Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Ndio nilitembea uchi mbele yake.
Lovie mbona upo emotional sasa ,mimi kiukweli bado nashangaa sababu mwaliko utoe wewe,mazingira uweke wewe na kufukuza ufukuze wewe.Labda kuna kitu unakificha maana naamini huyo mwanaume ni mtu mzima na alikua na akili timamu.
 

Huo ni urafiki gani wa mwanaume kukulipia kodi ya nyumba kukununulia macho ma3 na viwalo

jiongeze, tekeleza wajibu wako
 
Mula hurwa..,
 
Mimi naweza...ukiona hvyo alikuja na nia ya kukutaka kimapenz na sio urafiki wa kawaida au kuna mazingira ulimjengea na yeye akaona ajilipue kisha ww ukamtosa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…