Alikiba kawakataza Kings Music kufanya interviews Wasafi Media?

Alikiba kawakataza Kings Music kufanya interviews Wasafi Media?

akilikiba yupo kwenye record za guinness za kwamba yeye ndio mtu mpumbavu na mjinga kuwahi kutokea duniani
 
Habari zenu wananzengo,

Guys hili bifu la mondi na kiba bado lipo pale pale, wale wanaosema hawa jamaa hawana mabifu basi wanajidanganya tu.. Jiulize ushawahi kuwaona vijana wa Kings music wakitambulisha ngoma zao mpya wasafi media? ila cha ajabu wasafi tv na radio wanapiga ngoma za hao kings kila siku hadi ngoma zao mpya zinachezwa bila hata official interviews/release kwa wasafi. Sawa una bifu na mondi hata uzao wako usijihusishe na chochote kinachohusiana na mondi hata kama kina faida kwao kibiashara? Kumbe bifu binafsi na biashara huwa vinakwenda pamoja? Alikiba badilika biashara haiendi hivyo hata kidogo waache vijana wako wawe huru kwenda popote as long as hawavunji/hawavunjiwi heshima kwako na kwa wengine. Big up kwa Wasafi Media, ile ni media ambayo ipo huru Tanzania haijalishi uwe na bifu na mmiliki wake au la wewe ngoma zako zitapewa airtime everyday labda wewe mwenyewe uwaambie waache kupiga. Compared to clouds, East Africa radio, efm, wote tunajua hizo media ukikorofishana na presenter au hata mfagia ofisi kwa mambo yenu binafsi basi Department zote haijalishi tv au radio watasitisha kucheza ngoma zako mara moja! VERY UNPROFESSIONAL. Entertainment media za kibongo zijifunze kwa wakenya wanafanyaje hizi kazi, wenzetu hawaendeshi media zao kwa mihemko.



maxresdefault.jpg
Kwanza kabisa asilimia za umiliki wa Diamond kwenye taasisi husika ni chache..la kwanza hilo
Pili kutopigwa wasafi nyimbo za Kings hakutakuja kushusha nyimbo zao au kuharibu soko..la pili hilo

Tatu kwa nature ya mtu mpenda sifa na mropokaji kama bwana Naseeb Abdul almaarufu kama Diamond ni bora hao madogo wasiende coz n mtu ambaye huwa anapenda kuonekana mshindi muda wote na ndicho haswa hata mashabiki zake huwa wanapenda iwe hivyo mara zote..la tatu hilo

Nne WASAFI MEDIA ni media ya kibiashara acha waongeze wasikizaji na watazamaji kwa kupiga ngoma zote nzuri zikiwemo hizo za Kings Music..la nne hilo

Tano na Mwisho..namsifu sana ALI KIBA kwa namna alivyoamua kumpuuza Diamond Plutnumz na ndo vita amabayo inamtesa sana Diamond na Timu yake na MASHABIKI zake wote coz katika vita hii hajawahi kuwa mshindi na ndo maana mara atamuimba kwenye nyimbo mara atatoa mafumbo afu jamaa ana mpuuza

NYONGEZA..always mashabiki wa WCB huwa wanamuona adui kila anayeenda tofauti na bwana nasibu hawataki kuamini kwamba huenda huyu bwana ni binadamu nae huwa anakosea nwakumbushe tu HUYU BWANA KASHAKOSANA HADI NA BABAKE MZAZI hivi karibun ndo atlist kajirud na tumshukuru Mungu kwa hilo..bt pia WAZAZI WENZAKE WAWILI WOTE HAPATANI NAO itakuwa ALI KIBA NA CLOUDS ambao hawajachangia damu?..
 
jamaa itabidi ajitafakari upya haya maamuzi yake yasiwaumize wengine wasiohusika na ugomvi wake.
Mwaka wa ngap mnasema hivyo na bado king anaendelea mbna hamjawah mshaur diamond akatafute suluhu na CLOUDS ili nyimbo za kina LAVALAVA wasiohusika zipigwe???..acheni zenu mnapuyanga mnamtafutia mtu USHINDI??
 
