai yenu kwamba MTV Base Africa wamefanya kazi isiyo ya kwao ni madai yasiyo na msingi wowote!!!!


Team Kiba ndo mnajifanya hamjaelewa...
Millard Ayo is smart guy... bado anayakumbuka ya Maalim Seif na Salum Jecha! Asingeweza ku-post kitu ambacho hakijatangazwa officially!!!

Let's take a break kisha tupitie MTV EMA Standard Voting Rules zinasemaje:

The Best Local Act category gives viewers and fans to vote for the Best Local Act in each of 32 separate countries/regions, as outlined on the Website/App, and such categories may be referred to locally by names such as "Best Dutch Act", "Best Belgian Act", etc. Voting for the Best Local Act category has two phases:

  • Phase 1: Pre-nomination.
  • Phase 2: Final Voting: In this phase you will be able to vote for the Best Local Act nominees in any participating country/local region. Local winners from each country/local region will be announced online on 6 November 2016...
Kumbe washayasema hayo kabla... kura zinapigwa, MTV EMA wanafaya tabulation na hatimae MSHINDI ANATANGAZWA!!!! Nisaidie wewe sasa... ni wapi Kiba alitangazwa kwamba mshindi?!

Tuendelee!!


Uamuzi wa kumtangaza Mshindi upo vipi? MTV EMA hawa hapa tena:

The total number of votes submitted during the Voting Period for the "Nominees" in each of the eligible categories will be tabulated by MTV EMA and the "Nominee" with the most votes in its applicable category, as determined by MTV EMA, will be declared the winner of such category. If, for any reason, this voting process is interrupted for any reason, is found to have been tampered with in any way, or for any other reason that MTV EMA believes in its sole discretion to be reasonably necessary, MTV EMA reserves the right to select the winners at its discretion and may take into consideration the number of votes received by a Nominee up until the time of the interruption or cancelation of the voting process.

Lini na kupitia wapi Kiba alikuwa declared kwamba ni winner kama si kwamba mlitaka kujitangazia ushindi wenyewe?


Tuendelee!!

Wala hakuna cha scandal wala nini na ndio maana ingawaje winners wametangazwa tangia juzi usiku, ni Team Kiba peke yake ndo wanalalamika... Team wale wale ambao walilia lia kwenye karibu kila tuzo including show ya Mombasa kwamba wamezimiwa mic...!

MSHAZOELEKA!!!

Waliopata kuonesha dharau za wazi kwa King ni wale ambao walipata kusema: "Go tell that man to leave the stage in less than two minutes or else we will physically get him out of the podium...."
Naona Sauti Sol tangu waliposikia jamaa analalamika kuzimiwa MIC na Sallam walipata picha kuwa Ally ni mtu wa aina gani...
 
Kuna haja gani ya kupiga kura sasa kama hawazifuati?
Si mlikuwa mnajiita black cofee,mkidhani ni la mtu mmoja zamu yenu hiyo tena mwenzenu DIAMOND hata akikosa aangaiki na kumlaumu mtu yeye ndio kwanza anawapongeza washindi,japo kwenye BET YEYE NDIO ALIONGOZA,NA TUZO AKAPEWA MTU WA MWISHO NA NYINYI KWA VIHEREHERE VYENU MKAWA MNAMPONDA.
 
Manake mnavyo lalamika na vigezo mnavijua ni kujitia uchizi au ni kiki hii ya kajiandae. Wizkid vs kiba, ni sawa umsimamishe tyson fury (heavyweight) vs maywether(lightweight) , hii ni murder case hebu acheni kulalamika mnatia aibu ktk page za watu kwa kutukana mitusi, kingereza chenyewe shallow , mwisho mtamponza mwenzenu mtv wakamchunia kupromote nyimbo zake.
 
Mnhh... hili povu la hapa si mchezoo.!!
 
Back
Top Bottom