Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

....Halafu hakaukwi Ushungi...iepukeni sana zinaa, ama kwa hakika zinaa ni uchafu mkubwa mno kwenu....mwanamke mzinifu na mwanaume mzinifu wapigwe mawe mbele ya walio amini.....kabla hawajaoana waliepuka zinaa?
 
Hapo wakati anamwambia,alikuwa tayari kishaliwa na Aweso. Mapenzi ya kizigua yalimchachafya.
 
Msifukue Fukue makaburi[emoji30][emoji30]
 
Alivyoonja penzi la Mbunge na Naibu Waziri kipindi hicho ikabidi amtose Mwandishi/ mtangazaji wa habari, wanawake si watu wazuri kabisa
Si kuonja sema "aliposaliti ndoa kwa uzinzi" sababu si alikuwa Ke wa Mtu halali [emoji848][emoji19]
 
Ina maana yote haya ni kipindi kile cha Magu nini? Daa Wanawake bwana!!
 
....Halafu hakaukwi Ushungi...iepukeni sana zinaa, ama kwa hakika zinaa ni uchafu mkubwa mno kwenu....mwanamke mzinifu na mwanaume mzinifu wapigwe mawe mbele ya walio amini.....kabla hawajaoana waliepuka zinaa?
Hakuna Aya ya Qur'an inayosema mzinifu apigwe mawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…