Habari zenu wananzengo,

Guys hili bifu la mondi na kiba bado lipo pale pale, wale wanaosema hawa jamaa hawana mabifu basi wanajidanganya tu.. Jiulize ushawahi kuwaona vijana wa Kings music wakitambulisha ngoma zao mpya wasafi media? ila cha ajabu wasafi tv na radio wanapiga ngoma za hao kings kila siku hadi ngoma zao mpya zinachezwa bila hata official interviews/release kwa wasafi. Sawa una bifu na mondi hata uzao wako usijihusishe na chochote kinachohusiana na mondi hata kama kina faida kwao kibiashara? Kumbe bifu binafsi na biashara huwa vinakwenda pamoja? Alikiba badilika biashara haiendi hivyo hata kidogo waache vijana wako wawe huru kwenda popote as long as hawavunji/hawavunjiwi heshima kwako na kwa wengine. Big up kwa Wasafi Media, ile ni media ambayo ipo huru Tanzania haijalishi uwe na bifu na mmiliki wake au la wewe ngoma zako zitapewa airtime everyday labda wewe mwenyewe uwaambie waache kupiga. Compared to clouds, East Africa radio, efm, wote tunajua hizo media ukikorofishana na presenter au hata mfagia ofisi kwa mambo yenu binafsi basi Department zote haijalishi tv au radio watasitisha kucheza ngoma zako mara moja! VERY UNPROFESSIONAL. Entertainment media za kibongo zijifunze kwa wakenya wanafanyaje hizi kazi, wenzetu hawaendeshi media zao kwa mihemko.



maxresdefault.jpg
MNGEMSHAURI NA DIAMOND AMALIZE UGOMVI NA CLOUDS ILI AKINA LAVALAVA WASIOHUSIKA NA BIFU LAO NGOMA ZAO ZICHEZWE PALE MAWINGUNI...kabla hujatoa KIBANZI kwenye jicho la mwenzio toa BORITI kwenye jicho lako
 
Amemkuta au amemleta yeye?
alishaanzaga kujifia taratibu aliamka baada ya kukuta domo anamuacha, yeye mwenyewe anakubaligi kwamba zamani alizubaa sana.
na mahasimu wa domo ndio wanaombeba kiba kwa kiasi kikubwa ili kumkomoa domo.
 
Binafsi mimi sio mshabiki sana wa nyimbo za hawa wawili ila kwa nilichojifunza kuhusu hii inayosemekana bifu,ni kwamba ilisaidia sana kumuinua Ali kiba hata kama tayari alishakuwa mkubwa,kingine inaonekana Ali ananufaika zaidi na hapendi hii kitu iishe
Mpaka anaimba na R.kelly One 8 Mond alimpaisha sio... Kiba anajielewa msimpangie yakufanya wakati Mond amemkuta .

Mwana ikuburudishe au Mc muga.
 
alishaanzaga kujifia taratibu aliamka baada ya kukuta domo anamuacha, yeye mwenyewe anakubaligi kwamba zamani alizubaa sana.
na mahasimu wa domo ndio wanaombeba kiba kwa kiasi kikubwa ili kumkomoa domo.
Shida yenu Mond awe peke yake... mbona anaimba ujinga tu.
Af kumbuka Ali sio wa leo, wengi wamepotea yeye yupo.. kwa nn wanaombeba wasimbebe hata Z.ANTO?
 
Huyu jamaa namkubali lakini huwa ana mambo ya kiboya sana.
Kila akiwa kwenye baadhi ya redio ana kazi ya kulalamikia eti wengine wananunua viewers. Wakati ye mwenyewe hajui kupromote kazi zake.
Ali ni talent mkuu... kupromote vyupi vya wazazi wao usiseme ndio mziki mzuri.
 
Haiitaji IQ kubwa kujua kuwa wenye chuki na domo ndio wamegeuka mashabiki wakubwa wa Kiba ili kujaribu kumkomoa huyu bwana mdogo.
Ila bwana mdogo ana akili sana . Alipopata na wazo la kufungua vituo vya matangozo (redio & tv)
Na wanaomchukia Ali wametoka wapi mkuu?
Dunia hii nani hana maadui?
 
kweli kabisa mkuu. Kwa Tanzania nathubutu kusema kwamba Wasafi media & record label pekee ndo wametuprove wrong kuwa bifu ni bifu na biashara ni biashara so havifuatani pamoja. Kwa jinsi navyomuona Diamond yupo tayari kuruhusu Kings music wapige shoo wasafi festival na kulipwa vizuri tu kama wasanii wengine ila Alikiba hiko kitu hataki sasa hiyo ni akili au matope? yule jamaa akili hana, akae chini na professionals wamfunze biashara inakwendaje.
Kila mtu ana njia zake za kupata pesa... usipende kila mtu aishi kama wewe,
huwezi kujua undani wa tatizo lao, utabaki kutukana wakati ugali anakula kwake
 
Back
Top Bottom