Nashukuru hiyo gia kwangu haijawahi kufaulu, tena km hamjui tunadharau sana me anaenyimwa chiu na mkewe, kwwnye kunyimwa kuna viashiria vingi mnoHii gia inaitwa""Mwana Ngendeka""ilianzishwa na wanaume mwaka 1995 baada ya mkutano wa wanawake pale Beijing🤣🤣😂😂
Lovie mbona upo emotional sasa ,mimi kiukweli bado nashangaa sababu mwaliko utoe wewe,mazingira uweke wewe na kufukuza ufukuze wewe.Labda kuna kitu unakificha maana naamini huyo mwanaume ni mtu mzima na alikua na akili timamu.Ndio nilitembea uchi mbele yake.
Sawa sio lazima ufanye lakin sio kumfurumisha kiasi hicho afu wakati mvua inanyeshaKujirahisisha ndo ulitaka nifanye.
Sasa wewe Kapeace kuna gia mpya utakutana nayo ambayo inaitwa""Dubai""huwezi chomoka.😂😂🤣🤣Nashukuru hiyo gia kwangu haijawahi kufaulu, tena km hamjui tunadharau sana me anaenyimwa chiu na mkewe, kwwnye kunyimwa kuna viashiria vingi mno
😂😂😂🤣🤣Ana roho ngumu bibie Lovie.Sawa sio lazima ufanye lakin sio kumfurumisha kiasi hicho afu wakati mvua inanyesha
Hebu ijaribu tuone🤣🤣Sasa wewe Kapeace kuna gia mpya utakutana nayo ambayo inaitwa""Dubai""huwezi chomoka.😂😂🤣🤣
Unasema tu ,mchawi pesa.Nikiweka mezani kibunda huchomoi Kapeace.Hata kwangu nakutimua vizuri, ukianza kero km hizo, kwanza utanigongeaje kwangu we fala
Serious unataka niijaribu kwako Kapeace???Hebu ijaribu tuone🤣🤣
Pesa za kumpiku nilienae haunazo, we tulia tuUnasema tu ,mchawi pesa.Nikiweka mezani kibunda huchomoi Kapeace.
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
JaribuSerious unataka niijaribu kwako Kapeace???
Tumeumbiwa mateso, vibunda mtafune na kututukana mtutukane hivi[emoji3][emoji3]Mtulie makwenu ndo machaguo yenu msituchoshe, ila wanaume ni wajinga sana especially waume za watu wanaotongoza kwa gia hiyo, ya mke hanipi na usoni anajivalisha sura ya huruma[emoji1787] kama yatima
Kila mtu akule alikopeleka mboga🙈😂😂Tumeumbiwa mateso, vibunda mtafune na kututukana mtutukane hivi[emoji3][emoji3]
Mula hurwa..,Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
Ninachukua mkopo benki Kapeace🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sisi huku tunaruhusiwa kukopa hata benki tatu kwa mkupuo.Afu nakuspoil miezi mitatu kisha unarudi kwa ulienae na mimi narudi kwa mke wangu😂😂🤣🤣Pesa za kumpiku nilienae haunazo, we tulia tu
Mimi naweza...ukiona hvyo alikuja na nia ya kukutaka kimapenz na sio urafiki wa kawaida au kuna mazingira ulimjengea na yeye akaona ajilipue kisha ww ukamtosa.....Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani.
Una paspoti ya kusafiria tayari au nikukatie beby????Jaribu
, mi ni nyani mzee.....Ninachukua mkopo benki Kapeace🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sisi huku tunaruhusiwa kukopa hata benki tatu kwa mkupuo.Afu nakuspoil miezi mitatu kisha unarudi kwa ulienae na mimi narudi kwa mke wangu😂😂🤣🤣