babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Kukosea(kama ni kosa) akosee Kiba halafu matusi kwa waislamu wote!!!Mwache tu Wakristu na hawashughuliki na mambo madogo ndiyo maana hawaoni haja kugombania nani kachinja japo kwenye mdudu tunabanana.
Nyie ndo mmekuza mambo lakini ukristo haujaanza kusakamwa leo. Sio ukristo tu hata uislam pia hivyo hivyo.Ofsaa itategemea na nani anayetoa ubaguzi... Kama ni mlevi tu, huyo unamuacha... Lakini kama ni mtu maarufu huyo anawafuasi wake, ubaguzi wake ni rahisi kuirithisha kwa wafuasi na wafuasi kuirithisha kwa watu wengine na jipu kukuwa... Ebu nipe mfano wa kauli yoyote iliyotolewa na mtu maarufu zidi ya wakristo alafu wakamwachia Mungu
Kwa hiyo kama ukristo haujaanza kusakamwa leo ndio tuendelee kukubali kejeli... Mbona ushoga haujaanza leo lakini unapigwa vita... Jambo kutokea kipindi cha nyuma haimaanishi ndio kimeidhinishwa, tukiendelea kuruhusu hizi tabia itafika mahali Dini zetu hazitaheshimika... Kama wao wanavyoweka mipaka kwenye Dini zao, na sisi tunaweka mipaka kwenye Dini zetuNyie ndo mmekuza mambo lakini ukristo haujaanza kusakamwa leo. Sio ukristo tu hata uislam pia hivyo hivyo.
Hiyo kauli ya kiba wala haibadili chochote kwanza mashabiki wake wengi sio wafia dini. Ndo wale kina sisi mguu nje mguu ndani. Si ajabu hiyo kauli wameiskia wachache na kati ya hao wengine (kina sisi) tumeipuuza.
Hakuna sehemu ambayo ukristo umeandika tupige picha misibani... Sasa ukiniuliza swali hilo nami nitakuuliza vipi zile picha za Google na video za YouTube zinazoonesha mazishi ya waislamu kwani zimepigwa na wakristo? Mbona video za misiba ya waislamu zimetapakaa mitandaoni lakini hausemi kuwa ni kawaida yenuKwaiyo huwa hamna kawaida iyo!
Ukristo hauko hivyo ndgu, Mungu anajipigania mwenyewe. Haombi msaada wako kumpigania.Kwa hiyo kama ukristo haujaanza kusakamwa leo ndio tuendelee kukubali kejeli... Mbona ushoga haujaanza leo lakini unapigwa vita... Jambo kutokea kipindi cha nyuma haimaanishi ndio kimeidhinishwa, tukiendelea kuruhusu hizi tabia itafika mahali Dini zetu hazitaheshimika... Kama wao wanavyoweka mipaka kwenye Dini zao, na sisi tunaweka mipaka kwenye Dini zetu
Mimi siko hapa kuupigania ukristo... Mimi niko hapa kukemea kitendo kilichofanywa na msanii Alikiba, nakemea dhambi na makosa ya kuona Wakristo kuwa ni watu wa hovyo misibani.Ukristo hauko hivyo ndgu, Mungu anajipigania mwenyewe. Haombi msaada wako kumpigania.
Inasemwa kila leo kua mapdri ni mashoga kwani upandre umekufa, wanasema kila leo manabii hao ni waongo nk kwani wamesitisha huduma zao?? Muache Mungu ajipiganie kwa njia zake yeye, wewe huwezi mkuu. Timiza tu wajibu wako.
Binafsi sijaona kosa la jamaa. Kwani wakristo hamrekodi misiba??Mimi siko hapa kuupigania ukristo... Mimi niko hapa kukemea kitendo kilichofanywa na msanii Alikiba, nakemea dhambi na makosa ya kuona Wakristo kuwa ni watu wa hovyo misibani.
Kuna kupigania ukristo na kukemea dhambi... Juwa kutofautisha hapo.
Moja ya haki za binadamu ni kila mtu kuwa na uhuru wa kuabudu na kuheshimu Dini za watu wengine. Alikiba haheshimu Wakristo, hapo sio swala la kidini bali ni swala la sheria za Dunia.
Hukionagi kama kichokoraa fulani kinajishaua hakina hata lolote anadharau na huku anamtegemea Mo yaani tz hakuna wakunitisha wote ni maskini tu sema wapo kidaraja huyo sio superstar huyo ni mwehu na mchukiaga sana . Kina sura kama kenge mbuzi hata ukiamua kumpika haivi haliki kwa kachumbari au nini .
Mke wake kasepa kanatunzwa ni kamario kazee
Wakristo ndo huwa mnasikiliza qaswida, hakuna muislam mwenye muda wa kusikiliza hayo mainjili yenu mnayokatika nusu uchiMbona kama ni mpuuzi fulani hivi aliyelewa sifa? Ukiwa staa ondoa mipaka ya dini yako maana utakuwa na mashabiki wa dini mbalimbali acha kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya dini nyingine kwa kuwa huko pia una mashabiki. Kwanza hata kuonesha kujinasibisha zaidi na dini yako wakati una mashabiki wengi na wasio na dini ni ujuha. Labda wale specific artist kama waiba qaswida na injili wale wana mashabiki wa huko kwenye uinjili na ukaswida, hata hao wanaweza kuwa na mashabiki wasio wa dini yao. Mastaa waheshimu dini zote za mashabiki wao
kwani qaswida ina nini cha maana? Ni upuuzi kama upuuzi mwingine hakuna mkristo anayesikiliza upuuzi huo. Wapi uliona kwaya wamevaa nusu uchi? Uwe na uelewa wa mambo usi generalise mambo jaribu kuwa mchambuzi utapata ukweli wa mamboWakristo ndo huwa mnasikiliza qaswida, hakuna muislam mwenye muda wa kusikiliza hayo mainjili yenu mnayokatika nusu uchi
Hajui ndio maana kana mdomoanaju haya kwelii?
Wewe una haki gani? Na hao wasio haki hawana haki gani? Acha kuandika ujinga ujinga kama vile akili zako umeziweka kwenye friji kwa muda.
Hata wewe unaweza ukawa unaheshimiwa na mimi ila ukileta kashfa kwa imani za wengine basi heshima yako inapotea mara moja tu,Mkuu huwa nakuheshimu sana sioni hata sababu ya kukujibu vibaya kama ulivyofanya...
Si hekima kutetea imani yako kwa kutumia kauli mbaya, si uungwana...
Mbona ninyi Waislamu huwa mnaita watu wasio Waislamu kama makafir? Je nanyi akili zenu zimewekwa kwenye friji?
Wakristo wanaosoma Biblia wanayajua maneno hayo niliyoyaandika, ningeweza hata kutumia maneno mengine mbadala kama "wasiotahiriwa" n.k...
Yuko sahihiSiku za hivi karibuni kumetokea Msiba wa msanii wa kike wa Bongofleva Haitham. Na mazishi hayo yamefanyika jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na watu mashuhuri na wasanii mbalimbali na mmoja wao akiwa msanii Ali Kiba.
Wakati wa mazishi kuna kitendo ambacho kimetokea ambacho kimepeleka Ali Kiba kutoa kauli ambayo sio nzuri au inayoonekana kudharirisha Dini ya Wakristo. Mimi binafsi kama Chief Lumanyika nimechukia sana na kupelekea kwenda kwenye Account yake ya instagram na kumu-unfollow hili nisiwe naona post zake.
View: https://youtu.be/C3rMRxBCXRU?si=giuRLLh1MAzofSfhKitendo hicho cha kukashifu Dini ya Wakristo kimetokea ambapo kwenye Video watu wanaonekana wapo kwenye mazishi na hatua za kuzika mwili wa marehemu ambapo Ali Kiba aliona kama anarekodiwa na watu, ambapo akaonekana kustaajabishwa na kutoa kauli ya "Nyie ni wakristo?", Akiwauliza vijana ambao ndio walikuwa wakimrekodi Ali Kiba hapo msibani.
Kutumia neno "Nyie ni wakristo", ni Disrespect na ni kitendo cha kumaanisha kuwa Dini ya wakristo ndio ya wafanya uovu, au ya watu wasiofaa, au ya watu wa ovyo. Kwamba Wakristo sio watu wa kuheshimu Mazishi. Cha kushangaza Tanzania ni nchi yenye Dini nyingi wakiwemo wapagani, lakini kitendo cha yeye kusema moja kwa moja kuwa nyie ni wakristo bila ya kujua hao watu anaowauliza ni Dini gani ni kutokuheshimu Dini ya kikristo. Kwa sababu Tukio hilo lingeweza kufanywa na mtu yeyote hata ambaye ni Muislamu ambaye ni wa Dini yake, budha au mpagani.
Kauli hii ya Ali Kiba pia imezua hoja mitandaoni kupelekea watu kuchukizwa na Kauli hii, na moja ya account ambayo nimeona watu wamechukua ni kwenye Instagram page ya Bongotrending Habari.
Hakuna sehemu yoyote kwenye Dini ya wakristo wanaposema tuwarekodi watu kwenye mazishi au wakiwa msibani. Hivyo hata ikitokea mkristo anarekodi mazishi, basi hiyo ni hulka yake binafsi na haina uhusiano wowote na Dini ya kikristo.
Ali Kiba anapaswa kuomba Radhi au Wakristo tuanze kuzisusia nyimbo zake kama jinsi wasanii wa Marekani na nchi nyingine wanavyofanyiwa wakizingua. Mimi staki kumuona tena, nimefuta hata nyimbo zake.
Hata wewe unaweza ukawa unaheshimiwa na mimi ila ukileta kashfa kwa imani za wengine basi heshima yako inapotea mara moja tu,
Haya jibu maswali niliyokuuliza kwenye hiyo post yangu uliyoiquote.
Weka hapa hilo andiko,Hahah...mkuu ulipaswa kuomba kueleweshwa kwanza
Kwani wewe Muislamu unapokuwa unamuita Mkristo kama kafir, huwa unadhamiria kumkashifu au unamuadress kulingana na mafunzo ya imani yako kwamba Kafir si muamini wa Allah?
Sikiza, Biblia inawataja watu wote wasio wa imani ya Kikristo kama watu wasio haki, hivyo mwenye haki ni yule anayeamini katika Yesu Kristo...
Weka hapa hilo andiko,
Unaongelea HAKI ipi?